Recent content by Mdaiwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania This is Zambia not Tanzania. Walotumwa kuharibu Uchaguzi Wafukuzwa

    Wewe jamaa sidhani kama una elimu hata ya form four. Unashindwa hata kusoma “between the lines”. Huyo mwamba anaongelea figuratively kuwa Tanzania kuna ubakaji wa demokrasia. Tanzania uchaguzi unaporwa na ccm. So what don’t you understand here. Una makasiriko ya kipumbavu wewe choko
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti CHADEMA Kilindi: Heche kuniita Mbwa ni sifa, hakutumia busara

    Acha usenge wewe choko. Mbona unawashwa sana na mambo ya chadema. Pambana na mambo ya ccm ya kuteka na kufira wakosoaji
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wapinzani wenzetu hivi nyie hamli, hamnywi, hamfanyi mazoezi?

    Siku zote nimekuwa nikihisi wewe ni chawa. Uandishi wako siku zote ulikuwa unanipa uwalakini ila leo you have cleared all my doubts.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Kichwa cha habari kipo tofauti na usenge ulioandika
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amewazoesha vibaya sana huu msemo huu wa kijinga CHADEMA na imewakaa kichwani

    Kumbe na wewe ni takataka? Hebu soma tena ulichoandika uone kama aliyeandika ni mwenye mtindio wa ubongo au mzima
  6. M

    JamiiForums Tanzania CCM waliomba kanisa Katoliki kuwaleta CHADEMA katika meza ya maridhiano!

    Huyu chawa anaongea pumba tu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Umemwuliza swali zuri sana. Na mimi nasubiria jibu Yoda
  8. M

    JamiiForums Tanzania Democratic (USA) walitumia mahakama kumthibiti Trump, naye akatumia mahakama kujijenga kisiasa, Akashinda. CCM Jifunzeni

    Halafu wewe kvuma unajifanyaga una hasira sana eeh! Maana kila mara nakuona unaquote watu kwa kuwatukana na kujifanya unahasira kama bibi yako kilaza wa kizimkazi anayesema lita moja ya mafuta Marekani ni dola 8,000. Sasa nikuambie kitu and take note of it. Utashughulikiwa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Democratic (USA) walitumia mahakama kumthibiti Trump, naye akatumia mahakama kujijenga kisiasa, Akashinda. CCM Jifunzeni

    Kabisa mkuu! Ila tofauti ya Bongolala na Marekani ni hii: Uchaguzi ukifanyika hata leo hii CHADEMA inashinda, kwa hiyo tayari chadema ina public sympathy kwa yale inayofanyiwa ila shida ni kwamba CCM wanaiba kura. Hiyo ndio tofauti boss wangu. Chadema itashinda ila matokeo yatapinduliwa tofauti...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Watu wanaomzunguka Rais wanamuhujumu, tumeomba AFCON ifanyike hapa halafu mtu anasema kuna ugaidi!

    Huyo namba 1 mwenyewe ndio anayewatuma kufanya hivi. Zero brain
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ni suala baya sana kama taifa, utekaji na kupoteza uhai wa raia siyo suruhu ya matatizo ya taifa letu

    Watalipia tu huu uovu wao. Mungu yupo na halali.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Kuwafukuza nadhani ilikuwa mihemuko tu ya mababu zetu. Biashara ya utumwa ilikuwa imekomeshwa sasa kiherehere cha kuwafukuza kilikuwa cha nini?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Hata sielewi kwa nini tuliwafukuza wakati utumwa ulikuwa umekomeshwa
  14. M

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Wewe acha kupoteza vijana. Furaha ya ndoa ni kuishi na mtu unayempenda. Ukioa kisa mali ndoa yenyewe haitadumu na kama itadumu utakuwa kama uko kifungoni.
Back
Top Bottom