Kuna umuhimu gani wa Mbwana Samata kuparticipate kwenye team ya taifa wakati hachezi?

donald mickhitarian

Senior Member
Apr 22, 2017
120
47
Hivi kuna umuhimu gani wa Mbwana Samata kuparticipate kwenye team ya taifa ili aisaidie kufuzu CHAN wakati Hachezi... Hatuoni kwamba itaawafanya wabweteke
 
Mbwana hachezi mashindano ya CHAN bali AFCON ambayo tunacheza Na Lesotho jumamosi saa 2 usiku uwanja wa Chamazi lakini je Samatta ameshakuja?
 
Back
Top Bottom