Recent content by MchunguZI

  1. MchunguZI

    PostGE2025 Fungueni vyuo, leteni wanafunzi bandia, Vijana tunahitaji kukusanyika. Lazima tuelewane

    Nasikia wakuu wa mikoa wanahangaika kutoa mahubiri ili vijana watulie. Huko vyuoni nahisi vijana wamejipanga.
  2. MchunguZI

    PostGE2025 Lete hadithi zote kwa Wazee wa Dar, Sisi huku mikoa yote tunataka kujua maiti za ndugu zetu ziko wapi? Nani alitoa amri ya kuua?

    Nadhani CCM walishaona TZ ni ng'ombe wao wa maziwa. Ukisikiliza hao wanaitwa rais na waziri mkuu wanavyozungumza, ni kama WANANCHI hatuna vichwa kama wao. Ingawa wanafahamu wazi kwamba uelewa wetu ni mkubwa kuliko wao. Miaka yote kazi yao ni kutumia pesa za serikali ovyo, baadaye wanaimba mbele...
  3. MchunguZI

    Utekaji, Mauaji hatimaye tunaanza kupata wahusika wakuu

    Nimeiangukia taarifa hii nikaidaunilod ingawa haitafutika kiurahisi. Ina maelezo yanayoshawishi kutoa mwanga wa nini kinaendelea ktk nchi. Kwa ufupi kinara ni Kikwete. Hata hivyo humuondoi Samia maana yeye ndo mwenye amri. Ukijumulisha na maelezo ya Balozi Polepole, huwezi kuwaondoa marafiki...
  4. MchunguZI

    Ufisadi unavyopangwa na Wizara wakati wa bajeti. Hii BYD nani dealer hapa nchini??

    Bado kuna watu munaamini hadithi za mazingira eti? kwa kuwa munangalia TV baadaye munaona ndo munavyotakiwa kuishi! Acheni hizo hadithi za kitoto. Hizi ni nchi za upigaji tu! Ndo maana unaona wakulima wa alizeti wa Singida hawana soko la alizeti, lakini serikali, waziri huyo huyo anayetoka...
  5. MchunguZI

    Msongo wa mawazo unataka kuniua, ndoa yangu imekuwa kiama changu

    Sikiliza ndugu, Mimi ni mzee. Ndoa siyo hirizi ya mganga. Kila kitu kina mwisho wake. Hizi siyo enzi za babu wa kijijini, maana kwa maelezo yako uko mjini. Mume asiyeelewa kwamba ana watoto hawezi kuelewa kwamba ana mke. Unapoteza muda bure. Achana naye, jilinde usipate mtoto mwingine. Kama...
  6. MchunguZI

    Tuongee ukweli, Abdallah Ulega hastahili kuwa Waziri wa Ujenzi

    Kwani: Mwigulu anafaa kuwa hapo alipo? Bashe anastahili kuongoza Kilimo? Jafo anastahili? Hilo ni baraza la kugawana pesa za nchi. Ukiweza kutengeza misheni ikakuwezesha kumjengea Hoteli Samia, ukaweza kumjengea kiwanda cha Tumbaku, Ukaweka misheni akanunua Ngurdoto, nk. wewe ni waziri...
  7. MchunguZI

    Humphrey ahukumiwe kifo in absentia

    Kwa maoni yako CCM wasipofurahi ni kosa la jinai?
  8. MchunguZI

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais CCM: Ahadi zisizoeleweka, tena ni nje ya Dira ya taifa 2050

    Halafu hiki ni chama kiko madarakani kwa miaka zaidi ya 60! Bado ahadi za mgombea ni kusimulia kazi atakazofanya, badala ya maono ya kulipeleka mbele Taifa. Yaani hapo ndo wasomi ndani ya chama wamejitahidi kutunga hotuba ya kwanza ya mgombea urais!
  9. MchunguZI

    GE2025 Shule zote za Serikali Morogoro Mjini zimefungwa muda huu, Walimu na Wanafunzi watakiwa kuhudhuria kampeni za CCM

    Ndo maisha ya wanafunzi yatakavyokuwa kwa mwezi mzima. Kwamba masomo ya wanafunzi yanavurugwa na kampeni za CCM. Samia anatafuta umati wa kuhutubia.
  10. MchunguZI

    Orodha ya ahadi za Kikwete kwa wananchi 2010-2015

    HTangu ahadi hizi jamaa bado haoni aibu kusimama jukwani.
  11. MchunguZI

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais CCM: Ahadi zisizoeleweka, tena ni nje ya Dira ya taifa 2050

    Nadhani ni suala la ubora. Mgombea anaposema alifeli na kujiendeleza hapa na pale, iko shida kubwa. Hapo na pale ndo utajua alijifunza nini.
  12. MchunguZI

    Inasikitisha! Mmoja wa viongozi wa vyuo vikuu vyetu nchini anavuta bangi

    Yaonekana ni wengi! KWeli vyuo hivi vitainuka? Ninayemfahamu mimi yuko pale Morogoro! Nilimtilia mashaka sana kwa uso wake na midomo kuota rangi ya mkaa kwenye mkutano fulani hivi. Eti nikaambiwa ni mmoja wa ma-boss wa chuo! Dah! Nilipoendeleza uchunguzi wangu kwa uzoefu wa kijijini, hakika...
  13. MchunguZI

    Tangu Kikwete alipopata Urais, CCM wakafungua geti la viwango duni katika siasa

    Huyu sasa anayeingiza mke na watoto bungeni? halafu anaamini ni mjanja. Huoni uboira dunui alionao kwa sasa?
  14. MchunguZI

    Kwa Tanzania Wezi, malaya na wauza unga ndiyo watu maarufu

    Sasa tunaye Samia ikulu. Dalili zimeanza kuonekana juu ya ubora wa serikali itakayoundwa. HAkuna jipya ni serikali uya kishenzi tu na umalaya utaendelea kuwa ni kitendo cha umaarufu.
  15. MchunguZI

    Tangu Kikwete alipopata Urais, CCM wakafungua geti la viwango duni katika siasa

    Ni mawazo ya mtu mfu ndo yanaweza kutumika kueleza haya uliyoandika. Ukianza kusifia kufanya ujinga kwamba ni kwa lengo jema, basi elewa uwezo wako wa kujua memam na mabaya ni mdogo. Hebu kumbuka maovu yaliyofanyika awamu ya 4. Mvungi aliosadikiwa kuvamiwa na kuuwawa awamu ya nani? Mwandishi...
Back
Top Bottom