Nakubali umesema hakuna binaadamu wakwanza kutokana na urofauti wa rangi na vinasaba unamaanisha tumeombwa tofauti tuchukulie washaumbwa watu warangi tofauti navinasaba je walitokana nann au walikuja kivip mpaka wakawepo duniani tunahitaji chanzo cha uwepo wap utuelezee
Katika kumbukumbu zangu Kuna wale wa mwaka jana tangu march nafasi zilipotangazwa waliokuwa na uhakika wa kwenda rts lakini ikapita kimya kimya mpaka sasa mbanga zao hazipokei simu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.