Hata kama wafuasi wa chadema wana akili finyu kwa mtazamo wako, mpaka sasa hakuna mbadala wa chama/kundi linaloonea huruma rasilimali na watu wa nchi hii zaidi ya CDM. Pia nguvu yetu iko katika msimamo kwamba, kura moja ya mwerevu na ya mwenye ufinyu wa akili zinalingana kimaamuzi. Mnaokula...
Kwa mtazamo wangu, tukio la jana katika viwanja vya soweto linafanana kabisa na tukio la kulipuka bomu kanisani huko olasiti. Tofauti ni mazingira tu kwamba moja kanisani na jingine katika siasa. kwa mfanano matukio yote yamesababisha watanzania kuumizwa na pia kupoteza maisha.
Katika tukio la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.