Wazo zuri sana. Hawa jamaa wapewe motisha na pia jamii ihamasishwe kujilinda dhidi ya haya mashetani matekaji. Kuwe na utaratibu wa kuwareward mashujaa wote wanapambana na hawa mashetani watekaji.
Wewe jamaa ni lipumbavu, cha kusikitisha pengine una mke na watoto au na wajukuu kabisa ila ndio hivyo tena kichwani umejaza ujinga tu. Hao wenyewe wanaotupa misaada hawawezi kuonyesha matumizi mabaya ya kodi za wananchi wao ile viongozi wa shithole country hawaona shida kununua mkoba wa...
Wewe k huna akili, najua unalipwa kutetea huu upumbavu ila kwa kuwa tu umekubali kutetea huu upumbavu basi ni ushahidi tosha huna akili. Lavish living style ya mtumishi wa umma huwezi kumlinganisha na Tom Cruise ambaye sio mtumishi wa umma. Wewe ni msengerema kwa kushindwa kutofautisha mipaka ya...
Kama huwezi kuona uhusiano kati ya hali ya maisha ya wananchi na hali ya maisha ya kiongozi basi wewe ni taahira na mpuuzi ambaye ni hasara kwenye jamii. Wananchi wanaishi maisha duni lakini kiongozi anaishi a lavish life style halafu huoni kama ni tatizo wewe ni mpumbavu na mpuuzi na hasara...
Halafu wewe jamaa unatuharibia siku kutetea upumbavu. Kuna mdau amekuambia nchi bado inategemea misaada ya wahisani unapataje ujasiri wa kununua mkoba usio na tija yoyote kwa gharama kubwa kiasi hicho? Yaani hata huoni logic ya mleta mada? Hata kama mil 14 haiwezi kujenga hospital lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.