Recent content by MchunguZI

  1. MchunguZI

    Waziri Mkenda, TCU, na wabunge saidieni wanafunzi wa SUA kuna shida ya maamuzi ya uongozi

    Nimerudi. Nadodosa tu maana hadithi ya SUA ni ndefu na kusikitisha. Hata UD ni hayo hayo Lakini wao nahisi kwa kuwa kwenye mji mkubwa, wana aibu kiasi. Tuanze kwa kusema kama CDF, teuzi zina matatizo. Ninazo taarifa toka pande mbili; Wanafunzi na wanataaluma. nazitaja kwa mtiriko ili...
  2. MchunguZI

    Waziri Mkenda, TCU, na wabunge saidieni wanafunzi wa SUA kuna shida ya maamuzi ya uongozi

    Hata klabu ya pombe wapo wale wa aina yenu. Wale ambao hutumwa kutukana watu ili wapewe pombe. Tuliopitia mikononi mwa vyuo vikuu hatuachi kutia neno kila tunapoona mbumbumbu wakiharibu elimu. Kwa hili la SUA linajirudia tena na tena! Chuo hiki kinakuwa ni jalala la kujifunzia uongozi wa akili...
  3. MchunguZI

    DOKEZO UBORA WA ELIMU inayotolewa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) unatia shaka

    Tusaidiane kufikiri. Kwa ujumla munaye kiongozi/viongozi ‘pumbavu’. VCs wa vyuo walikuwa wanasiasa, lakini miaka ya 80, vyuo vikapewa nafasi ya kujiongoza, kama yalivyokuwa maombi yao kwa miaka kadhaa. Waliongoza vizuri kwa kujitambua, nadhani ile elimu ya kujitambua ya Nyerere ilikuwa na...
  4. MchunguZI

    DOKEZO UBORA WA ELIMU inayotolewa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) unatia shaka

    Ulivyosoma thrd umekuta hilo ndo lengo lake na lengo la kujiunga na chuo kikuu? Kama ni kuweza kufundisha sekondari, nini sababu ya kusomesha wanafunzi vyuo vikuu kwa gharama kubwa kiasi hicho? Wewe utakuwa ni kizazi kilichopata digrii ya kulipua, ulifundishwa na waalimu wa ubora duni na wewe...
  5. MchunguZI

    Eti Nchimbi anaweza kuwa Katibu wa CCM? Tumkumbuke Ipyana Malecela

    Kama hujui historia ya nchi hii kama kimya! Kama Kabila lako limeguswa, kubali hata ninyi akili ni mbovu.
  6. MchunguZI

    UDOM kuanzisha kampasi Njombe. Kimaadili hii siyo sawa kabisa ktk nchi hii

    Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila. Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama...
  7. MchunguZI

    Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

    Una lolote la kusema kwa Nchimbi tunayemjua? Tuliyewahi kumjadiri kwa tabia yake tangu Umoja wa Vijana na hatimaye waziri wa mambo ya Ndani, na wote waliouwawa akiwa waziri?
  8. MchunguZI

    Eti Nchimbi anaweza kuwa Katibu wa CCM? Tumkumbuke Ipyana Malecela

    Kwa wale wahenga watanielewa. Kwamba kuna watu walistahili wapotee kabisa ktk siasa za TZ kutokana na tabia zao na hata tuhuma walizonazo. Mmojawapo ni huyu Nchimbi. Akiwa Umoja wa Vijana, alikuwa mtu hovyo. Akawa Mkuu wa wilaya akapoa kidogo maana wilaya yenyewe, Bunda, siyo ya mzaha Akawa...
  9. MchunguZI

    Mh. Rais, itazame nchi kwa umoja wake. Ukabila na upendeleo unashika kasi ukiwepo

    Housegirl siyo! Binafsi nilichokiona ni spika kukosa umakini na ukomavu wa akili. Bado anajiweka kama kijana wa umoja wa vijana wakati hakuwahi kuwa mwanachama wa UVCCM. Na, ni kama kisichana cha mtaani fulani hivi! kucheka hovyo hata mambo ya kusikitisha.
  10. MchunguZI

    Jaji Francis Mutungi ailima barua CHADEMA, ataka ijieleze ndani ya siku 5

    Katika kupambana na watu wa hovyo hovyo, Nyerere alisema heshima ya mtu itokane na huduma yake kwa umma. Huduma za kichizi kama hizi usilazimishe heshima ya kuteuliwa.
  11. MchunguZI

    January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

    Kuna mtu aliwahi kusema hapa kwamba Januari mtu wa elimu ya hapa-na-pale hawezi kuiimarisha Tanesco inayoendeshwa na mainjinia. Hata huyo Maharage hawezi.
  12. MchunguZI

    Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

    Ujinga tu na na betting za mitandaoni; Nyerere alikuwa mwalimu, Mwinyi mwalimu, Magufuli Mwalimu. Ndo tusema ukasome ualimu ili upate urais? Muulize Membe, muulize Malechela.
  13. MchunguZI

    Askofu Shoo Hajasema anaunga mkono Mkataba. Kasema uwekezaji

    Tatizo la rais wetu alikuja na sera za NGO! Aliamini NGO ni bora, kumbe hivyo ni vijiwe vya kujinufaisha kimaisha tu na kuleta sera kama hizi za ushoga. Huwezi kuendesah serikali kwa mtindo wa NGO!
  14. MchunguZI

    Askofu Shoo Hajasema anaunga mkono Mkataba. Kasema uwekezaji

    Unaposema watu wote una maana gani? Wote!
  15. MchunguZI

    Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

    Uzi huu unanikumbusha walevi wa pombe za kienyeji ambao hawana pesa za kununua pombe, lakini mwenye pesa anaweza kuwatuma kutukana mtu ili wapewe pombe. Wewe CCM huu mkataba ni wako? UNajua hata aliyeuandika ni nani? UNataka nafasi ya kutukana ili upate teuzi, au?
Back
Top Bottom