N
Nani kakuambia bei ya mafuta itapungua kwa unafuu unaoufikilia?
Ccm walisema gesi ya Mtwara ikianza kutoka kutakuwana unafuu, uko wapi?
Pia tuliambiwa bwawa la Nyerere likianza kutoa umeme kutakua na nafuu ya umeme, ipo wapi?
Huu mradi wa kujenga barabara kipande cha Rangi3 kuanzia Kokoto mpaka Kongowe Dar es salaam ambacho hakizidi kilomita 5 uliokuwa umeanza hivi karibuni. Kwa muonekano ni kama umesimama.
Leo nimepita na kujionea hakuna shughuri yoyote ya ujenzi ikiendelea.
Kama ujenzi unaendelea lazima kuwe na...
Ni kero, hati yenyewe niliipata kwa tabu, mara mtandao unaambiwa upo low njoo kesho. Hii ni pale ofisi za wizara kivukoni. sasa Mwaka umepita hata kulipia hakuna control namba mpaka uende ukaiombe pale! kwa nini mtandao ofisi za serikali unakuwa slow??
Tatizo lililopo hapa, kuna mmoja anamminya mwingine na huyu mwingine anatoa milio ya maumivu.
Unategemea siasa gani hapo? Tafuta tatizo lilipo ndio utibu
sio kusafisha hali ya hewa. Wakati mishizi inaendelea!
Dawa ya kirusi jamii ni sheria na katiba ya nchi ilionyooka.
Ukitumia maamuzi yako kumuona mwenzio kirusi ukamuangamiza kumbe wewe ndio kirusi konki kumbuka ukishaangamiza ni hakuna kuhuisha, sasa kama ulikosea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.