Ni sisi wanaotubeza Tuliwaokoa Wasichinjane, Tungekuwa Wa Ovyo Tusingefanya Hayo. Kinachowasumbua Kinajulikana...
Na mfumo wao ungekuwa Imara, Mahakama ISINGE TENGUA MATOKEO NA KURA KURUDIWA
TUME YAO INGESIMAMIA VIZURI TU WALA MAHAKAMA ISINGEKUWA NA HAJA YA KUTENGUA MATOKEO..
SABABU Za Kutengua...
Sidhani Kama Fixed Deposit Ni WIZI Ndio Maana Zimewekwa Katika Mfumo wa Ki Benki World Over.
Unafanya Nini Na Pesa Za Faida Baada Ya Pesa Kuingizwa Katika Fixed Deposit Labda Kwa Faida Binafsi Ndio Unaweza Kuwa WIZI.
Na Ushahidi Kama Upo Walikula Wakamatwe TU Na Kortini Wakajibu.
Lakini...
Pumbavu Zao Wasitutishe Waseme Na Multinational Companies Zao Zimeiba Kiasi Gani Pia.
Wao Kesi ya RADAR Waliizima Kuokoa BAE , Juzi ya STANDARD CHARTERED Wameizima Kuzima Wizi.
Ni Vipi Leo Wawe Na Moral Authority ya Kupiga Kelele.
Shame on Them.
Watu Hawa Wa Ajabu Serikali Isipofuata SHERIA IMETIWA MFUKONI, FISADI nk
Ikitimiza Majukumu INALIPA VISASI[emoji15][emoji15][emoji15]
SHERIA Haijalishi Ulimsapoti Magufuli Au Lowassa Umekiuka Unawajibishwa Tuuu.
Tuliona Kina Mama Mabondeni Wakilalama Waliisapoti CCM Na Wamevunjiwa.
Tuache...
Bandari Ya Bagamoyo Haina Ubaya Wowote.
Hivi Nchi Ikipata Rais Kama KUNA Eneo Anakotoka Linafaa Kwa MRADI Basi Aogope Sababu Tu Watu Kwa HISIA Kuliko MANTIKI Watasema Anapendelea Kwao???
Wanaiangalia Kila Jambo Kwa Ukabila BADALA ya Merits Ndio WAKABILA NO 1.
Mbona MIRADI Mikubwa Wakati Wake...
Watu Wa Ajabu Sana Kwani Akitokea Bagamoyo Maana Yake Bagamoyo MIRADI Isifanyike????
Tuangalie Merits Sio Nani Anatoka Wapi?
Mbona Magufuli Ameanzisha Usanifu wa Daraja Kuvuka Ziwa Victoria BUSISI Akija Rais Mwingine Asitishe??
Mbona JK Alianzisha MIRADI UDOM,MALAGARASI, KIGAMBONI, KILOMBERO...
Binafsi Sidhani Kama Ni Busara KUSITISHA UJENZI BANDARI YA DARESALAAM Imeelemewa Saana , Haina Eneo Sioni Dhambi Kujengwa Bandari Bagamoyo Ni Sehemu ya Tanzania Na Ilikuwepo Kwenye Mipango.
Daresalaam Hakuna Sehemu ya Miundombinu.
KUINGIA Bandarini Leo Inachukua Lorry Hata 6 Hours Foleni...
Kikwete Anahusika Vipi?,Kila Kitu Siasa Tu!!!,
Hivi Ukiwa Kiongozi Maana Yake Kila UPUUZI Au Udhaifu Binafsi wa Watu wa Chini Yako Uubebe Wewe??
Mfumo wa Ulinzi Bandarini Haupo?, MKURUGENZI wa Bandari Hayupo?, Bodi?,Waziri wa Mawasiliano Na Uchukuzi???
Serikali Imeweka Mfumo, Tatizo Tukubaliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.