Kwa mda mrefu watumishi wapya Halmashauri tofauti tofauti wamekuwa wakilalamika kutopewa pesa za kujikimu wengine zaidi ya miezi 6 hadi mwaka tangu kuajiriwa na wengine kupewa nusu ya malipo stahiki. Je tatizo ni mamlaka za Halmashauri au serikali kuu kupitia hazina, kwanini serikali kuu ipo...
Nilifungua account ajira portal siku za nyuma,
Nilipoteza simu na emails sikuwa nimenukuu wala siiijui.
Na sahivi siwezi login sina emails hiyo na sikumbuki password 🔑
Nafanje nipate Access ya account yangu
Msaada jamani
Habari jamani kuna TANGAZO la kazi chuo kikuu huria Tanzania ( OUT). Sasa kwenye tangazo wamesema barua zote ziwe addressed na anwani yao
Na tuombe kupitia ajira portal na imezoeleka ajira zinazo ombwa kwa ajira portal tunaweka address ya UTUMISHI
Ndugu yangu unashangaza saana,, unaweza pelekea watu wakutukane kwa fikila zako hizo
Unaweza twambia niwangapi wanatumia simi janja wapeta hizo habari pia waweza twambia
Kila mtu anaweza changia ikiwa tu asilimia kubwa ya wa Tz wanaishi chini ya dollar moja JE unajua kama kupiga kura ni Bure...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.