Wewe jamaa sidhani kama una elimu hata ya form four. Unashindwa hata kusoma “between the lines”. Huyo mwamba anaongelea figuratively kuwa Tanzania kuna ubakaji wa demokrasia. Tanzania uchaguzi unaporwa na ccm. So what don’t you understand here. Una makasiriko ya kipumbavu wewe choko
Halafu wewe kvuma unajifanyaga una hasira sana eeh! Maana kila mara nakuona unaquote watu kwa kuwatukana na kujifanya unahasira kama bibi yako kilaza wa kizimkazi anayesema lita moja ya mafuta Marekani ni dola 8,000. Sasa nikuambie kitu and take note of it. Utashughulikiwa
Kabisa mkuu! Ila tofauti ya Bongolala na Marekani ni hii: Uchaguzi ukifanyika hata leo hii CHADEMA inashinda, kwa hiyo tayari chadema ina public sympathy kwa yale inayofanyiwa ila shida ni kwamba CCM wanaiba kura. Hiyo ndio tofauti boss wangu. Chadema itashinda ila matokeo yatapinduliwa tofauti...
Wewe acha kupoteza vijana. Furaha ya ndoa ni kuishi na mtu unayempenda. Ukioa kisa mali ndoa yenyewe haitadumu na kama itadumu utakuwa kama uko kifungoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.