Recent content by md Nickson

  1. md Nickson

    Masista ni wakatili sana

    Kuna shule ya Masister inaitwa Archangels pre and primary ipo Moshi mjini Kuna sister pale mkuu wa shule ananyanyasa waalimu na wafanyakazi sana,maneno ya kashafa na kudhalilisha,hapeleki Mafao ya wafanyakazi NSSF .Mishahara midogo mno,na wazazi wanalipa 2milioni +.Naomba serekali ifuatilie hii...
  2. md Nickson

    Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

    Ulitaka mwanamke mwenye kazi, hayo ndio Matokeo yake,kiburi, jeuri, akijua humfanyi chochote kifedha.
Back
Top Bottom