Recent content by Mclish Sr

  1. M

    Old Bongo Flava

    Wakuu Naitafuta Nyimbo Ya Saigon Ambayo Kwenye Chorus Aliimba "Ndugu Zangu Na Washikaji... Naomba Msamaha... Ushetani Ndio Ulioniponza Na Kunibadili Tabia... Yote Niliyofanya Ni Kwa Sababu Tu Ya Bia..." Asee Hii Ngoma Ilikua Ni MkwAju Plus Na Ya Solo Thang Homa Ya Dunia
  2. M

    Naomba Ushauri Kati Ya Mawazo Haya...

    Watu wanashona sana una maana gani??
  3. M

    Naomba Ushauri Kati Ya Mawazo Haya...

    Wataalamu Habari Ya Wakati Huu...! Naomba kutumia neno "Wataalamu" mana naamini kuja kwenu hapa nitapata kutatua shida yangu iliyonileta. Mimi ni kijana ambaye ndio kwanza nimeanza kuingia rasmi kwenye ajira. Ili kuongeza kipato changu ambacho nahisi hakitokuja kunitosha hapo mbele kidogo...
  4. M

    angina (maumivu yatokanayo na ugonjwa wa moyo)

    Mkuu nahisi nina hili tatizo kutokana na dalili ninazopata, sijui wapi nianzie!! Naomba kusaidiwa tafadhali
Back
Top Bottom