Alijitahidi kuwapa wale walio chini wapate mfano halisi ni kuunganishiwa umeme wa Tanesco kwa 27,000. Hii ililenga wenye kipato cha chini wapate umeme, Waliokuwa wanatoa milio kipindi vha Magu ni wale waliokwishapata,
Sasa kwa Samuya wanufaika ni walionacho,
unabisha nipe mfano 1 tu kumtetea...
Hila hakuna malaya, muelewe mleta mada.
Nakubaliana nae sababu wachagga wanasomesha mabint zao hivyo ni nadra kuwakuta wakijiajiri kwenye sekta ya umalaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.