The arrogance in his wording is what we do not want. Hata kama alipigiwa magoti na Rais, hiyo tu ni kumdhalilisha mkuu wake. Huenda anafanya hivyo ili aachishwe lakini aelewe kuwa if he had just a drop of uzalendo in him, basi angevumilia ili aiinue nchi yake kutoka kwenye hilo tope. Lakini anaposema, nina kazi yangu inaningojea kule Pretoria, anaonesha "UFALA" alio nao. Kumbuka ni mother Tanzania aliyekuelimisha wewe. Ulipoenda huko ukamdharau mama. Titi la mama ni tamu, ingawa ni la mbwa. Mtoto lazima ajilambe utamu wa maziwa yake.
Kwa nini ajione kama asiyetakiwa atoe mchango kwa nchi yake? Is this what we call Patriotism? Halafu yanakuja maccm hapa yanaporomosha maneno ya hovyo tu. Acheniiiiii
2015 CDM hatumhitaji huyoooo
Mleta mada ni mtu anayependa fitina na kupotosha kwani amechagua vipande vipande vya hotuba na kauli za waziri bila kuzingatia ujumbe mzima kwa walengwa wa hotuba na kauli hizo.Tukitaka kumuelewa vizuri waziri huyu tuzingatie dhamira ya hotuba na kauli zake.