Tena kwe kilimo aingie kwe bustani ni aina ya kilimo cha mda mfupi na hakina gharama kubwa ya uendeshaji wake , mazao yke kama, bamia, nyanyachungu, pilipili hasa za mwendokasi, au mboga mboga za majan, hiz akitulia itamsogeza seheme, chakuzingatia mfn km izo bamia, nyanyachungu,pilipil alime...