hapa chamcngi kuwaelewesha watanzania kuanzia sasa tufanye kweli kuanzia serikali ya kitongoji,mtaa mwaka huu.na mwakani chaguzi zote hakuna interahamwe kulamba hata kiti kimoja cha udiwan,ubunge wala upresident.
tatizo ni bei ya mkaa broo.hilo jina mshana kwanza lakipare imekuwaje huko uhayani?pili kagera haiwezi kuendelea hata kidogo kwa sasa,kwanza wasomi wengi wakihaya wanawekeza dsm kuliko uhayani,wanamashule kibaoya binafsi dsm but kwao hakuna kitu,pili wahaya ni wapenda sifa sana so wawekeze...
Kweli safari moja huanzisha nyignine,dah jamaa anatisha kwa safari.cjui anataka aweke record ambayo haitavunja miaka hamsini au mia moja ijao?nafikiri hili ndio ameliona litamfanya awe na record ya kukumbukwa kwa muda mrefu zaidi dunian baada ya urais wake.
huu ni muendelezo wa serikali kujivua nguo hadharani,tena ni aibu kubwa serikali kutofautiana waziwazi,by the way KWA KUMBUKUMBU ZANGU,katika baraza la mwisho la mawaziri la JK lililotangazwa na sefue masele hakutajwa nishangaa sana na nashindwa kuelewa inakuwaje anaendelea na kazi za naibu...
Mkuu hukuelwa coment ya mwisho kwenye majibu ya zito,kasema anataka cag afanye ukaguzi haraka,ikibainika anahusika yuko tayari kuwajibika,sasa wewe unalazimisha aseme ndio au hapana ikusaidie nini?ngoja cag akague ukweli utafahamika,tumuombee mama nzito apone haraka ili nzito aweze kuwa bungeni...
Mkuu hukuelwa coment ya mwisho kwenye majibu ya zito,kasema anataka cag afanye ukaguzi haraka,ikibainika anahusika yuko tayari kuwajibika,sasa wewe unalazimisha aseme ndio au hapana ikusaidie nini?ngoja cag akague ukweli utafahamika,umuombee mama nzito apone haraka ili nzito aweze kuwa bungeni...
Mkuu hukuelwa coment ya mwisho kwenye majibu ya zito,kasema anataka cag afanye ukaguzi haraka,ikibainika anahusika yuko tayari kuwajibika,sasa wewe unalazimisha aseme ndio au hapana ikusaidie nini?ngoja cag akague ukweli utafahamika,umuombee mama nzito apone haraka ili nzito aweze kuwa bungeni...
nmependa coment ya zito ya kukubali cag afanye ukaguzi wa haraka,nakukubali kuwajibika endapo ataonekana anamslahi ya kifaida na campany hizo,pole sana kwa kuuguliwa na mama yako mzazi.mungu atawalipa ubaya zaidi ya huu wanaokufanyia,mimi naendelea kuamini haya yote yatapita huku nzito akiwa...
But hii ni aibu sana kwa cdm,badala ya kupambana na mafisadi interahamwe sugu anatumia nafasi yake kuendelea kukibomoa chama,unataka tena malumbano ya mgogoro wa chama yahamie bungeni,unahamisha maada za kiaslahi ya chama unalta maada za kukivunja chama vipande vipande,,anyway poa kama hivo ndo...
nmependa coment ya zito ya kukubali cag afanye ukaguzi wa haraka,nakukubali kuwajibika endapo ataonekana anamslahi ya kifaida na campany hizo,pole sana kwa kuuguliwa na mama yako mzazi.mungu atawalipa ubaya zaidi ya huu wanaokufanyia,mimi naendelea kuamini haya yote yatapita huku nzito akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.