Recent content by mdogoee

  1. M

    JamiiForums Tanzania Huku gharama za maisha zikizidi kupanda, serikali haramu yaipa serengeti boys Tsh Milioni 500.

    Watapewa pesa zao Vijana wamevuja jasho kwa heshima ya Bendera yetu Wameitangaza Tanzania kupitia mpira!!! Wkt CHADEMA wanawanga usiku na mchana Tanzania itajwe vijaya 😜😜😜 lkn Mungu yupo na Wananchi wa Tanzania milioni 60+ Tunaendelea kupendeza kimataifa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hapa ni Patrobas Katambi, Waziri wa mambo ya Ndani alipokuwa CHADEMA(Chama Mlezi)

    Ndio mjue nyinyi Chadema mnawafuja Vijana !!! kama uyu sio Rais rip JPM na Rais Samia Suluhu Hassan kumtoa msomi uyo uko kwenu !!! kijana angekuwa bado yupo yupo tu kadogo kadogo ivyo ivyo !! lkn kuwa ndani ya CCM rahaaa unalala usingizi wa tumaini la kesho yako weka picha yake sasa akiwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Waenga walisema Mwasiasa usimwamini chochote kutoka kwake leo Chadema wanawatumia Marehemu kama mtaji wao kimataifa Watoto wao waliwaficha lengo kama kufa wafe Watoto wa wengine nawao watawatumia Kimataifa kama nyenzo ya kusikilizwa kupewa heshima waendapo kwa Wazungu !! Siku nyengine...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Kwani miaka ya nyuma mlikuwa mnasaini lini!!!!?? kiasi mwaka jana 2025 na baada ya mvua ya mwaka 2024 kwenye Serikali za mitaa 🤠🤠🤠 Ndio mkakumbuka juu ya muda utakuwa mdogo kusaini vyama vyote 18???? Mshangao Jukumu la muda sio lenu la taasisi nyengine. Yenyewe ingeona tatizo la muda...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Ushahidi tuwekeee CCM haiwezi kuchafuka weka Ushahidi wako??? CCM wasafi sana wanabaraka zote kutoka kwa viongozi wa Dini kubwa kubwa !! au ww ndio umeshinda mbege leo j.mosi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Kwaiyo unataka kusema vyama 17 vimeweza kufika na kuweka saini zao lkn Chadema tu ndio mkaona haiwezekani kutekeleza yote kwa siku 1. Mbona Watanzania waliwaona kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 lkn hawakuwachugua Watanzania wengi wanaamini ndio Sababu ya Chadema kuweka mpira kwapani...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Wewe sio mpumbavu twambie kwann Chadema wamegomea Uchaguzi ???? kwann wamegomea baada kushindwa ktk Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024👈 ???
  8. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Sawa basi futeni Usajili wa chama chenu !! ili muwe wapiga kura kawaida mwende kwenye kampeni kama Watanzania wengine!!!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    🫎🫎🫎🫎 ujaelewa nimemaanisha nini please ukiweza soma tena kwanza kunywa maji✍️
  10. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Iyo clip ni zao na propaganda ya wahuni wa Chadema wameitengeneza wao🫎🫎✍️✍️
  11. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Kama hamtaki kuja Uwanjani mrisajali Timu yanini na kucheza hamtaki. Ndiomana wachambuzi wanataka mfutwe tu. Kisipofutwa mtageuza Chama kiwe cha waasi✍️
  12. M

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Uyo Lissu ndio uyu yupo KEKO au mwengine kashindwa kujinasua mwaka sasa anakula na kwenda chooni kwa Bajeti ya Rais Samia Suluhu Hassan ndio mwenye Akili kuliko Rais Samia Suluhu Hassan 🫎🫎🫎🫎🫎🫎🫎haaaaaaaaa mnapenda kujipandisha mabega juuu🤠🤠🤠🤠
  13. M

    JamiiForums Tanzania Iran ilishambulia vikali na kuharibu mali na kambi za Marekani picha za satellite zaonyesha

    Tunajua ndio mana Trump kavizuiya Vita front !! kavipeleka vita kwenye MEDIA zaidi
Back
Top Bottom