Recent content by Mdwanzi

  1. M

    Utafanyaje?

    embu jaribu na wewe kumchunia kama mwezi ivi ukiona kimya mkuu tafuta ustaarab mwingine no way and that is the only solution
  2. M

    Gari ipo sokoni

    picha bosss
  3. M

    viwanja vinauzwa mbezi mpiji magoe vya bei nafuu.

    ni umbali gani kutoka mbezi mwisho in km
  4. M

    Nokia Lumia 800

    weka picha basi boss
  5. M

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Heshima pesa shikamoo makelele
  6. M

    Nasaka ajira ya "IT(Information Technology)

    Weka wasifu wako mkuu kama una diploma au degree na umemaliza lini? wapi? na kama una certifications zozote weka wazi upate msaada kiurahisi.
  7. M

    Matapeli watumia mitandao ya kijamii kuwaibia watafutao ajira.

    Mjini hapa jamani lakini sio mbaya tunajifunza kutokana na makosa!!
  8. M

    Ni pepsi tena!!!

    kama ni fresh graduate angalia kazi kwanza mkuu mshahara baadae ila kama ni experienced one na upo kazn tayar hapo sawa ili kujua kama wanazid unachoearn au laah
Back
Top Bottom