Recent content by Mchambuzi Fedha

  1. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Faida na hasara za kutumia mafundi maiko kwenye ujenzi

    Sio Michael, ni maiko😁
  2. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Ninachokijua kuhusu Miradi ya DMDP na Ujenzi wa Miundombinu Mkoani Dar

    Hii utekelezaji wake sijui utaanza lini!
  3. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Aina gani ya choo ni bora zaidi?

    Hapo nimelenga mfumo namba moja na tatu mkuu.
  4. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Aina gani ya choo ni bora zaidi?

    Mfumo mzima wa choo, ukijumuisha na shimo/mashimo
  5. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Aina gani ya choo ni bora zaidi?

    Ndiyo wanavyoviita vya kisasa na kwamba havijai... sina uzoefu navyo that's why nikaleta uzi humu
  6. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Aina gani ya choo ni bora zaidi?

    Hivi vya mashimo ambayo baada ya matumizi ya kipindi fulani hujaa na kuhitaji kunyonywa
  7. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Aina gani ya choo ni bora zaidi?

    Habari wanajukwaa Kumekuwa na debate zinaendelea kuhusu ubora wa vyoo hivi vya kisasa wanavyosema havijai kamwe kulinganisha na vile vilivyozoeleka. Naomba kuuliza kwa mwenye uelewa, kipi ni choo bora zaidi kwa matumizi ya mazingira yetu ya kitanzania, hasa Dar? Isijekuwa ni kuvutia tu...
  8. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa Hati Miliki za Ardhi, hali ipoje huko kwenu?

    Yani mimi nafatilia control number nikamilishe malipo tangu February mpaka leo hawajatoa, kila siku hawakosi sababu!
  9. Mchambuzi Fedha

    JamiiForums Tanzania Jinsi Watanzania tunavyoumia huku tukitanguliza Utani

    ...ganzi iendelee[emoji51]
Back
Top Bottom