Ki hisia
Wengi tuliumizwa na Mh Lissu kupigwa Risasi na kile kiliendelea baadae yote yalitusononesha
Ni kweli mh Lissu kupitia Maswahibu
makubwa
Kile kimefanywa kwake hakuna Binadamu yoyote mwenye Utu moyoni atavutiwa na nacho
Lkn lazima tuwe Wakweli kwasasa nayeye katukwaza
Kuja...
Ndiomana wengine tunafananisha
Vifo vya Mo29
Nisawa na Vifo vya Kanisani kule Uganda
chini ya Mchungaji Joseph kibweteere 👈
Kibweteere Waumini wake walimwamini kupitiliza mwisho kawakaanga Vibaya Waumini wake kaenda kuwachoma kwenye MOTO ndani ya Kanisa lake Waumini 900 wakafa wote 👈
Lissu...
Kwao Jeshi ilikuwa kama fashion tu
Wakitegemea pakubwa Propaganda Kwamba wao wanajeshi kubwa Duniani
Lkn Iranian kaja kutupa Somo jipya kuiyusu Marekani na Jeshi lake
Kwanza waoga sana
Vita yao ilikuwa ni Angani tu
Wakishakutwanga ndio wanashuka
Kuteka maeneo yako
Sasa Iranian inakabia...
Iranian kama hamuogopi MAREKANI
Vip uyu Pakistan au Uturuki
Kwake si wachumba tu
Pakistan zaidi zaidi yupo na Nuclear
Lkn tukumbuke na Marekani kuna Viwanda vya Nuclear elfu 3000
Nabado Iranian anampelekea MOTO 💥💥💥 Iranian ni Mkuu wa lile eneo kwasasa🤠🤠
Kama umeelewa Pakistan na uyu Pesa ipo Bank hawana tofauti
Saudi Arabia kawasha MOTO
Mwenyewe
kwa kutegemea Mkataba wa magumashi
Usitegemee cha jirani 🤠
Ngoja wajijenga pale tuwe na Hormuz nyengine
Trump nywele zitamnyonyoka
Israel ile Bandari yake ya kusini ya Eilat inaenda kufa kabisa
Wafugie Samaki tu🤔🤔
Wafugq majini wkt uchumi wa Marekani wanaitegemea Saudi Arabia
Ambayo Iranian inaenda kuibana Uchumi wake✍️
Kubanwa kwa Marekani maumivu yake yanaenda Israel
mojakwamoja!
Wapi wewe Houthi kwasasa washalivunja kiuno Jeshi la kuungwa mkono na Saudi Arabia
Kwasasa Houthi wanatwaa maeneo tu kama yote
Marekani yupo taabani
Vikosi vya Anga
Vyote vya washirika hawajui wakaanzie wapi
Mana Wahouthi
wanateleza sana✍️
Na bado wanaendelea na Vita wanataka kuendelea kuchukua miji ya Taizz na Aden na maeneo yenye Mafuta nk.
Marekani UK Israel lazima watasaidia Saudi Arabia japo
Kwasasa Iranian inaonekana inanguvu kubwa kuamua chochote mbele yao✍️
Lengo kuu kubana shingo ya Uchumi wa Marekani
Marekani inategemewa pakubwa uwekezaji wake maeneo ya Gulf States
Na Rasilimali zake kama Mafuta na Gas
Wahouthii wamepata nguvu kupitia Makombora madogo madogo Utayali wa kupigana ✅️
tofauti na Majeshi yanayoungwa mkono na Saudi Arabia ✍️
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.