Recent content by mchumihuru

  1. M

    Unapooa waweza kuingizwa mjini

    Elimu na mafanikio ya kimaisha mwanaume akipata vitu hivyo viwili kabla ya kufanya chaguo la kuoa,anaweza kupata wakati mgumu kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwake. Wanawake wengi na wenye elimu na wazur huvutiwa sana na wanaume wenye mafanikio kimaisha elimu,fedha,kazi nzur...
  2. M

    Employment opportunity

    Description Nafasi za kazi : ASSISTANT RESEACHERS Taasisi inayo jihusisha na tafiti mbalimbali za afya, inatangaza nafasi za kazi ya utafiti. SIFA ZA MWOMBAJI : i. Awe wa jinsia ya kike. ii. Awe na Shahada ya uchumi. Awe amewahi kufanya utafiti wa kitaalamu. iii. Awe na uwezo wa...
  3. M

    Mnapiga Kelele eti dola imepanda, Mna akili timamu kweli?

    watu huko wameshapiga bilions za escrow mtanzania unajutia utanzañia wako.unatia hata huruma.kunaa ubovu wa sheria .jiandikishe piga kura october na uilinde kura yako utafanikiwa.lasivyo watu watakuwa wanapiga mabilion yetu ya kodi kila kukicha.
  4. M

    Masoud Kipanya is wrong about SUA

    hapo sua kuna degree za uchum.bsc agricultural economics and agribusiness.msc. agricultural economics n moja kat ya course bora za uchum hapa tz.nimekutana na hao watu maeneo tofaut wapo vizur sana.
  5. M

    Mnapiga Kelele eti dola imepanda, Mna akili timamu kweli?

    huu muhula wa nne umechafua sana hali ya uchum.GDP imeongezeka katika no tu .na in rea sense inapungua.huyu mzee amejitahid maeneo mengine lakin uchum kazingua.nahis govt inafanya ilu kutimiza malengo yake bila kuzingatia uchumi wetu unataka nn.kutokana na mikopo inayokuja nchin tungetegemwa...
Back
Top Bottom