Nadhani CCM walishaona TZ ni ng'ombe wao wa maziwa. Ukisikiliza hao wanaitwa rais na waziri mkuu wanavyozungumza, ni kama WANANCHI hatuna vichwa kama wao. Ingawa wanafahamu wazi kwamba uelewa wetu ni mkubwa kuliko wao.
Miaka yote kazi yao ni kutumia pesa za serikali ovyo, baadaye wanaimba mbele...
Nimeiangukia taarifa hii nikaidaunilod ingawa haitafutika kiurahisi. Ina maelezo yanayoshawishi kutoa mwanga wa nini kinaendelea ktk nchi. Kwa ufupi kinara ni Kikwete. Hata hivyo humuondoi Samia maana yeye ndo mwenye amri.
Ukijumulisha na maelezo ya Balozi Polepole, huwezi kuwaondoa marafiki...
Bado kuna watu munaamini hadithi za mazingira eti? kwa kuwa munangalia TV baadaye munaona ndo munavyotakiwa kuishi! Acheni hizo hadithi za kitoto. Hizi ni nchi za upigaji tu! Ndo maana unaona wakulima wa alizeti wa Singida hawana soko la alizeti, lakini serikali, waziri huyo huyo anayetoka...
Sikiliza ndugu,
Mimi ni mzee. Ndoa siyo hirizi ya mganga. Kila kitu kina mwisho wake. Hizi siyo enzi za babu wa kijijini, maana kwa maelezo yako uko mjini. Mume asiyeelewa kwamba ana watoto hawezi kuelewa kwamba ana mke. Unapoteza muda bure. Achana naye, jilinde usipate mtoto mwingine. Kama...
Kwani:
Mwigulu anafaa kuwa hapo alipo?
Bashe anastahili kuongoza Kilimo?
Jafo anastahili?
Hilo ni baraza la kugawana pesa za nchi. Ukiweza kutengeza misheni ikakuwezesha kumjengea Hoteli Samia, ukaweza kumjengea kiwanda cha Tumbaku, Ukaweka misheni akanunua Ngurdoto, nk. wewe ni waziri...
Halafu hiki ni chama kiko madarakani kwa miaka zaidi ya 60! Bado ahadi za mgombea ni kusimulia kazi atakazofanya, badala ya maono ya kulipeleka mbele Taifa.
Yaani hapo ndo wasomi ndani ya chama wamejitahidi kutunga hotuba ya kwanza ya mgombea urais!
Yaonekana ni wengi! KWeli vyuo hivi vitainuka?
Ninayemfahamu mimi yuko pale Morogoro! Nilimtilia mashaka sana kwa uso wake na midomo kuota rangi ya mkaa kwenye mkutano fulani hivi. Eti nikaambiwa ni mmoja wa ma-boss wa chuo! Dah!
Nilipoendeleza uchunguzi wangu kwa uzoefu wa kijijini, hakika...
Sasa tunaye Samia ikulu. Dalili zimeanza kuonekana juu ya ubora wa serikali itakayoundwa. HAkuna jipya ni serikali uya kishenzi tu na umalaya utaendelea kuwa ni kitendo cha umaarufu.
Ni mawazo ya mtu mfu ndo yanaweza kutumika kueleza haya uliyoandika. Ukianza kusifia kufanya ujinga kwamba ni kwa lengo jema, basi elewa uwezo wako wa kujua memam na mabaya ni mdogo. Hebu kumbuka maovu yaliyofanyika awamu ya 4.
Mvungi aliosadikiwa kuvamiwa na kuuwawa awamu ya nani?
Mwandishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.