Recent content by Mcharo son

  1. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Risasi za mpira zingetosha kabisa kufanya kazi ya kuzuia hicho unachokiita vurugu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mbona uzalishaji umeme wa Julius Nyerere hatuoni umuhimu wake?

    Alijitahidi kuwapa wale walio chini wapate mfano halisi ni kuunganishiwa umeme wa Tanesco kwa 27,000. Hii ililenga wenye kipato cha chini wapate umeme, Waliokuwa wanatoa milio kipindi vha Magu ni wale waliokwishapata, Sasa kwa Samuya wanufaika ni walionacho, unabisha nipe mfano 1 tu kumtetea...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mbona uzalishaji umeme wa Julius Nyerere hatuoni umuhimu wake?

    No, aliweza kushusha ghArama ya kuungamisha umeme kuwa 27,000 na ilifanya kazi, usitulishe matango pori
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa Rais Samia, ningemwomba Lissu turidhiane kwa dhati na anisamehe

    Nyie ndio mliomshauri akimbilie kwa Putin?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Sammy Awami: Ziara ya Rais Samia Nchini Urusi inaweza kuwa inatuma ujumbe wa nia ya kuimarisha urafiki, uhusiano mwema na wa karibu

    aende na Korea kaskazini, ndio nchi zitakazompokea zilizobaki
  6. M

    JamiiForums Tanzania KERO Haya malori yanayopaki barabarani yamekuwa kero

    nchi hii ss kila kona ni ovyo kwa management and planing
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kigumu duniani kama kukubaliana na ukweli

    Lisu ni mtu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    Nyamayao
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nimefika Moshi nimezunguka club zote maarufu toka juzi hakuna warembo kwenye club zao

    Hila hakuna malaya, muelewe mleta mada. Nakubaliana nae sababu wachagga wanasomesha mabint zao hivyo ni nadra kuwakuta wakijiajiri kwenye sekta ya umalaya
  10. M

    JamiiForums Tanzania Naibu Msajili wa vyama vya siasa awaibukia CHADEMA Ofisini kwao

    makallio yako sio matusi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    kicha ngumu, mkiambiwa ccm janga. mnajibu bora Amani
  12. M

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Na lile ni eneo la jeshi. Siku za nyuma wajeshi walikuwa wanafurusha magari yanayojipitisha ovyo kando zile
  13. M

    JamiiForums Tanzania Uchwara Media Group: Kuzinduliwa Very Soon

    afadhali angeiita "uswaz media group"
  14. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hana washauri? Habari ya kupata Katiba Mpya inahitaji elimu ya miaka mitatu inatoka wapi? Tume ya Jaji Kisanga na rasimu ya Jaji Warioba?

    Ni kama enzi ya Kikweye alianzisha kipindi cha mwisho wa awamu yake. Hivi ndivyo ilivyo sasa mambo yanaendelea...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Kituo cha Nishati na Usafirishaji Afrika Mashariki

    Panua bandari ya Tanga, mwekezaji mwingine ataweka Kiwanda cha kusafisha mafuta pale. Simlpe! Sio kuleta siasa za kujipa moyo.
Back
Top Bottom