Recent content by mdogoee

  1. M

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia mataifa matano ya Ghuba, yaifungia Hormuz baada ya mabomu ya Marekani

    Iranian wamejua kucheza na Akili za uyu Kibabu cha kilokole👈 Kwasasa hanajuta kwanini kachagua Vita mana vimeidhalilisha Marekani na Ulaya kwa pamoja🤔✍️
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Kama Kisheria Serikali hawayatambui yale Maandamano Sababu yamekosa Msingi wa Kisheria kuweza kuitwa Maandamano ya Amani👈 Wale Kisheria walikuwa ni Majambazi walikotokea wanajijua wenyewe Wamevamia miji na kuanza kuichoma MOTO MAJAMBAZI kuyauwa sio kosa Kisheria Ndiomana Hakuna wa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Kwaiyo kile kipindi cha maridhiano na Mzee mbowe hakiwa ni Mwenyekiti wa Chadema👈 Kuna unyama ulifanyika upi ndugu tukumbushe??
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Tanzania yupo mmoja sitaki kumtajq jina lkn tangiq ile Mo29 Mpaka sasa anaishi kwa hofu sana Yupo kwa kujificha ficha tofauti na kabla ya Mo29 Uyu mtu kwasasa yupo kwenye radar Ushahidi unamuangukia yeye kuwa ndio kausika kuleta vijana kutoka nje ya nchi wenye silaha👈 Wakawa wanatembea...
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Polisi wetu hawawezi kuwauwa watu kinyama vile mitaani Manake wale Wavunja Sheria Wavamizi kwenye jiji letu ndio wameusika kuwauwa watu mitaani Ukisema sio kweli Tafuta ukweli wa Vifo pale Iran kwenye Maandamano walikufa watu 3000+👈 lkn Serikali wamekuja kugundua ktk walewale Wanaandamaji...
  6. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Wewe ukisikia neno maridhiano kwako unaelewa vip?? Mana wkt wa Mzee Mbowe yupo ndani au Lupango Si pia kulitokea Maridhiano kati ya CCM na Chadema Wakati ule hakukuwa na Uchaguzi wala kifo cha yoyote au maandamano yoyote Lkn bado Maridhiano yalifanyika Kwako au na wengine neno maridhiano...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Leseni ya Gazeti la Mwanahalisi yasitishwa kwa miezi 6

    Tatizo iyo taarifa imetokea wapi yakumtaka kujiuzulu‼️‼️ hakukuwa na wito kumtaka kujiuzulu au kupitishwa maamuzi ya kumtaka kujiuzulu Sasa ilo Gazeti Mwanahalisi limeshindwa kujibu iyo taarifa wameitoa wapi✍️
  8. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Ukivunja Sheria kwa kiwango kama kile cha Mo29 Kama kufa umekufa kibudu hasara kwa Taifa lkn hasara kwa Wazazi wako Upumbavu umefugwa na Mazazi mwenyewe🫎🫎❗️ kuwachekea chekea Maviongozi ya DINI WANAWAPELEKA WATOTO WENU KWENYE VITA NA MAPOLISI 2026 mo29 Viongozi wa Kikristo wanabeba...
  9. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Wakiombwa Msamaha watu wa aina ile Wavunja Sheria ❌️ Ipo siku tutakuja kushtuka Airport imevamiwa na kuchomwa MOTO 💥💥💥 na makundi ya watu kama wale wasiofuata Sheria!!!!!! Baada ya apo yatasubiri kuombwa Msamaha na Serikali 😇😇 Kisha kutokea apo Yatadai Fidia Serikali iyo iyo✍️
  10. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    MZEE Wasira Mungu ampe maisha marefu Mungu hanamakusudio yake ndiomana mzee tunae mpaka leo kulisimamia Taifa pale kwenye mikwamo🙏 Hakuna Sababu ya kuwaomba Msamaha wavunja Sheria Ili waitwe Waandamanaji✅️ walitakiwa kufuata Sheria kwanza ndio Waandamane Sasa wahuni wavunja Sheria...
  11. M

    JamiiForums Tanzania RC Chaamila apokelewa kwa Shangwe stendi ya Magufuli

    Aibu kwa Wachawi wote na vibalaka wao MKUU WA MKOA W DAR Kawapiga ile inatwa katafunua miguu juu🫎🫎🫎
  12. M

    JamiiForums Tanzania RC Chaamila apokelewa kwa Shangwe stendi ya Magufuli

    Propaganda yenu kuusu Mkuu w Mkoa imebuma❌️ Watanzania sio wajinga wanajua mazuri ya Serikali yao Ndiomana wamempokea kwa Shangwe kubwa sana💪
  13. M

    JamiiForums Tanzania Leseni ya Gazeti la Mwanahalisi yasitishwa kwa miezi 6

    Habari yao ndio imewaponza Habari hii 👇 IMANUEL NCHIMBI AGOMA KUJIUZULU ndio imewaponza Wameshindwa kuthibitisha iyo Habari yao sijui walitoa wapi🫎🫎
  14. M

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia mataifa matano ya Ghuba, yaifungia Hormuz baada ya mabomu ya Marekani

    Ndio wanasepa mazima mana sioni wataweka wapi Base zao sehemu Salama ili kuwadanganya Gulf States kuwa wapo kuwalinda wao🤠🤠
  15. M

    JamiiForums Tanzania Watoto 12 wa YAKOBO ni WAAFRIKA....siri imefichuka,,,,,,

    Ndio Muache kuwaona Wazungu kama miungu yenu👈
Back
Top Bottom