Recent content by mcTobby

  1. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Wamarekani wataweza kuifanya hii operesheni??

    Hakika.. kwanza logistics ya kupeleka zana za kivita Frontline ni mtihani mzito sana.... Kifupi huo mziki hawezi kuucheza.
  2. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Wamarekani wataweza kuifanya hii operesheni??

    Ili waweze fanikiwa lazima wapitie tena notice za uvamizi wa fukwe za Normandy al maarufu kama D-Day... By the way ni impossible ukilinganisha na geographical features ya Iran... Ili aweze kuivamia Iran inabidi pia aziteke Syria, Yemeni na Iraq
  3. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Watanganyika tuwe Makini: Kauli ya Nchimbi inayotututaka Wananchi kupigania katiba mpya inafikirisha sana

    siasa ni msitu mnene watu wanasukuma kete kimkakati sana mwehu ndama 2026A.D
  4. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Isaac Njenga Njoroge: Jamaa aliyeyajua Mengi

    Sir buyer
  5. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Misheni iliwekwa sawa mipango ikaparanganyika sasa tunakwenda nayo kwa namna yeyote

    Mdau nimeipenda hii thread 🫵🫵😎
  6. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Usiku ambao malkia wa Cocaine alitaka kumuua Rais wa Colombia

    Hakuwa mchache
  7. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Usiku ambao malkia wa Cocaine alitaka kumuua Rais wa Colombia

    Ni kama alikata supply chain ya ma kingpin wa hapo Ulaya ... Huyo jamaa ukijaribu kufuatilia ni kama kisasi tu wanamlipiza
  8. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Usiku ambao malkia wa Cocaine alitaka kumuua Rais wa Colombia

    Kuna makala nilikuwa nafuatilia hao DEA unakuta wapo on duty na kukaribia kunasa mtu ila ghafla maagizo kutoka white House yana stopisha kila juhudi... Au mtu wamemnasa na ushahidi ila ghafla kunatokea plea Bargaining za ajabu 😑
  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Isaac Njenga Njoroge: Jamaa aliyeyajua Mengi

    Kitendawili cha Nahashon Isaac Njenga Njoroge Ilikuwa tarehe 5 Julai 1969. Jiji la Nairobi lilikuwa na hali ya hewa ya jua, barabara zilikuwa na pilikapilika za kawaida, na Tom Joseph Mboya—aliyejulikana kama "Boy Wonder" wa siasa za Kenya—alikuwa akitoka kwenye duka la dawa lililokuwa kwenye...
  10. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Usiku ambao malkia wa Cocaine alitaka kumuua Rais wa Colombia

    Hakika...sema zile dealz zinachezwa na ma kingpin wa hadi Miami Florida.
  11. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Usiku ambao malkia wa Cocaine alitaka kumuua Rais wa Colombia

    Huko Colombia ukiwa rais mzembemzembe kukuondoa ni matter of time
  12. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Ni hatari sana kufanya urafiki na mtu anaependa pesa kupitiliza, kuna siku atakugeuka hutoamini

    Dah. Kweli man ulijifunza in a hard way kutoka kwa walimwengu... Mtu kupenda pesa au wanawake kuliko pitiliza afu awe rafiki yako ,itatokea siku ata ku let down sana.. hizi ni red flag mbaya sana
  13. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Usiku ambao malkia wa Cocaine alitaka kumuua Rais wa Colombia

    Miaka ya 1980 na 1990 iligubikwa na vita vya umwagaji damu kati ya serikali na makundi makubwa ya kihalifu. Wote tunaijua hadithi ya Pablo Escobar, lakini kulikuwa na mwanamke mmoja katili zaidi aliyetawala jiji la Miami na Colombia kwa mkono wa chuma:aliitwa Griselda Blanco, aliyefahamika pia...
  14. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Sema kuna muda kuwaamini wanaume ni ngumu sana

    Am well kabisa...ni jambo jema kama upo salama...📍📍📌
  15. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Sema kuna muda kuwaamini wanaume ni ngumu sana

    Leejay49 off topic... Uko mzima? Maana tokea hekaheka za oktoba 29 hauonekani humu..🙂
Back
Top Bottom