Kuna kituo cha kulea watoto yatima Arusha DC, mmoja wa kiongozi katika makao amewazalisha watoto wawili ambao walikuwa wakilelewa na kituo hicho. Wanaficha siri kwa sababu ya undugu mamlaka husika naomba zifuatilie hao watoto waliounganishwa na familia wamekuwa single mothers kwa kuzalishwa na...
Komaa tu kutafuta field sehemu nyingine hata mahakama ya mwanzoni nenda kajifunze. Ila umepata funzo kama field tu kupata imekuwa changamoto ndo uelewe upatikanaji wa ajira ulivyo mgumu
Soma thread uielewe mkuu! Siyo kwamba navizia pesa zake nilienda kikazi ( outreach program) mkoa anaofanya kazi kisanga ndo kilipotokea. Najiweza kiuchumi vizur tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.