Recent content by mcTobby

  1. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wako wa jamii forum (jina) chanzo chake ni nini?

    Coco upo single au taken🥹🥹
  2. mcTobby

    JamiiForums Tanzania OPERESHENI YA SIRI YATIKISA WHITE HOUSE✍️

    Huyu bwana wanamtamani sna kum jeifukei... Mungu amlinde tu...ni kama ana maadui ndani na nje
  3. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Tatizo la CCM ni kuwa hakuna wa kudiriki kumwambia Mwenyekiti kuwa Hapa tunajielekeza vibaya tusifanye hivyo! Kibaya wengine ni toka jalalani

    Huyu si wa kwanza wala kuwa wa mwisho .. kutopenda kuambiwa ukweli.... Mfano HITLER alikuwa anapenda KUSIKIA kile alichopenda KUSIKIA ... La sivyo kama angekuwa ni wale wanaosikiliza ukweli halisi maybe Hitler angeshinda vita kuu ile...
  4. mcTobby

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WANAUME: Zipi ni turn-offs kwako kwa mwanamke?

    Ngoja siku na mimi nikiwa na mpenzi nitakuja kutoa ya moyoni... Ila mwanamke anayenuka jasho jasho 😖 mh hapana kwa kweli... Mimi ninuke jasho , na mwanamke anuke jasho dah! Hapana . Kusema ukweli hizi nywele wanazosuka akina dada siku hizi ,sijui Brazilian hair,mara Peruvian hair .....☠️☠️💀💀...
  5. mcTobby

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WANAUME: Zipi ni turn-offs kwako kwa mwanamke?

    I second you. Nywele za kwapa aa
  6. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Mimi Napenda mno kusoma

    Vinakuondolea Hali ya kutu kichwani
  7. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Mimi Napenda mno kusoma

    History, geopolitics, thrillers na world geography.. ni vitu navyopenda sana since nikiwa secondary
  8. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Mimi Napenda mno kusoma

    Hapana .. ni genre tu nayoipenda😂😂😂
  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    Na maamuzi yake yaheshimiwe😂😂
  10. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Mimi Napenda mno kusoma

    Tupo ligi moja mdau... Sema mimi mambo yangu nayoyasoma ni magumu kidogo 😎😎😎 MENEMENE TEKERI NA PERESI
  11. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    NOma
  12. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    Kuna msemo wa kijinga kwamba kila mtoto huja na riziki yake hapa duniani💀☠️ upuuzi😵‍💫😵‍💫😖
  13. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Je TISS imekuwa Kinyago Cha Mpapure au Imekuwa Compromised?

    Poa poa mdau nitafanya hivyo.
  14. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kulikoni ziara ya Rio Ferdinand, mbona Naibu Waziri hajaonekana?

    Sasa kama Daudi bashite "ame steal the show" yeye angefanyaje?🥹🥹.. huoni bro bashite ametaka awe main character kwenye hii drama😶‍🌫️ ukizingatia ni toto pendwa🏃🏃🏃
  15. mcTobby

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama ulisoma hili gazeti wewe ni mwamba sana. tuambie maisha yanaendaje pande hizo

    Dah! Uandishi wa magazeti ya enzi hizo ulikuwa inaonyesha watu wapo smart sana upstairs
Back
Top Bottom