Hongera sana. 18/3/2016 niliwahi safiri Mtwara - Songea km 647 kwa siku 1 pkpk Toyo 150; baada ya siku 3 nilirejea Tena Mtwara. Kwa vile nilizingatia dress code ya pkpk hasa kwa safari ndefu nilifika salama bila shida. It's enjoyable Sana kwa utalii wa ndani
Hii hablar ya vijiwe ilishapita sana. Unaenda kwa speshalist hosp hampatikani ila saa 11 kijiwe utamkuta. Alafu haya km unabima haitashiriki huko kijiweni anataka ulipe cash. Hii imetutesa wengi.
Asante kwa ujumbe
Hata 2019 Mtwara ilipoongoza kitaifa matokeo ya fomu 6 Hakuna aliyezungumzia. Waache waendelee kusema wakati wenzao wanasonga mbele. Wacha wabaki na simulizi Za zamani.
Karibu wanakutwa ndo maana wanaendelea kupiga kelele. Hata wakati wa Yesu, Wapo ambao hawakuamini km Kuna kitu kizuri...
Hamasa ishatolewa Sana ndo maana wanafanya vizuri mpaka top ten ya Taifa. Taja halmashauri yako na shule ya kijijini kwenu tuone inashindana na ipi Mtwara. Aidha, nakuomba fuatilia matokeo kwenye jedwali la necta uelewe vizuri. Mtwara haipo kwenye kumi za mwishooooo
Hoja ilikuwa ni Mtwara kutoa shule 9 Za mwisho kitaifa wakati haipo kwenye kumbi Za mwisho ila Wapo kwenye top ten. So, nihalali kuambiwa wakanushe na ndiyo maana wamekanusha. Sasa hapo siasa imeingiaje man! Unachuki binafsi na Wana Mtwara. Nenda kaombe kitalu Cha gas uwekeze
Japo sijui unaandika ukiwa wapi, ila hilo jambo kwa sasa ni historia tu na halipo. Siyo walimu tu Bali watumishi wanavutiwa sana kwenda kusini. Miundombinu ishakamilika. Kuna gari mpaka la saa 8 Mtwara Dar, ni full luxury buses. gari za mbeya Mtwara, songea mtwara, tanga Mtwara, Dodoma Mtwara...
Sijuhi hata unaongelea nn? Wazazi wa huko Mtwara ndiyo walioeneza uzushi wa matokeo au hauamini kuwa Mtwara wanaweza kufanya vizuri na kuingia top ten? Think big
Kwani wewe siyo raia? Ingia necta utaona. Tulichomjibu hapa nikutokana na maelezo yake kwamba mtwara inamatokeo mabovu akirejelea matokeo ya 2016 yanayosambaa mitandaoni bila kujua kwamba matokeo yaliyotangazwa Jana Ni ya 2020 ambapo Mtwara imefanya vizuri ukiwakilishwa na Manispaa ambayo...
Usikurupuke! No research no right to speak!
Haya ndo matokeo halisi ya shule zilizozagaa mitandaoni kuwa zimekuwa za mwisho katika mitihani ya kidato cha nne 2020.
1. S 3110 Chingungwe ina div I 1, II 1, III 8, IV 27, 0 2. Na imeshika nafasi ya 21/33 na 669/986.
2. S 3727 Malocho divI 0, II...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.