Iranian wamejua kucheza na Akili za uyu Kibabu cha kilokole👈
Kwasasa hanajuta kwanini kachagua Vita mana vimeidhalilisha Marekani na Ulaya kwa pamoja🤔✍️
Kama Kisheria Serikali hawayatambui yale Maandamano
Sababu yamekosa Msingi wa Kisheria kuweza kuitwa Maandamano ya Amani👈
Wale Kisheria walikuwa ni Majambazi walikotokea wanajijua wenyewe
Wamevamia miji na kuanza kuichoma MOTO
MAJAMBAZI kuyauwa sio kosa Kisheria Ndiomana Hakuna wa...
Tanzania yupo mmoja sitaki kumtajq jina lkn tangiq ile Mo29
Mpaka sasa anaishi kwa hofu sana
Yupo kwa kujificha ficha tofauti na kabla ya Mo29
Uyu mtu kwasasa yupo kwenye radar
Ushahidi unamuangukia yeye kuwa ndio kausika kuleta vijana
kutoka nje ya nchi
wenye silaha👈
Wakawa wanatembea...
Polisi wetu hawawezi kuwauwa watu kinyama vile mitaani
Manake wale Wavunja Sheria Wavamizi kwenye jiji letu ndio wameusika kuwauwa watu mitaani
Ukisema sio kweli
Tafuta ukweli wa Vifo pale Iran kwenye Maandamano walikufa watu 3000+👈
lkn Serikali wamekuja kugundua ktk walewale Wanaandamaji...
Wewe ukisikia neno maridhiano kwako unaelewa vip??
Mana wkt wa Mzee Mbowe yupo ndani au Lupango
Si pia kulitokea Maridhiano kati ya CCM na Chadema
Wakati ule hakukuwa na Uchaguzi wala kifo cha yoyote au maandamano yoyote
Lkn bado Maridhiano yalifanyika
Kwako au na wengine neno maridhiano...
Ukivunja Sheria kwa kiwango kama kile cha Mo29
Kama kufa umekufa kibudu hasara kwa Taifa lkn hasara kwa Wazazi wako
Upumbavu umefugwa na Mazazi mwenyewe🫎🫎❗️
kuwachekea chekea Maviongozi ya DINI
WANAWAPELEKA WATOTO WENU KWENYE VITA NA MAPOLISI
2026 mo29
Viongozi wa Kikristo wanabeba...
Wakiombwa Msamaha watu wa aina ile Wavunja Sheria ❌️
Ipo siku tutakuja kushtuka Airport imevamiwa na
kuchomwa MOTO 💥💥💥
na makundi ya watu kama wale wasiofuata Sheria!!!!!!
Baada ya apo yatasubiri kuombwa Msamaha na Serikali 😇😇
Kisha kutokea apo Yatadai Fidia Serikali iyo iyo✍️
MZEE Wasira Mungu ampe maisha marefu
Mungu hanamakusudio yake ndiomana mzee tunae mpaka leo kulisimamia Taifa pale kwenye mikwamo🙏
Hakuna Sababu ya kuwaomba Msamaha wavunja Sheria
Ili waitwe Waandamanaji✅️
walitakiwa kufuata Sheria kwanza ndio Waandamane
Sasa wahuni wavunja Sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.