Habari wanajukwaa
Kumekuwa na debate zinaendelea kuhusu ubora wa vyoo hivi vya kisasa wanavyosema havijai kamwe kulinganisha na vile vilivyozoeleka.
Naomba kuuliza kwa mwenye uelewa, kipi ni choo bora zaidi kwa matumizi ya mazingira yetu ya kitanzania, hasa Dar?
Isijekuwa ni kuvutia tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.