Wataenda stend kuu zilizopo katika hizo njia kuu, mfano kama mtu anasafiri kwenda Mtwara anaenda kupanda basi terminal pale Mbagara kando ya Kilwa road. Kama kampuni za usafirishani wanataka kupunguza usumbufu wa abiria wao hata wakianzia ofisini kwao mie sioni shida. Basi zao zipite njia ya...
Hapa tukubariane stend ingebaki ubungo, ukizingatia barabara zimeta nuliwa na flyover ya Ubungo ipo. Hicho walichokiweka pale sasa hivi wangekisogeza Kule nyuma ya mawasiliano vikakae kalibu na Mlimani city. Stend ya Mwendokasi na daladala zikawepo hapo pembeni. Ingekuwa centre moja kali sana ya...
Walioelewa wameelewa
1. Nimekanusha hoja nilio -'quote' fuatilia soma kwa makini.
kwani hapo kaenda kumtembelea Wapi, Newyork Marekani?
Kuna sababu za kutembelewa wakati huu Tec wakiwa wametoka kusikilizwa na Samuya ili nyie na wa-nje muone sinema.. Waliosoma ''Mass comunication'' na...
sio kweli. Hii ni ''calculated move'' na alichofanya Samuya kutoa picha kuwa wastaafu sasa wamekaa makwao tulii(hutomsikia huyo jamaa kwenye ma uzinduzi ili kutuaminisha hivyo. na sio kimbelembele, kwa nyie Tec tunawasikiliza sasa mnasemaje.
Huo ndio. uhalisia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.