Nimerudi. Nadodosa tu maana hadithi ya SUA ni ndefu na kusikitisha. Hata UD ni hayo hayo Lakini wao nahisi kwa kuwa kwenye mji mkubwa, wana aibu kiasi. Tuanze kwa kusema kama CDF, teuzi zina matatizo.
Ninazo taarifa toka pande mbili; Wanafunzi na wanataaluma. nazitaja kwa mtiriko ili...
Hata klabu ya pombe wapo wale wa aina yenu. Wale ambao hutumwa kutukana watu ili wapewe pombe.
Tuliopitia mikononi mwa vyuo vikuu hatuachi kutia neno kila tunapoona mbumbumbu wakiharibu elimu. Kwa hili la SUA linajirudia tena na tena! Chuo hiki kinakuwa ni jalala la kujifunzia uongozi wa akili...
Tusaidiane kufikiri. Kwa ujumla munaye kiongozi/viongozi ‘pumbavu’.
VCs wa vyuo walikuwa wanasiasa, lakini miaka ya 80, vyuo vikapewa nafasi ya kujiongoza, kama yalivyokuwa maombi yao kwa miaka kadhaa.
Waliongoza vizuri kwa kujitambua, nadhani ile elimu ya kujitambua ya Nyerere ilikuwa na...
Ulivyosoma thrd umekuta hilo ndo lengo lake na lengo la kujiunga na chuo kikuu? Kama ni kuweza kufundisha sekondari, nini sababu ya kusomesha wanafunzi vyuo vikuu kwa gharama kubwa kiasi hicho?
Wewe utakuwa ni kizazi kilichopata digrii ya kulipua, ulifundishwa na waalimu wa ubora duni na wewe...
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.
Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama...
Una lolote la kusema kwa Nchimbi tunayemjua? Tuliyewahi kumjadiri kwa tabia yake tangu Umoja wa Vijana na hatimaye waziri wa mambo ya Ndani, na wote waliouwawa akiwa waziri?
Kwa wale wahenga watanielewa. Kwamba kuna watu walistahili wapotee kabisa ktk siasa za TZ kutokana na tabia zao na hata tuhuma walizonazo. Mmojawapo ni huyu Nchimbi.
Akiwa Umoja wa Vijana, alikuwa mtu hovyo.
Akawa Mkuu wa wilaya akapoa kidogo maana wilaya yenyewe, Bunda, siyo ya mzaha
Akawa...
Housegirl siyo!
Binafsi nilichokiona ni spika kukosa umakini na ukomavu wa akili. Bado anajiweka kama kijana wa umoja wa vijana wakati hakuwahi kuwa mwanachama wa UVCCM. Na, ni kama kisichana cha mtaani fulani hivi! kucheka hovyo hata mambo ya kusikitisha.
Katika kupambana na watu wa hovyo hovyo, Nyerere alisema heshima ya mtu itokane na huduma yake kwa umma. Huduma za kichizi kama hizi usilazimishe heshima ya kuteuliwa.
Kuna mtu aliwahi kusema hapa kwamba Januari mtu wa elimu ya hapa-na-pale hawezi kuiimarisha Tanesco inayoendeshwa na mainjinia. Hata huyo Maharage hawezi.
Ujinga tu na na betting za mitandaoni; Nyerere alikuwa mwalimu, Mwinyi mwalimu, Magufuli Mwalimu. Ndo tusema ukasome ualimu ili upate urais?
Muulize Membe, muulize Malechela.
Tatizo la rais wetu alikuja na sera za NGO! Aliamini NGO ni bora, kumbe hivyo ni vijiwe vya kujinufaisha kimaisha tu na kuleta sera kama hizi za ushoga.
Huwezi kuendesah serikali kwa mtindo wa NGO!
Uzi huu unanikumbusha walevi wa pombe za kienyeji ambao hawana pesa za kununua pombe, lakini mwenye pesa anaweza kuwatuma kutukana mtu ili wapewe pombe.
Wewe CCM huu mkataba ni wako? UNajua hata aliyeuandika ni nani? UNataka nafasi ya kutukana ili upate teuzi, au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.