Recent content by Mchungu Mchunguzi

  1. Mchungu Mchunguzi

    Hakuna umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi. Labda kwa waliofeli maisha wafanye hivyo wasije kufa njaa

    Huwezi kukikimbia kivuli chako shika hiyo nukta. kila kiumbe kimeumbwa na hulka yake kama ilivyo wanaume kutongoza wanawake na kuku kukimbizana kwenye lile jambo lao. Ukweli usiopingika wanaume tupo kwa ajili ya kuzipambania familia zetu na kukuta dume linajisifu kwa kugawana majukumu ya familia...
  2. Mchungu Mchunguzi

    Hakuna umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi. Labda kwa waliofeli maisha wafanye hivyo wasije kufa njaa

    Haaaa haaaaa eti tukajiona wajanja' na leo wanataka 50 kwa 50 na siku wakiambukizana huu ujinga kwa kiwango kikubwa basi nchi nyingi watatawala wao
  3. Mchungu Mchunguzi

    Changamoto ya kuoa mwajiriwa - nini kifanyike?

    Anazungumzia wazungu walomfilisi Emanuel Ebou na hata yule muIvory Coast kwa sheria zao kandamizi, wazungu ambao baba unaletewa mume na mwanao wa kiume anakuambia mchumba wake na wanafeel good tu. Tuache ujinga wa kucopy eti kwa kigezo kafanya mzungu huo ni UKOLONI WA FIKRA
  4. Mchungu Mchunguzi

    Ni kweli kuna wakati kulikuwa na wachuna ngozi za binadamu nchi hii?

    Ni kipi Kinakuchekesha hali ya kuwa umeulizwa swali la Msingi.. Ulichocomment na kilichoandikwa havina mnasaba hata kidogo sijajua mashia mnakwama wapi hadi mjidhalilisha hivi.
  5. Mchungu Mchunguzi

    Ni kweli kuna wakati kulikuwa na wachuna ngozi za binadamu nchi hii?

    Hata kuandika jina la nabii wako mbora bila kumswalia ukaliandika kana kwamba ni Mohamad muuza mitumba pia umedhihirisha jina lako. Allah mtukufu akuongoze kwalo. Iko hivi.... Hayo madhehebu aliyataja Mtume Muhammad Sala na salaam ziwe juu yake na ni kitu ambacho hakiepukiki ktk umma na...
  6. Mchungu Mchunguzi

    Ni kweli kuna wakati kulikuwa na wachuna ngozi za binadamu nchi hii?

    Uko sahihi mwaka 2015 nilimtembelea best friend pande zile na ilikuwa Vvawa makao makuu ya mkoa wa songwe nilioneshwa hadi sehemu ambazo miili iliokotwa Yaaani hadi mwili ulisisimka
  7. Mchungu Mchunguzi

    Kinachoendelea Msumbiji, magaidi na Jeshi - Part 3

    Kuna baadhi nimeona huwa wanabeza utendaji wa kazi wa TISS kuwa wamezembea kwenye hii ishu ya Ugaidi Mozambique. Sijajua wao walitaka taarifa ya kile wanachokibaini wakibandike magazetini ili wajue jamaa wako kazini...? Alafu kwa mwenye akili ya Sawa sawa ataelewa ugumu na uzito wa kudili na...
  8. Mchungu Mchunguzi

    Kinachoendelea Msumbiji, magaidi na Jeshi - Part 3

    KWA KUWEKA SAWA TAARIFA SteveMollel. Shambulizi la Ugaidi kubwa Tz kwa Mara ya kwanza kijiji cha Kitaya lilifanyika kipindi Cha kampeni za uchaguzi wa awamu ya pili ya JPM na baada ya kama wiki 3 mbele ndipo lilifanyika hapo Michenjele siku ya uchaguzi Mkuu. Na taharuki haikuwa kama...
  9. Mchungu Mchunguzi

    Nilinunua bidhaa ya Tsh. 7,000 mtandaoni imefika nchini Posta wanasema nilipe Tsh. 3,800/- na TRA wanataka nilipe Tsh. 6850! Hii ni sawa?

    Hamna hiyo option ya kuchagua upokelee wapi ni wao wenyewe wanaamua wapi waifikishe na ukapokelee huko Posta au wakala wao
  10. Mchungu Mchunguzi

    Nilinunua bidhaa ya Tsh. 7,000 mtandaoni imefika nchini Posta wanasema nilipe Tsh. 3,800/- na TRA wanataka nilipe Tsh. 6850! Hii ni sawa?

    Ukinitajia viwanda vinavyotengeneza Earphones, JBL speaker, smart watch tujuze chief hapa nyumbani unipe location ili nianze kupenda vya nyumbani
  11. Mchungu Mchunguzi

    Nilinunua bidhaa ya Tsh. 7,000 mtandaoni imefika nchini Posta wanasema nilipe Tsh. 3,800/- na TRA wanataka nilipe Tsh. 6850! Hii ni sawa?

    Ilikuwa inalipwa bila sisi kuainishiwa ni kiasi gani tunalipia kwenye tax hivyo ikawa wanaunganisha na bei inayowekwa kwenye bidhaa
Back
Top Bottom