Ili waweze fanikiwa lazima wapitie tena notice za uvamizi wa fukwe za Normandy al maarufu kama D-Day... By the way ni impossible ukilinganisha na geographical features ya Iran... Ili aweze kuivamia Iran inabidi pia aziteke Syria, Yemeni na Iraq
Kuna makala nilikuwa nafuatilia hao DEA unakuta wapo on duty na kukaribia kunasa mtu ila ghafla maagizo kutoka white House yana stopisha kila juhudi... Au mtu wamemnasa na ushahidi ila ghafla kunatokea plea Bargaining za ajabu 😑
Kitendawili cha Nahashon Isaac Njenga Njoroge
Ilikuwa tarehe 5 Julai 1969. Jiji la Nairobi lilikuwa na hali ya hewa ya jua, barabara zilikuwa na pilikapilika za kawaida, na Tom Joseph Mboya—aliyejulikana kama "Boy Wonder" wa siasa za Kenya—alikuwa akitoka kwenye duka la dawa lililokuwa kwenye...
Dah. Kweli man ulijifunza in a hard way kutoka kwa walimwengu...
Mtu kupenda pesa au wanawake kuliko pitiliza afu awe rafiki yako ,itatokea siku ata ku let down sana.. hizi ni red flag mbaya sana
Miaka ya 1980 na 1990 iligubikwa na vita vya umwagaji damu kati ya serikali na makundi makubwa ya kihalifu. Wote tunaijua hadithi ya Pablo Escobar, lakini kulikuwa na mwanamke mmoja katili zaidi aliyetawala jiji la Miami na Colombia kwa mkono wa chuma:aliitwa Griselda Blanco, aliyefahamika pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.