Recent content by Mcharo son

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa mabasi wapewa wiki moja kurejea stendi ya Magufuli

    Hiyo sio sababu. Na malori mtayafanyaje?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa mabasi wapewa wiki moja kurejea stendi ya Magufuli

    Shenzi kabisa sio tusi! Na malori mbona yanapita ', Nimekumbuka ile kauli ya mkuu wa mkoa aliewahi kulazimisha daladala zitembee level siti.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje parachichi tunauziwa bei kubwa hivi?

    si ni kama bei ya umeme unaotoka bwawa jipya la Nyerere ipo juu. Tuendelee kuimba ccm mbele kwa mbele .....
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    N Nani kakuambia bei ya mafuta itapungua kwa unafuu unaoufikilia? Ccm walisema gesi ya Mtwara ikianza kutoka kutakuwana unafuu, uko wapi? Pia tuliambiwa bwawa la Nyerere likianza kutoa umeme kutakua na nafuu ya umeme, ipo wapi?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    Sa100 bingwa wa kukopa au watamuingiza mjomba hapo kati
  6. M

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya vumbi kwenye mradi wa kupanua barabara Mbagala Kokoto kwenda Kongowe

    Huu mradi wa kujenga barabara kipande cha Rangi3 kuanzia Kokoto mpaka Kongowe Dar es salaam ambacho hakizidi kilomita 5 uliokuwa umeanza hivi karibuni. Kwa muonekano ni kama umesimama. Leo nimepita na kujionea hakuna shughuri yoyote ya ujenzi ikiendelea. Kama ujenzi unaendelea lazima kuwe na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nasikia Cement imepanda hadi kuuzwa Sh 22,000 kwa mfuko. Mtaani kwenu mnanunua kwa bei gani?

    Mbona itafika 50,000 soon, ngoja vikwazo vikaze kamba
  8. M

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa malipo ya ardhi online haufanyi kazi wiki sasa hatuwezi kulipia kodi ya mwaka ya umiliki ardhi

    Ni kero, hati yenyewe niliipata kwa tabu, mara mtandao unaambiwa upo low njoo kesho. Hii ni pale ofisi za wizara kivukoni. sasa Mwaka umepita hata kulipia hakuna control namba mpaka uende ukaiombe pale! kwa nini mtandao ofisi za serikali unakuwa slow??
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa vyama vingi: Tunashindana kwa SERA au kwa CHUKI?

    Tatizo lililopo hapa, kuna mmoja anamminya mwingine na huyu mwingine anatoa milio ya maumivu. Unategemea siasa gani hapo? Tafuta tatizo lilipo ndio utibu sio kusafisha hali ya hewa. Wakati mishizi inaendelea!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Wasomi ni wengi wenye akili. Hata memba wengine ni ccm lakini hawaitaki wamejichokea
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ujuaji: Kwa nini JWTZ hawavai nguo za khaki kama za mgambo.

    Machi yako yanakudanganya kwenye oicha na uhalisia wa kile unachotaka, Mie kwa mtazami wako naona Wavae kijani kama ile ya ccm
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kirusi cha Mwilini na Kirusi cha Kijamii!

    Dawa ya kirusi jamii ni sheria na katiba ya nchi ilionyooka. Ukitumia maamuzi yako kumuona mwenzio kirusi ukamuangamiza kumbe wewe ndio kirusi konki kumbuka ukishaangamiza ni hakuna kuhuisha, sasa kama ulikosea?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya: Mbwa waliokonda wanambwekea nani?

    umeiona hiyo minofu? au kuna pesa hapo umemwona nazo? mie naona mkono mtupu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    mfumo ? unamaanisha mtandao wa kina Jk?
Back
Top Bottom