Niliwahi kufanya research kuhusu hii biashara ingawa sikuwahi kufanya. Kwa kweli ni biashara nzuri ila inategemea unatarajia kufanya wewe au utahitaji kuwa na vijana ambao watakua wauzaji kwa niaba yako. Kwa ushauri wangu ni vyema ukaanza kufanya wewe mwenyewe. Siku hizi naona Kuna vikabati...
Kwa ushauri wangu. Usiende kariakoo kichwa kichwa utaumia. Tafuta mtu ambaye ameshawahi au anafanya hiyo biashara ongea nae kwa uzuri mweleze shida yako mpe hela ya soda kidogo, muombe muda wake kidogo uongozane nae mpaka kariakoo ili kununua mahitaji yako kwa usalama zaidi. Ukienda mwenyewe...
Mkuu umenena kitu kikubwa sana sema vijana sisi tuna tatizo moja ambalo limekua ni ugonjwa mkubwa sana tatizo lenyewe ni kukatishana tamaa bila kujaribu au kuangalia kuna watu wanauza vitafunwa kila siku ila hawasongi mbele. Siku moja nilifanya research ndogo sana kuhusu biashara ya mayai ya...
Habari mkuu
Mimi ni mfanyakazi wa casino mpaka sasa nna zaidi ya miaka 5. Nakushauri mwache aende tu ile ni kazi kama kazi zingine. Na hakuna baya lolote linaloendelea, kwa wale ambao hamfahamu casino sio sehemu ya maovu kabisa. Tena kuna watu wanakuja na familia zao. Kikubwa anapaswa kufahamu...
Habari wakuu.
Naombeni msaada kama kuna mjuzi yoyote anaifahamu biashara ya vinywaji (soft drinks) kama vile soda, maji juice za chupa kwa uuzaji wa jumla.
Iwapo nahitaji kuwa wakala wa makampuni yanayozalisha ni vigezo gani vinavyohitajika?
Asanteni sana.
Mtu mmoja aliwahi kusema "Ukishindwa kuwaondoa marafiki wanaokuangusha au kukutoa katika mstari kwa sababu ya hofu ya kuachana nao basi kesho utajilaumu kwanini umeshindwa kutimiza ndoto zako kwa kuendelea kung'ang'ania Kuwa nao".
Katika Maisha yako kuna baadhi ya vitu unavyoving'ang'ania...
Jana katika pitapita yangu mitaa ta Kinondoni ninekutana na dada mmoja wa kichaga ambaye tulikua tunafamiana kwa muda mrefu. Baada ya salamu na stori mbili tatu kuna vitu akaanza kufunguka kuhusu maisha ya biashara hasa inayohusiana na vifaa vya shule.
Nimejifunza mengi sana na kibaya zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.