hiii sasa ndio VITA zayuni wacha wajambe kimtindo🤠🤠
Mana mwanzo waliona Vita vinawasaga wenzao na kutaka waogopwe kabisa!!!
IDF hakuogopa operation za Vita vile yeye ndio anatindua Miji ya watu !!!
wkt yeye yupo Salama anatupiwa Vikombora Vidogo vya HAMAS!!
wakajiona wao ndio wanaume...
Ndio ukweli Iranian walisema icho icho.nanukuu, !!!
unaweza kuanzisha Vita nasisi wkt wowote iyo ipo juu yko💥!!
lkn mwenye kuamua lini Vita itakwisha sio wewe tena ni Iranian tu sio mwengine yoyote. ✍️
Mpaka sasa walichosema kabla ya Vita ndiocho icho icho wamesimama nacho Mpaka sasa...
Kinachowapa tabu Walokole kwasasa!!
Mitandaoni kumechafuka Vibaya!!!
Mitandao yote inadai Israel inachapika Trump kachapika!!
Kwasasa wapo km wagonjwa Sababu ya Mitandaoni!!!
Wanadai hii Mitandaoni kama walikuwa wanatamani kutokea hii Vita..
Mitandaoni nayo ni Pepo la kukemewa🤠🤠🤠
Wamejikusanya Kanisani Wanalia kwa maombi bwana wao kawatupa wanaumbuka mbele ya ulimwengu mchana kweupe🤠
wanamlilia bwana wao Jehova ETI kwajina la Jehova Iran. shindwaaa😄😄
ni kelele pale UBUNGO kama kumefiwa bin msiba na sio jpili tu ni karibu kila siku vilio wakidai Iran pepo baya...
Watu wanaishi kwa Mashaka sana
Vita Vita Vita Israel sasa ikiponyoka kwenye Mdomo wa Iran japo ni ngumu sana🤠🤠
Israel wachague Amani kwanza Vita baadae mana Vita miaka 60 sasa avijawai kuwapa Amani zaidi ya Majanga. Shubamit
Wafate Sheria za UN waachie Vipande vya Ardhi yakivamizi. Kwanzia...
Jamani pamoja na yote lkn Vita mbaya sio rafiki kabisa!!
Uko Israel wanakula kwa mashaka na wanaenda chooni kwa Mashaka🤠🤠
mana ukisikia tu king,ora ni mbioo kutafuta Salama ya rohoo!!!
Mana Sekunde tu unatafutwa kwenye Vifusi sio poaaa!!!
Iranian inawasubili kwa hamu Hezbollah tu imewashinda Vita ya Ardhini!!!
JE mtamueza Mwalimu wa Hezboullah !!!
wajeda wa Iran wanawatamani sana waje sio mapicha picha waje kina Rambo 🤠🤠
Viongozi wa Dini waliojipachipa majina tofaut tofaut ya Ukuu. Wote wananufaika kwa kumtaja YESU na Israel!! so nizao lao la Biashara. Wametajirika kupitia ayo majina..✍️
Sisi watu weusi MZUNGU katutendea Unyama mwingi na bado anatutendea Unyama!!!
1 ) Ubaguzi wa langi !!
zao la MZUNGU
2) Kumfanya mtu mweusi kumsujudia Mzungu zao la MZUNGU !!
3) Kumfanya mtu mweusi yani langi nyeusi kuonekana kama laana kwenye Vitabu vya Dini ya Ukristo nizao la MZUNGU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.