Recent content by mcTobby

  1. mcTobby

    Mfano mimi ndio baba mkwe wako sasa, hebu nishitakie tabia za mwanangu

    Ba Mkwe ni aje... Ambia Binti yako awe anaoga.... Huwa anatoa kaharufu kananikera mimi😑😑😑
  2. mcTobby

    Kwanini Watu Wenye (IQ Kubwa) Wanaongoza Kuwa na 'Mabushoke' Kwenye Ndoa na Mahusiano Kuliko Darasa la Saba?

    Licha ya hizi mbanga na harakati..at the end watoto ndio waathirika wakubwa
  3. mcTobby

    Kwanini Watu Wenye (IQ Kubwa) Wanaongoza Kuwa na 'Mabushoke' Kwenye Ndoa na Mahusiano Kuliko Darasa la Saba?

    Comment Namba 5 hapo juu amejibi vizuri kabisa... Hii ni battle ya Logic vs Emotions. Hapa logic haifui dafu linapokuja kwenye swala la mapenzi linaloamuliwa na hisia.......
  4. mcTobby

    Nyumba ni kaburi lenye milango na madirisha lililojengwa juu ya ardhi

    Mshana Jr Kuna mtu hajakupa credit 😤
  5. mcTobby

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Lakini ikumbukwe kwamba women are loyal to their feelings and emotions and not your sacrifices you offer to them
  6. mcTobby

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Maxence Melo sema nawaelewa hao warembo hapo ofisini😎😎 haswa huyo bonge bonge😍😍🤌🤌... Wadau msini report 😑😑
  7. mcTobby

    Mapenzi sio Charity: 50/50 ama uko Solo

    Logically upo sahihi kwa ulichokisema hapa... Lakini kiuhalisia mahusiano or so called mapenzi huendeshwa na principles za feelings & Emotions .... Logic na mapenzi havipelekani abadani
  8. mcTobby

    Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

    Hivi vitu viwili ambavyo mara nyingi hutumia Emotions na sio Logic havijawahi kumuacha mtu salama katika historia ya dunia hii
  9. mcTobby

    Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

    Sikupingi katika hili....afu ukiwaona utasema wana hati miliki ya Mbinguni
Back
Top Bottom