Recent content by mcTobby

  1. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Noma sanaaa
  2. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Tutaendelea kesho wadau
  3. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Hivi kwenye hii Dunia kuna mdudu msumbufu kama huyu

    Namchukia sana
  4. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Kwenye picha hizi ni Afisa Mkuu wa Daraja la Kwanza (Chief Petty Officer) Stephen Matthew “Matt” Mills, wa kikosi cha DEVGRU Gold Squadron, aliuawa tarehe 6 Agosti 2011 akiwa ndani ya helikopta aina ya Extortion 17. Akiwa na umri wa miaka 35. Alizaliwa tarehe 25 Oktoba 1975 huko Austin, Texas...
  5. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Zipo fupi hivyo hivyo maana ni matukio ya kwenye jarida moja hivi nazipata humo... Uziri mmoja Nina share ili wengine wanaojua zaidi wafunguke zaidi ili kupata uelewa zaidi mdau...
  6. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Uko njema sana... Unajua kufuatilia man haya mavitu🫵🫵🫡
  7. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Picha hii hapa chini ilipigwa tarehe 12 Aprili 2003, na ikawa shared na Chris VanSant, ikionyesha kikosi chake cha Army SMU katika eneo la Objective Grizzley, ambalo baadaye lilijulikana kama FOB Grizzley, nje kidogo ya Tikrit, Iraq. Chris yuko katikati, Brad Thomas yuko upande wa kushoto...
  8. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Karibu man n Enjoy....
  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Yeap
  10. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Kwenye picha hizi hapa chini ni Master Chief Britt K. Slabinski, mpokeaji wa Nishani ya Heshima ya Juu kabisa ya Jeshi la Marekani (Medal of Honor), alikuwa mtu muhimu sana kwenye moja ya usiku wenye utata na changamoto kubwa zaidi katika historia ya kisasa ya SEALs—Vita vya Takur Ghar...
  11. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Picha hii hapa chini ni ya SFC Mark Allen akiwa na familia yake ambaye alipigwa risasi kichwani na sniper nchini Afghanistan tarehe 8 Julai 2009. Alikuwa sehemu ya kikosi kilichokuwa kikimtafuta Bowe Bergdahl, mwanajeshi aliyeondoka katika kituo chake cha kijeshi. Wakati wa operesheni hiyo...
  12. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Pichani ni Scott Spellmeyer na Alex Hernandez, wote wakiwa maafisa wa operesheni za kijeshi za CIA kutoka Team Alpha, wakiwa kwenye eneo la Vita vya Qala-i-Jangi, Afghanistan, mnamo Novemba 2001. Wote wawili walikuwa miongoni mwa maafisa wanane wa awali waliotumwa katika Bonde la Darya Suf...
  13. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Kisa hiki ni cha Special Warfare Operator 2nd Class David John Warsen, mwanajeshi wa Jeshi la Wanamaji la Marekani (Navy SEAL), aliuawa tarehe 16 Agosti 2012 kwenye ajali ya helikopta alipokuwa akisaidia operesheni nchini Afghanistan. Alikuwa na umri wa miaka 27. Alizaliwa huko Grand Rapids...
  14. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Mick Mulroy ni afisa mstaafu wa operesheni za kijeshi za siri katika Kituo cha Shughuli Maalum (Special Activities Center) cha Shirika la CIA na pia mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Wanamaji la Marekani (US Marine Corps). Alitumia miaka ishirini akiwa amevalia sare tatu tofauti: kwanza akiwa...
  15. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Moja ya picha zenye nguvu na zilizobaki kwenye kumbukumbu za wengi kutoka katika kipindi chote cha Vita vya Kimataifa dhidi ya Ugaidi (GWOT) ni hii hapa chini Huyo hapo ni Senior Chief James “Jimmy” Hatch, mwanajeshi wa Navy SMU (Special Mission Unit) wa Marekani, dakika chache tu baada ya...
Back
Top Bottom