Kwa mara ya kwanza nimeona mada iliochangiwa kiweledi katika jukwaa hili tangia Jf itoke kifungoni.
Sijui watao kuja kama wayaendeleza au watema miharo
Kuna namna mamlaka wangekuwa na watu makini wakapanga miundombinu itakayolazimisha wamachinga kujitoa maeneo hayo na kusogea sehemu maalum. Hii ina hitaji akili kubwa sio kama hii ya kulazimisha mabasi yaanzie Mbezi
Wewe na Ssh mpo upande ambao ni hatari kwa maslahi ya Tanganyika, sasa hiyo 6 kwenu ni 9 na Upande wa haki tunaendelea kuiona 6.
Nikuulize ubaya wa Sarungi ni upi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.