Kuhusu wale vijana waliokuwa wanaandika MWIGULU RAIS 2015, baadhi wanadai hawakupokea malipo yao. Vipi, unalizungumziaje hili suala mheshimiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
RCO wa Tabora ajiandae. Wazungu wa JTI wanabambikiza makosa kwa wafanyakazi, polisi wanawatesa na kuwalazimisha wakiri, kuna mzee wamemvunja mbavu. Ngoja tuendelee kukusanya data...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.