Recent content by mdogoee

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Yani Mke hatambui ndoa mchana kweupe👈 lkn usiku anakuja kulala kwako🤠🤠
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Mkuu hongera sana uwezi wako mkubwa sana kwenye hoja na uwelewa 💪 Lkn Zitto junior nayeye yupo oky sana kwenye uwelewa 💪 Nyinyi wawili ndio mmefikia hitimisho👈 Allen kazingua kwenye msingi wa hoja❌️
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Sawa najua kwasasa meno yote nje👈 mtaanza kujaza mipesa ya tone tone kwenye Fuso upyaa njaa inaenda kuisha Chadema🤠🤠
  4. M

    JamiiForums Tanzania Katibu Baraza la Wazee CHADEMA: Tulipanga kuandamana ili Heche atupishe, Msajili ingilia kati

    Msije matatizo yenu mkaeasingia wengine hoo wale vijana ni CCM sio Chadema!! Wakati wao hawana pesa na wanasikia Heche kapokea mipesa ya kumwaga!😇 Tegemea vita 👈 sisi binadamu nisawa na Wanyama tu kugombea tumbo lako ruksa🤠🤠
  5. M

    JamiiForums Tanzania Katibu Baraza la Wazee CHADEMA: Tulipanga kuandamana ili Heche atupishe, Msajili ingilia kati

    Chadema wangetoa maelezo ya msingi kuusu Heche, kabla Viongozi kwenda uko mikoani kukusanya tone tone 👈
  6. M

    JamiiForums Tanzania Katibu Baraza la Wazee CHADEMA: Tulipanga kuandamana ili Heche atupishe, Msajili ingilia kati

    Uyu Heche kama kweli kapiga pesa uko mikoani wanaenda kumpiga kabisa🫎 Kosa pesa la pili kawatukana wana Chadema❗️tatu viongozi wengi wa uko mikoani kwasasa hawana pesa na wakumuomba hawana❗️👈 siku za nyuma walikuwa wanawaomba Wabunge wale wadada na Mzee mbowe kwasasa kumekauka uko❗️ Lissu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Wamegomea watu ✍️ au niww ndio umegomea na wenzio wachache!! Lkn Watanzania tulienda kupiga kura kwa Amani kabisa👈
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Hukuenda ww👈 sio Watanzania👈 kufanya fujo kimara ndio Mikoa yote Tanzania na Wilaya zake watu wamepiga kura kwa utulivu kabisa kwa %95 kwanzia asubuhi mpaka jion kabisa✍️
  9. M

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia mataifa matano ya Ghuba, yaifungia Hormuz baada ya mabomu ya Marekani

    Mana mazuzu🫎❗️ wanadai Ety anaiyogopa Israel😇 lkn mshangao Iranian haiyogopi Marekani Baba wa Israel uyo uyo🫎🫎✍️
  10. M

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia mataifa matano ya Ghuba, yaifungia Hormuz baada ya mabomu ya Marekani

    Waisrael kwasasa hofu yao wale wahuni waamue kuyadondosha kwenye miji yao!! Ndiomana kwasasa Israel ipo kimyaaa 🫎❗️ kanakwamba lile eneo kuna Amani wanawajua Iranian❗️ kama wanamchapa Marekani vip wakiamua waanze kumchapa nayeye👈
  11. M

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    Wanajeshi wa Marekani wamekufa wengi maeneo mawili Jordan na Syria na ukweli wanaficha idadi ya Vifo lkn vingi sana!! Maeneo ya Qatar UAE Kuwait Bahrain na Saudi Arabia uko Wanajeshi wa Marekani wanamachimbo mengi ya kujificha👈 Lkn wanachoweza Ficha ni rasilimali watu tu mana walijua pale...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    Lkn Wasukuma wapo weupe na weusi ukimkuta Msukuma mweupe unaweza zani Mchaga au kondoa bin Singida weupe kweli kweli👈
  13. M

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    nakuunga mkono kwa %100 Mabint wengi wakitoka mikoni kuja mijini muda mfupi sana wanakuwa wazuri zaidi tatizo lishe duni kule wanapotoka👈 Wakiwakule kulayao niyakujaza tumbo lisimsumbue njaa✍️
  14. M

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    Awa wote wameuwawa kwenye hii phase ya juzi 👇
  15. M

    JamiiForums Tanzania Houthis kuanza kutoza ada kwa kila meli ipitayo bahari nyekundu

    Na pia kimbelembele kuingiza migogoro kwenye nchi kama zetu zenye kujitafuta🫎👈 wanataka tuuwane tu zaidi na zaidi wao wachukue rasilimali zetu👈 Unakuta kikishawaka hawataki Moto uzimike💥💥🫎👈 wakiona pande moja wapo inayopigana inaupungufu wowote wa silaha! wao wanakuja kivingine kwako...
Back
Top Bottom