Serikali yako harusi imeifungia Jamiiforums, haitaki JF itumike, lakini wewe unaizunguka serikali haramu kwa VPN na kuingia JF. Anyway kwanza napoteza muda tu kubishana na zombie kama wewe
Wewe ni mpumbavu na kama sio mpumbavu basi ni mnufaika wa huu ufisadi wanaofanya akina abdul na mama ake. Sitaki hata kukuelezea sababu za watu kuitisha maandamano yaliyopelekea kuuawa kama mende kwa sababu sababu unaijua. So acha nimalizie kwa kukuambia tena wewe ni mpumbavu
Kusema ukweli samuya hamna kitu kichwani, hilo lazima watanzania tulikubali. Tukishakubali kuwa huyu mwanamke kichwani hamnazo wala hatutaumizwa na hizo kauli zake za kufedhehesha na kuhuzunisha badala yake tutatafuta namna ya kumwondoa kwenye hicho kiti ili asiendelee kutuharibia nchi yetu
Kusema ukweli samuya hamna kitu kichwani, hilo lazima watanzania tulikubali. Tukishakubali kuwa huyu mwanamke kichwani hamnazo wala hatutaumizwa na hizo kauli zake za kufedhehesha na kuhuzunisha badala yake tutatafuta namna ya kumwondoa kwenye hicho kiti ili asiendelee kutuharibia nchi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.