Ndio maana siku hizi nguvu za kiume ni tatizo kila kona, unamkomoaje mwanamke? Mwanamke hakomolewi ndio maana anaweza kuwa anaigiza kulia wewe unavimba kichwa kuwa unamwumiza kumbe anakudanganya.
Fata moyo wako mama life is too short, isitoshe kuna maada ikiletwa humu kuhusu mwanaume kumwacha mke utasikia tu ''achana nae tafuta mwingine'' ila ikija kwa mwanamke utaona ushauri mwingi wa kuvumilia. Tupa kule hata ukiishi mwenyewe haina shida mradi moyo wako una furaha.
Hata kama hujaolewa una uwezo wa kuwa busy na mambo yako ya kukuletea maendeleo na ukafanikiwa. Kinachowakosanisha watu ni ile kukariri kuwa kwa vile kaka ana mali ni halali yako wifi unakaa kiboya bila kujishughulisha ukitarajia kutimiziwa kila kitu na kaka yako ili hali na yeye ana majukumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.