Mkuu hongera sana uwezi wako mkubwa sana kwenye hoja na uwelewa 💪
Lkn Zitto junior nayeye yupo oky sana kwenye uwelewa 💪
Nyinyi wawili ndio mmefikia
hitimisho👈
Allen kazingua kwenye msingi wa hoja❌️
Msije matatizo yenu mkaeasingia wengine hoo wale vijana ni CCM sio Chadema!!
Wakati wao hawana pesa na wanasikia Heche kapokea mipesa ya kumwaga!😇
Tegemea vita 👈
sisi binadamu nisawa na Wanyama tu kugombea tumbo lako ruksa🤠🤠
Uyu Heche kama kweli kapiga pesa uko mikoani wanaenda kumpiga kabisa🫎
Kosa pesa la pili kawatukana wana Chadema❗️tatu viongozi wengi wa uko mikoani kwasasa hawana pesa na wakumuomba hawana❗️👈
siku za nyuma walikuwa wanawaomba Wabunge wale wadada na Mzee mbowe kwasasa kumekauka uko❗️
Lissu...
Hukuenda ww👈
sio Watanzania👈
kufanya fujo kimara ndio Mikoa yote Tanzania na Wilaya zake watu wamepiga kura kwa utulivu kabisa kwa %95 kwanzia asubuhi mpaka jion kabisa✍️
Waisrael kwasasa hofu yao wale wahuni waamue kuyadondosha kwenye miji yao!!
Ndiomana kwasasa Israel ipo kimyaaa 🫎❗️
kanakwamba lile eneo kuna Amani wanawajua Iranian❗️
kama wanamchapa Marekani vip wakiamua waanze kumchapa nayeye👈
Wanajeshi wa Marekani wamekufa wengi maeneo mawili Jordan na Syria na ukweli wanaficha idadi ya Vifo lkn vingi sana!!
Maeneo ya Qatar UAE Kuwait Bahrain na Saudi Arabia uko Wanajeshi wa Marekani wanamachimbo mengi ya kujificha👈
Lkn wanachoweza Ficha ni rasilimali watu tu mana walijua pale...
Na pia kimbelembele kuingiza migogoro kwenye nchi kama zetu zenye kujitafuta🫎👈
wanataka tuuwane tu zaidi na zaidi wao wachukue rasilimali zetu👈
Unakuta kikishawaka hawataki Moto uzimike💥💥🫎👈
wakiona pande moja wapo inayopigana inaupungufu wowote wa silaha! wao wanakuja kivingine kwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.