Recent content by Mcharo son

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Maridhiano kati ya Serikali vs CHADEMA: Uzuri na upogo wa maoni ya ndugu huyu kule X-Twitter. Soma, Kisha toa maoni yako

    Kwa mara ya kwanza nimeona mada iliochangiwa kiweledi katika jukwaa hili tangia Jf itoke kifungoni. Sijui watao kuja kama wayaendeleza au watema miharo
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Una ajira au shughuri yoyote inayokupatia kipato? Tuanzie hapo kwanza ili tuone usaidiwe vipi.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    kujua asili ya mtu(kabila) inasaidia kumuelewa na namna ya kuishi nae, Mtu hawezi kuja kuomba kazi kwangu bila kukumbana na hilo swali. .
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    Hapo umekinukisha. upande wa reli kisahihi.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Madaraka ambayo yanamfanya kuwa juu ya katiba. Ndio mana samuya akaifananisha Katiba na kijitabu kisichoweza kumdhibiti akikosea
  6. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wamachinga wanaopanga bidhaa zao ndani ya barabara ya kwenda Kariakoo eneo la Ilala Boma, kwanini hawaondolewi? Tunasubiri hadi maafa yatokee?

    Kuna namna mamlaka wangekuwa na watu makini wakapanga miundombinu itakayolazimisha wamachinga kujitoa maeneo hayo na kusogea sehemu maalum. Hii ina hitaji akili kubwa sio kama hii ya kulazimisha mabasi yaanzie Mbezi
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030

    Kwa kuwa mkweli, wataogopa kumwita akaanike ukweli. Wataka chofanya Watampolepole. Alindwe
  8. M

    JamiiForums Tanzania Bashungwa: Kumvua uanachama Nchimbi kumelenga kusimamia maslahi ya chama

    Ni maslahi ya kundi vs maslahi ya Taifa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mnaosema wazanzibari wanaichukia sana Tanganyika na wana mipango ya kututawala, Je hamuoni teuzi kubwa wanazotupa watanganyika ?

    Wewe na Ssh mpo upande ambao ni hatari kwa maslahi ya Tanganyika, sasa hiyo 6 kwenu ni 9 na Upande wa haki tunaendelea kuiona 6. Nikuulize ubaya wa Sarungi ni upi?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu katiba mpya; msimamo wa CCM ni upi?

    Akikujibu nipige konzi. nimekaa pale
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu katiba mpya; msimamo wa CCM ni upi?

    Hii ya Octoba 29 haikutosha? au kikombe cha toto pendwa kiongezee hapo
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Kweli Nyerere akifufuka sasa hivi, ma Genz watamtoa baru! Babu yao kawauza
  13. M

    JamiiForums Tanzania An extreme coincedence? Kuanguka kwa Mbowe na kupotea kwa Johnthebaptist!

    kumbe ndio mana mchezo na maamuzi ya Samuya kama kibibi ''copy and paste''
  14. M

    JamiiForums Tanzania An extreme coincedence? Kuanguka kwa Mbowe na kupotea kwa Johnthebaptist!

    vipi kuhusu Faizafx anaonekana humu? mie simuoní
  15. M

    JamiiForums Tanzania "You Must support the ANC only so far as it delivers the goods"Nelson Mandela.

    Noted; The same to Ccm
Back
Top Bottom