Recent content by Mcharo son

  1. M

    Kifungu hiki cha Katiba kinamfanya Rais kuwa Mungu mtu, ukienda kinyume naye tu anaweza kuamua ulione jua au lah!

    Zaidi ya hapo, haukumiwi k see a chochote atakachofanya. Hii nayo sijaipenda.
  2. M

    Mwigulu: Tunawekaje bajeti za kununua magari ya nyongeza na watoto wanakaa chini?

    Tuanzie kuuliza hapo ziara zake zina msururu wa magari kiasi gani na amechukua hatua gani kuondoa ubadhirifu huo wa mafuta na vyombo vya umma
  3. M

    Vita dhidi ya Iran haiwezi kuwa vita ya Dunia

    Kweli ni vita vya wahuni ccm, kung'ang'ania kubaki madarakani
  4. M

    Mradi wa ujenzi wa matenki maalum 15 ya kuhifadhia mafuta ni matokeo ya uongozi wa maono wa Rais Samia na kinga ya uchumi wa taifa

    Tusiingize siasa uchwara kwenye uchumi hasa kwenye hatua za mwanzo. Ni hatari. Mada hii ungesubiri matokeo ndio ulete hoja yako ya kusifu.
  5. M

    Naomba msaada wa Sehemu nzuri ya utalii Morogoro na Arusha

    andika katika google search "sehemu za utalii Arusha" utapata uchague mwenyewe. Weka mkoa unaoutaka
  6. M

    KERO Kinachofanyika Uhamiaji tukikinyamazia Watoto wetu watakuwa watumwa katika ardhi yao, kuwe na usawa

    Ushahidi soma tena hoja ya mleta mada, unajitoshereza kusapoti tuhuma hii nzito. Serikali ije sasa kukanusha kwa kufafanua alichosema mleta mada na sio kuhamisha magori
  7. M

    Taaluma kwa Viongozi

    Wanaishia kuchanganya siasa na kazi za taaluma. Mfano uendeshaji wa taasisi nyeti kama Tanesco umegubikwa na siasa ukichunguza hasa. Wahuni watanikana kwa ili, ngoja nitoe mfano;Kipindi hiki kesi ya Lisu inavuma kila siku, sasa kwa kuwa vyombo vya habari hapa nchini vipo kapuni wanachojitahidi...
  8. M

    Kama binadamu kuzaa kwa uchungu ni adhabu vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi, nguruwe na wanyama wengine wanaozaa kwa uchungu?

    Zile raha mnasema uchungu hamjamjua fisi vizuri. Ujue kuna mtu mke na me wengi wao wakitiana hupiga kelele. Wanaume kelele akifika kileleni, pia mwanamke. Sasa nyani wakiwachungulia waseme mnasikia uchungu. Uchungu wa mnyama mwanadamu utaujuaje mpaka useme uchungu.
  9. M

    "Wanatoa maziwa na mayai, wanastahili kuwa jikoni" maneno ya Mdau

    Urais imekuwa fursa ya kujirisha wewe na extended ukoo, siku hizi. Ilitakiwa aliefanikiwa ndio apewe, sio vinginevyo
Back
Top Bottom