Ushahidi soma tena hoja ya mleta mada, unajitoshereza kusapoti tuhuma hii nzito. Serikali ije sasa kukanusha kwa kufafanua alichosema mleta mada na sio kuhamisha magori
Wanaishia kuchanganya siasa na kazi za taaluma. Mfano uendeshaji wa taasisi nyeti kama Tanesco umegubikwa na siasa ukichunguza hasa. Wahuni watanikana kwa ili, ngoja nitoe mfano;Kipindi hiki kesi ya Lisu inavuma kila siku, sasa kwa kuwa vyombo vya habari hapa nchini vipo kapuni wanachojitahidi...
Zile raha mnasema uchungu hamjamjua fisi vizuri. Ujue kuna mtu mke na me wengi wao wakitiana hupiga kelele. Wanaume kelele akifika kileleni, pia mwanamke. Sasa nyani wakiwachungulia waseme mnasikia uchungu.
Uchungu wa mnyama mwanadamu utaujuaje mpaka useme uchungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.