Recent content by MchunguZI

  1. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Sugu na Nshala wadhibitiwe kwa kuhamasisha matusi

    Unaandika kama uko kamati ya CCM! Tunasoma hadi mwisho hatuoni hilo tusi. Nini kimekupa taabu? Sema unayochukia tukusaidie kuona kama yanafaa au hayafai! Kumbuka hapa siyo kikao cha unafiki.
  2. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Bunge letu Liweke Wakalimani wa Lugha kuepusha hizi aibu za kushangilia kama Majuha kwa kutokuelewa

    Siyo kwamba hawakuelewa kiingereza, hawakusikiliza kabisa! Muhimu kwao ni kushangilia ili Samia ajisikie vizuri. Nadhani uliona waziri Kombo akishangilia maneno ya Samia yaliyostahili kusikitikia. CCM wanashangilia ili tu, Samia awaone wakishangilia.
  3. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Mkenda lini utasimamia na kuondoa uzembe katika Uongozi wa Vyuo Vikuu?

    Nakuunga mkono! Haya majengo tunayoita ni vyuo vikuu, ni kama hakuna anayejitambua ktk uongozi. Kweli imefikia mwanafunzi anayejitambua, anajaribu kujieleza kama kijana aliyekomaa, Chuo kinakula njama na polisi kumuweka ndani! hiyo ndo SUA kweli? Imekwisha. Hakika huo mtindo ulianzishwa na...
  4. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz -Ni kundi la wanasiasa mafisadi wanaojiita wawekezaji

    Mkuu, Ningeomba kufahamu wewe ni mwandishi habari za aina gani? Uchumi? Siasa? Sayansi? Elimu?, nini? Nauliza hivi kwa sababu waandishi wengi TZ munakosa elimu mama. Kama ungekuwa na elimu mama, naamini unekwepa kosa kama hili unalofanya. Mijadala ya wazi kama hii tunaweka mambo yenye uelekeo...
  5. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Fungueni vyuo, leteni wanafunzi bandia, Vijana tunahitaji kukusanyika. Lazima tuelewane

    Nasikia wakuu wa mikoa wanahangaika kutoa mahubiri ili vijana watulie. Huko vyuoni nahisi vijana wamejipanga.
  6. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lete hadithi zote kwa Wazee wa Dar, Sisi huku mikoa yote tunataka kujua maiti za ndugu zetu ziko wapi? Nani alitoa amri ya kuua?

    Nadhani CCM walishaona TZ ni ng'ombe wao wa maziwa. Ukisikiliza hao wanaitwa rais na waziri mkuu wanavyozungumza, ni kama WANANCHI hatuna vichwa kama wao. Ingawa wanafahamu wazi kwamba uelewa wetu ni mkubwa kuliko wao. Miaka yote kazi yao ni kutumia pesa za serikali ovyo, baadaye wanaimba mbele...
  7. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Utekaji, Mauaji hatimaye tunaanza kupata wahusika wakuu

    Nimeiangukia taarifa hii nikaidaunilod ingawa haitafutika kiurahisi. Ina maelezo yanayoshawishi kutoa mwanga wa nini kinaendelea ktk nchi. Kwa ufupi kinara ni Kikwete. Hata hivyo humuondoi Samia maana yeye ndo mwenye amri. Ukijumulisha na maelezo ya Balozi Polepole, huwezi kuwaondoa marafiki...
  8. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Ufisadi unavyopangwa na Wizara wakati wa bajeti. Hii BYD nani dealer hapa nchini??

    Bado kuna watu munaamini hadithi za mazingira eti? kwa kuwa munangalia TV baadaye munaona ndo munavyotakiwa kuishi! Acheni hizo hadithi za kitoto. Hizi ni nchi za upigaji tu! Ndo maana unaona wakulima wa alizeti wa Singida hawana soko la alizeti, lakini serikali, waziri huyo huyo anayetoka...
  9. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Tuongee ukweli, Abdallah Ulega hastahili kuwa Waziri wa Ujenzi

    Kwani: Mwigulu anafaa kuwa hapo alipo? Bashe anastahili kuongoza Kilimo? Jafo anastahili? Hilo ni baraza la kugawana pesa za nchi. Ukiweza kutengeza misheni ikakuwezesha kumjengea Hoteli Samia, ukaweza kumjengea kiwanda cha Tumbaku, Ukaweka misheni akanunua Ngurdoto, nk. wewe ni waziri...
  10. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Humphrey ahukumiwe kifo in absentia

    Kwa maoni yako CCM wasipofurahi ni kosa la jinai?
  11. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kampeni za Mgombea Urais CCM: Ahadi zisizoeleweka, tena ni nje ya Dira ya taifa 2050

    Halafu hiki ni chama kiko madarakani kwa miaka zaidi ya 60! Bado ahadi za mgombea ni kusimulia kazi atakazofanya, badala ya maono ya kulipeleka mbele Taifa. Yaani hapo ndo wasomi ndani ya chama wamejitahidi kutunga hotuba ya kwanza ya mgombea urais!
  12. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania GE2025 Shule zote za Serikali Morogoro Mjini zimefungwa muda huu, Walimu na Wanafunzi watakiwa kuhudhuria kampeni za CCM

    Ndo maisha ya wanafunzi yatakavyokuwa kwa mwezi mzima. Kwamba masomo ya wanafunzi yanavurugwa na kampeni za CCM. Samia anatafuta umati wa kuhutubia.
  13. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Orodha ya ahadi za Kikwete kwa wananchi 2010-2015

    HTangu ahadi hizi jamaa bado haoni aibu kusimama jukwani.
  14. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kampeni za Mgombea Urais CCM: Ahadi zisizoeleweka, tena ni nje ya Dira ya taifa 2050

    Nadhani ni suala la ubora. Mgombea anaposema alifeli na kujiendeleza hapa na pale, iko shida kubwa. Hapo na pale ndo utajua alijifunza nini.
  15. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha! Mmoja wa viongozi wa vyuo vikuu vyetu nchini anavuta bangi

    Yaonekana ni wengi! KWeli vyuo hivi vitainuka? Ninayemfahamu mimi yuko pale Morogoro! Nilimtilia mashaka sana kwa uso wake na midomo kuota rangi ya mkaa kwenye mkutano fulani hivi. Eti nikaambiwa ni mmoja wa ma-boss wa chuo! Dah! Nilipoendeleza uchunguzi wangu kwa uzoefu wa kijijini, hakika...
Back
Top Bottom