Unaandika kama uko kamati ya CCM! Tunasoma hadi mwisho hatuoni hilo tusi. Nini kimekupa taabu? Sema unayochukia tukusaidie kuona kama yanafaa au hayafai!
Kumbuka hapa siyo kikao cha unafiki.
Nakuunga mkono!
Haya majengo tunayoita ni vyuo vikuu, ni kama hakuna anayejitambua ktk uongozi.
Kweli imefikia mwanafunzi anayejitambua, anajaribu kujieleza kama kijana aliyekomaa, Chuo kinakula njama na polisi kumuweka ndani! hiyo ndo SUA kweli? Imekwisha.
Hakika huo mtindo ulianzishwa na...
Mkuu, Ningeomba kufahamu wewe ni mwandishi habari za aina gani? Uchumi? Siasa? Sayansi? Elimu?, nini? Nauliza hivi kwa sababu waandishi wengi TZ munakosa elimu mama.
Kama ungekuwa na elimu mama, naamini unekwepa kosa kama hili unalofanya. Mijadala ya wazi kama hii tunaweka mambo yenye uelekeo...
Nadhani CCM walishaona TZ ni ng'ombe wao wa maziwa. Ukisikiliza hao wanaitwa rais na waziri mkuu wanavyozungumza, ni kama WANANCHI hatuna vichwa kama wao. Ingawa wanafahamu wazi kwamba uelewa wetu ni mkubwa kuliko wao.
Miaka yote kazi yao ni kutumia pesa za serikali ovyo, baadaye wanaimba mbele...
Nimeiangukia taarifa hii nikaidaunilod ingawa haitafutika kiurahisi. Ina maelezo yanayoshawishi kutoa mwanga wa nini kinaendelea ktk nchi. Kwa ufupi kinara ni Kikwete. Hata hivyo humuondoi Samia maana yeye ndo mwenye amri.
Ukijumulisha na maelezo ya Balozi Polepole, huwezi kuwaondoa marafiki...
Bado kuna watu munaamini hadithi za mazingira eti? kwa kuwa munangalia TV baadaye munaona ndo munavyotakiwa kuishi! Acheni hizo hadithi za kitoto. Hizi ni nchi za upigaji tu! Ndo maana unaona wakulima wa alizeti wa Singida hawana soko la alizeti, lakini serikali, waziri huyo huyo anayetoka...
Kwani:
Mwigulu anafaa kuwa hapo alipo?
Bashe anastahili kuongoza Kilimo?
Jafo anastahili?
Hilo ni baraza la kugawana pesa za nchi. Ukiweza kutengeza misheni ikakuwezesha kumjengea Hoteli Samia, ukaweza kumjengea kiwanda cha Tumbaku, Ukaweka misheni akanunua Ngurdoto, nk. wewe ni waziri...
Halafu hiki ni chama kiko madarakani kwa miaka zaidi ya 60! Bado ahadi za mgombea ni kusimulia kazi atakazofanya, badala ya maono ya kulipeleka mbele Taifa.
Yaani hapo ndo wasomi ndani ya chama wamejitahidi kutunga hotuba ya kwanza ya mgombea urais!
Yaonekana ni wengi! KWeli vyuo hivi vitainuka?
Ninayemfahamu mimi yuko pale Morogoro! Nilimtilia mashaka sana kwa uso wake na midomo kuota rangi ya mkaa kwenye mkutano fulani hivi. Eti nikaambiwa ni mmoja wa ma-boss wa chuo! Dah!
Nilipoendeleza uchunguzi wangu kwa uzoefu wa kijijini, hakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.