Recent content by mcTobby

  1. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    "Spies comes in many shapes and size" hii nukuu niliipata kwenye kitabu cha spies and the traitor cha Ben Macintyre....tokea hapo nikajifunza Jambo kwamba hata mfagia ofisi wa pale ndani kwa afisa au mkuu wa wilaya anaweza kuwa njagu.
  2. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Kuna mtu aliwahi sema Mbowe yupo kwenye payroll za ccm kwa miaka Sasa naanza kumuelewa hivi ... NB:Tiss na political espionage mmenifunza jambo🫵🫵😎
  3. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Ulinzi na Usalama, someni maandishi yaliyopo ukutani

    Kwanza huu muungano huu usioeleweka huu anyway...
  4. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Ulinzi na Usalama, someni maandishi yaliyopo ukutani

    Wakati Hitler anaipitisha bara la Ulaya kwenye tanuru la Moto ,wale viongozi wa juu wa Nazi akina Herman Goring , na wenzake hawakutegemea kwamba siku moja wangefikishwa mahakamani pale kwenye mji wa Nuremberg kwa pingu kwa ajili ya kuilezea mahakakama na Dunia kuhusu matendo yao wakati wakiwa...
  5. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Ukweli usemwe; huu udongo wa Wasira na Warioba sio wa Dunia hii!!

    Kile kinachokuletea Stress achana nacho. Ona kama sio riziki yako na upite hv.📍📍📌🫵🫵
  6. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Samia Suluhu Hassan, Tushamfukia tayari.. Amekufa mapema

    🧐🧐🤔
  7. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kifo Chafichua Maumivu

    Walengwa hawezi kuona maana tayari vyeo na mamlaka vimewalevya
  8. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kifo Chafichua Maumivu

    Ogopa sana machozi ya mtu anayelilia moyoni
  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Hiyo style yako ya kusikitika msiba ndio sijaipenda🫵😄
  10. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Samia Suluhu Hassan, Tushamfukia tayari.. Amekufa mapema

    Naomba kuuliza je mzee ameir alikuwa na mke mwingine?
  11. mcTobby

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    binti kiziwi na wewe kumbe ?
  12. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Kuna kanuni moja kuu ambayo drug cartel wa pale Amerika ya kati wanaishi nayo sana ADAPT OR DIE . Hii inamanisha kadri serikali zinavyojiimarisha kuzuia biashara hii ya madawa kulevya, nao drugs cartels wanatembea na kanuni ya kibayolojia ya Adapt or perish.... Mfano serikali ikisema...
  13. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Nipeni dili moja tu yenye akili ,usiponiona zaidi ya siku mbili ujue ....dah ...Rip Ngwair
  14. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Mshangao: Mpaka Leo kosa la Nchimbi haliko wazi sasa machawa wanapongeza nini??

    Ni was3ng3 tu wasiojielewa
Back
Top Bottom