Recent content by mchoto

  1. M

    Kuhusu vituo vya kulelea watoto: samaki mmoja akioza si wote wameoza!

    Kuna kituo cha kulea watoto yatima Arusha DC, mmoja wa kiongozi katika makao amewazalisha watoto wawili ambao walikuwa wakilelewa na kituo hicho. Wanaficha siri kwa sababu ya undugu mamlaka husika naomba zifuatilie hao watoto waliounganishwa na familia wamekuwa single mothers kwa kuzalishwa na...
  2. M

    Kwani nini vijana wa field tunanyimwa nafasi ya kufanya kazi katika faculty zetu . Especially sheria

    Komaa tu kutafuta field sehemu nyingine hata mahakama ya mwanzoni nenda kajifunze. Ila umepata funzo kama field tu kupata imekuwa changamoto ndo uelewe upatikanaji wa ajira ulivyo mgumu
  3. M

    Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

    Inaelekea kuna mwanamke alishawahi kukuumiza wewe siyo bure
  4. M

    Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

    Soma thread uielewe mkuu! Siyo kwamba navizia pesa zake nilienda kikazi ( outreach program) mkoa anaofanya kazi kisanga ndo kilipotokea. Najiweza kiuchumi vizur tu
Back
Top Bottom