Huyu si wa kwanza wala kuwa wa mwisho .. kutopenda kuambiwa ukweli.... Mfano HITLER alikuwa anapenda KUSIKIA kile alichopenda KUSIKIA ... La sivyo kama angekuwa ni wale wanaosikiliza ukweli halisi maybe Hitler angeshinda vita kuu ile...
Ngoja siku na mimi nikiwa na mpenzi nitakuja kutoa ya moyoni... Ila mwanamke anayenuka jasho jasho 😖 mh hapana kwa kweli... Mimi ninuke jasho , na mwanamke anuke jasho dah! Hapana .
Kusema ukweli hizi nywele wanazosuka akina dada siku hizi ,sijui Brazilian hair,mara Peruvian hair .....☠️☠️💀💀...
Sasa kama Daudi bashite "ame steal the show" yeye angefanyaje?🥹🥹.. huoni bro bashite ametaka awe main character kwenye hii drama😶🌫️ ukizingatia ni toto pendwa🏃🏃🏃
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.