asante sana nimeshafunga ndoa mwaka jana,pia asanteni wote kwa ushaur wenu cna mengi naomba niishie hapo.na pia cwez kupata mtt nje ya ndoa yangu coz najua maisha yalivyo nishapitia mengi.
Habar,poleni na majukumu ya kulijenga taifa kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu naomben msaada kwenu wana jf wenzangu niweze kuujua mzunguko wangu mwez wa pili niliingia date 4/2/2015 na mwez wa tatu niliingia date 10/3/2015 na mwez huu wa nne nimeingia date 8/4/2015 pia na siku ipi...
ahaaa mi nilipopanga mama mwenye nyumba choo anasafisha mwenyewe pesa unachanganyiwa na kodi yake sasa kero kwangu ilikuwa hawasafish vzr anasafisha akijickia bac ugomvi wangu ulikuwa huo adi nilipohama.
Primolut N is used to treat
irregular menstrual periods with heavy and/or
persistent bleeding that has no identified
cause
lack of menstrual bleeding
premenstrual complaints (premenstrual
syndrome)
menopausal complaints in combination with
oestrogen as part of hormone replacement...
yaani cjawah kutumia dawa za uzazi wala sindano na wala cjawah kupata mimba cjui nina tatizo gam lingine jaman nashukuru kwa ushaur wako kusema ukweli mume wangu hajawah kwenda hospital inabid nae aende
ok asante sana ila hospital nilienda pia nilikuwa na tatizo la kuruka nilikuwa nakaa miez mitatu bila kuona cku wakanishaur nipime full blood picture nikapima wakanambia nina high prolactin yaan homon za maziwa zipo juulu nikapewa dawa nitumie zinaitwa bramestone 2.5gm nilitumia toka mwez wa...
Habari zenu wapendwa natumain wote mtakuwa wazima nakumbuka niliomba msaada kwenu kuhusu kuujua mzunguko wangu kwa ujumla, na mkanielekeza cku muhimu ya kupata pregnant lakini mpaka leo holaa na mzunguko wangu pia unanichanganya mpaka leo adi nakosa raha.
Mwezi wa saba nimeingia date 9 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.