Watapewa pesa zao Vijana wamevuja jasho kwa heshima ya Bendera yetu
Wameitangaza Tanzania kupitia mpira!!!
Wkt CHADEMA wanawanga usiku na mchana
Tanzania itajwe vijaya 😜😜😜
lkn Mungu yupo na Wananchi wa Tanzania milioni 60+
Tunaendelea kupendeza kimataifa
Ndio mjue nyinyi Chadema mnawafuja Vijana !!!
kama uyu sio Rais rip JPM na Rais Samia Suluhu Hassan kumtoa msomi uyo
uko kwenu !!!
kijana angekuwa bado yupo yupo tu kadogo kadogo ivyo ivyo !!
lkn
kuwa ndani ya CCM rahaaa unalala usingizi wa tumaini la kesho yako
weka picha yake sasa akiwa...
Waenga walisema Mwasiasa usimwamini chochote kutoka kwake
leo Chadema wanawatumia Marehemu kama mtaji wao kimataifa
Watoto wao waliwaficha lengo kama kufa wafe Watoto wa wengine nawao watawatumia Kimataifa kama nyenzo ya kusikilizwa kupewa heshima waendapo kwa Wazungu !!
Siku nyengine...
Kwani miaka ya nyuma mlikuwa mnasaini lini!!!!??
kiasi mwaka jana 2025 na baada ya mvua ya mwaka 2024 kwenye Serikali za mitaa 🤠🤠🤠
Ndio mkakumbuka juu ya muda utakuwa mdogo kusaini vyama vyote 18????
Mshangao
Jukumu la muda sio lenu la taasisi nyengine.
Yenyewe ingeona tatizo la muda...
Ushahidi tuwekeee CCM haiwezi kuchafuka weka Ushahidi wako???
CCM wasafi sana wanabaraka zote kutoka kwa viongozi wa Dini kubwa kubwa !!
au ww ndio umeshinda mbege leo j.mosi
Kwaiyo unataka kusema vyama 17 vimeweza kufika na kuweka saini zao
lkn Chadema tu ndio mkaona haiwezekani kutekeleza yote kwa siku 1.
Mbona Watanzania waliwaona kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 lkn hawakuwachugua
Watanzania wengi wanaamini ndio Sababu ya Chadema kuweka mpira kwapani...
Kama hamtaki kuja Uwanjani mrisajali Timu yanini na kucheza hamtaki.
Ndiomana wachambuzi wanataka mfutwe tu.
Kisipofutwa mtageuza Chama kiwe cha waasi✍️
Uyo Lissu ndio uyu yupo KEKO au mwengine kashindwa kujinasua mwaka sasa
anakula na kwenda chooni kwa Bajeti ya Rais Samia Suluhu Hassan ndio mwenye Akili kuliko Rais Samia Suluhu Hassan
🫎🫎🫎🫎🫎🫎🫎haaaaaaaaa mnapenda kujipandisha mabega juuu🤠🤠🤠🤠
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.