Recent content by mdogoee

  1. M

    JamiiForums Tanzania Lissu ameamua kwenda kinyume na wanaharakati, atuma salamu za pole kwa Rais Samia

    Ki hisia Wengi tuliumizwa na Mh Lissu kupigwa Risasi na kile kiliendelea baadae yote yalitusononesha Ni kweli mh Lissu kupitia Maswahibu makubwa Kile kimefanywa kwake hakuna Binadamu yoyote mwenye Utu moyoni atavutiwa na nacho Lkn lazima tuwe Wakweli kwasasa nayeye katukwaza Kuja...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Lissu ameamua kwenda kinyume na wanaharakati, atuma salamu za pole kwa Rais Samia

    Ndiomana wengine tunafananisha Vifo vya Mo29 Nisawa na Vifo vya Kanisani kule Uganda chini ya Mchungaji Joseph kibweteere 👈 Kibweteere Waumini wake walimwamini kupitiliza mwisho kawakaanga Vibaya Waumini wake kaenda kuwachoma kwenye MOTO ndani ya Kanisa lake Waumini 900 wakafa wote 👈 Lissu...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Kuna muhuni alikuwa anatuchezea pale Ewura lkn sasa kupo Safi bei hazipandi tena labda zishuke 💪
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Kwao Jeshi ilikuwa kama fashion tu Wakitegemea pakubwa Propaganda Kwamba wao wanajeshi kubwa Duniani Lkn Iranian kaja kutupa Somo jipya kuiyusu Marekani na Jeshi lake Kwanza waoga sana Vita yao ilikuwa ni Angani tu Wakishakutwanga ndio wanashuka Kuteka maeneo yako Sasa Iranian inakabia...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Iranian kama hamuogopi MAREKANI Vip uyu Pakistan au Uturuki Kwake si wachumba tu Pakistan zaidi zaidi yupo na Nuclear Lkn tukumbuke na Marekani kuna Viwanda vya Nuclear elfu 3000 Nabado Iranian anampelekea MOTO 💥💥💥 Iranian ni Mkuu wa lile eneo kwasasa🤠🤠
  6. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Kama umeelewa Pakistan na uyu Pesa ipo Bank hawana tofauti Saudi Arabia kawasha MOTO Mwenyewe kwa kutegemea Mkataba wa magumashi Usitegemee cha jirani 🤠
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Ngoja wajijenga pale tuwe na Hormuz nyengine Trump nywele zitamnyonyoka Israel ile Bandari yake ya kusini ya Eilat inaenda kufa kabisa Wafugie Samaki tu🤔🤔
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wafuga Midevu na Majini wanapiga a wao kwa wao huko Yemen 🇾🇪

    Wafugq majini wkt uchumi wa Marekani wanaitegemea Saudi Arabia Ambayo Iranian inaenda kuibana Uchumi wake✍️ Kubanwa kwa Marekani maumivu yake yanaenda Israel mojakwamoja!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wafuga Midevu na Majini wanapiga a wao kwa wao huko Yemen 🇾🇪

    Wapi wewe Houthi kwasasa washalivunja kiuno Jeshi la kuungwa mkono na Saudi Arabia Kwasasa Houthi wanatwaa maeneo tu kama yote Marekani yupo taabani Vikosi vya Anga Vyote vya washirika hawajui wakaanzie wapi Mana Wahouthi wanateleza sana✍️
  10. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Ukichunguza kuanza upya kwa hii Vita Ni Saudi Arabia ndio wachokozi Sasa wanajutia kuchokoza huu MOTO na kulipoa kabisa ✍️
  11. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Na bado wanaendelea na Vita wanataka kuendelea kuchukua miji ya Taizz na Aden na maeneo yenye Mafuta nk. Marekani UK Israel lazima watasaidia Saudi Arabia japo Kwasasa Iranian inaonekana inanguvu kubwa kuamua chochote mbele yao✍️
  12. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Lengo kuu kubana shingo ya Uchumi wa Marekani Marekani inategemewa pakubwa uwekezaji wake maeneo ya Gulf States Na Rasilimali zake kama Mafuta na Gas Wahouthii wamepata nguvu kupitia Makombora madogo madogo Utayali wa kupigana ✅️ tofauti na Majeshi yanayoungwa mkono na Saudi Arabia ✍️
  13. M

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Ndio apo Wakipigwa wao Kidogo tu tutasikia wametekwa na kupigwa sana 🫎 Lazima neno kutekwa liwepo kuongeza ukubwa wa jambo‼️
  14. M

    JamiiForums Tanzania Marekani wamekimbia huko ghuba ya uajemi wengine wapo hapo Mombasa Kenya.

    Wapigwe tu hakuna jinsi 💥💥✍️
  15. M

    JamiiForums Tanzania Lissu ameamua kwenda kinyume na wanaharakati, atuma salamu za pole kwa Rais Samia

    Wameona aibu‼️ lkn Lupango ipo palepale mana Kinashanuka kwa Watoto wawatu na wamezika tayali wapendwa wao ✍️
Back
Top Bottom