Kazi ni kupiga kelele mtandaoni kama kweli ni mlafi si atumbulie. Kazi kubwa nyinyi ni kupiga kelele. Naona zamu hii kakaliwa kooni bwana Beka kakutana na Nshomire
Huyu dogo Faris CCM wanamlea sana inabidi awe amesimamishwa nafasi ya uongozi. Huwezi kuua na kulazimisha mtu atoke selo wakati watu ni majeruhi. Laana inamuandama ya umwagaji wa damu.
Hiki kitendo ni cha kulaaniwa kwa watanzania wote. Hizi takataka za hivi hazifai kabisa kuwa viongozi. Karma...
Huyu Dogo hizi siasa za kutishia watu zilishapitwa na wakati. Ukiona hivyo ujue akiri zake anajua akisema anapoteza na kuua watu ndiyo atapata uteuzi.
CCM hii mijitu ya haina hii ndo wanayaona yana akiri. Hizo ni raana mnajitafutia. Nyinyi wenyewe mioga. Kama kweri mmemuchoka itisha Presi...
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Manyoni Bwana Jumanne Makhanga analalamikiwa na wananchi ambao ni wanachama hai wa CCM Wilaya ya Manyoni kwa kuchangisha pesa zisizo na tija.
Mwenyekiti huyo kwa mwaka jana pekee amechangisha pesa kwa wanachama wote kwa kila Mwanachama kutoa Shilling mia tano kwa...
Chama ambacho kinashindwa kulinda rasilimali za nchi hakifai kuchukua dola. Wakati Chadema tunasema People's Power tunamaanisha nguvu ya umma. Anayeiua Muleba ni CCM hatupaswi kumlaumu yeyote.
Hiki chama kimechooka ni chama ambacho kinashindwa kuisimamia serikali na kujisimamia chenyewe.
Kuna...
Vijana wa jumuiya ya CCM wilaya ya Muleba tuliungana kwa pamoja na kusajili kikundi cha Umoja wa Vijana wa CCM Muleba kikiwa chini ya viongozi wa chama ambapo ni katibu wa vijana na Mkiti wa vijana Jumuiya ya CCM Muleba. Kikundi hicho kilipata leseni yake mnamo tarehe 23/07/2022. Leseni hiyo...
Huu wakati ndani ya Chama cha Mapinduzi tunaweza kusema ni muda wa lala salama au muda wa majeruhi na hii inapelekea wananchi wote pamoja na wanaCCM kusubiri ni nani jina lake litarudi na hii macho yote ni kwa majimbo yote Tanzania nzima. Miaka ya nyuma tungekuwa tumeishashangilia ushindi lakini...
Serikali ya awamu ya tano chini ya Dr John Magufuli wakati ikipambana kuhakikisha nchi inakua kiuchumi kuna baadhi ya viongozi wa ovyo wao akili zao wanawazia nafasi za uongozi wao. Ni tarehe mbili mwezi wa saba tu mwaka huu Tanzania inafanikiwa kuingia kwenye uchumi wa kati wa chini ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.