Recent content by Mcharo son

  1. M

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Sio empty. hata ungekuwa wewe ungeweweseka; hakuna kitu kigumu kama kutetea uongo!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Watajwe ili wapotezwe! kama yule waliomteka kwenye basi mbele ya abiria wakamuulia mbali
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Wataenda stend kuu zilizopo katika hizo njia kuu, mfano kama mtu anasafiri kwenda Mtwara anaenda kupanda basi terminal pale Mbagara kando ya Kilwa road. Kama kampuni za usafirishani wanataka kupunguza usumbufu wa abiria wao hata wakianzia ofisini kwao mie sioni shida. Basi zao zipite njia ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Njia kuu zinazoingia Dar, hii ikiwa ni kigezo yaweza fanya kazi. Tatizo mambo haya yanaanzia kwa viongozi wa siasa badala ya ma-engernia wa city
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Hapa tukubariane stend ingebaki ubungo, ukizingatia barabara zimeta nuliwa na flyover ya Ubungo ipo. Hicho walichokiweka pale sasa hivi wangekisogeza Kule nyuma ya mawasiliano vikakae kalibu na Mlimani city. Stend ya Mwendokasi na daladala zikawepo hapo pembeni. Ingekuwa centre moja kali sana ya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Hiyo kweli. Mfano Basi za Mtwara wanataka zikatishe jijini zikiitafuta Kilwa road?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    ahsante, alamsiki. 8/10 imeshapita, tusubiri yajayo mada iendelee...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Walioelewa wameelewa 1. Nimekanusha hoja nilio -'quote' fuatilia soma kwa makini. kwani hapo kaenda kumtembelea Wapi, Newyork Marekani? Kuna sababu za kutembelewa wakati huu Tec wakiwa wametoka kusikilizwa na Samuya ili nyie na wa-nje muone sinema.. Waliosoma ''Mass comunication'' na...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yetu ya Tanzania inatambuliwa na umoja au taasisi gani duniani? Wizi wa kura au mauaji hayakutokea 2001? Why today

    kelele za reform na katiba mpya kipindi kile hazikuwa nyingi kama sasa. Cdm imefanya kazi kubwa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    sio kweli. Hii ni ''calculated move'' na alichofanya Samuya kutoa picha kuwa wastaafu sasa wamekaa makwao tulii(hutomsikia huyo jamaa kwenye ma uzinduzi ili kutuaminisha hivyo. na sio kimbelembele, kwa nyie Tec tunawasikiliza sasa mnasemaje. Huo ndio. uhalisia.
  11. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 TEC, ili kuepusha upotoshaji toeni kauli rasmi kwa umma ya mlichojadili na Rais Samia jana Ikulu. Waumini wenu tuna haki kujua mlichopatana

    Unatishia 'Nyau' ishapita hiyo kule hakuna jipya zaidi ya kutuliza upepo. Sasa kuna la kusemea hapo?
  12. M

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Pimbi na lodilofa watakuwepo, wale ma bon-town. We utakuja na ile gari yako. Ma GenZ sijui kama wanamjua lodilofa!
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa mabasi wapewa wiki moja kurejea stendi ya Magufuli

    Hiyo sio sababu. Na malori mtayafanyaje?
Back
Top Bottom