Recent content by mdanku

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni haki Simba SC kumbadili kocha kipindi hiki

    Timu iko kwenye mchakato wa mabadiliko kama kutakuwa Na mgawanyiko mnafikiri tajiri gani atawekeza kwenye klabu yenye mgawanyiko? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ni haki Simba SC kumbadili kocha kipindi hiki

    Sioni kitakachoigawa simba kwa kuwa timu ni nzuri na vuteni subira ndugu zanguni cha msingi washambuliaji wajitume Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni haki Simba SC kumbadili kocha kipindi hiki

    Tatizo la simba sio Omog timu inacheza vizuri lakini haina wafungaji mbona walipoifunga Ruvu shooting haya yote hayakuwepo? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni haki Simba SC kumbadili kocha kipindi hiki

    Simba wanatakiwa kuwa na uvumilivu timu haijengwi kwa muda mfupi kama wanavyofikiria, wapeni muda Omog na mayanja mtafurahi wenyewe hamuoni wenzenu yanga walivyo Na subra Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuna umuhimu gani wa Mbwana Samata kuparticipate kwenye team ya taifa wakati hachezi?

    Mbwana hachezi mashindano ya CHAN bali AFCON ambayo tunacheza Na Lesotho jumamosi saa 2 usiku uwanja wa Chamazi lakini je Samatta ameshakuja?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kila siku Okwi Okwi,ni kwel anahitajika?

    Rekebisha kiswahili chako kwanza
Back
Top Bottom