Recent content by mchaga pori

  1. M

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    Acha majungu wew Motochini.cdm ndyo waroho wapesa zaid ya hao wazee wa sherehe za gharama na deal za kupandia
  2. M

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    hawana maana hao.thaman ya dola imepanda kwao tu ila wafanyakazi au raia wengine hyo dola haiwahusu?kwani hzo gar lazima wanunue aina hyo tu hakuna nyingne?
  3. M

    Dr. Magufuli na usanii wa Hospitali kuu ya Taifa Muhimbili

    tukuzi bhana anajibu rahic hoja kubwa,yan hii kauli ya hapa kazi naona inawalevya watu.Fikirieni na kujibu hoja kwa kutumia ubongo siyo mihemko
  4. M

    Magufuli afyeka 50 waliokuwa kwenye orodha ya kushiriki ziara ya Madola

    Hapo wazee wa deal ndyo wanaumia sana, maana fulsa zinabanwa sasa.
  5. M

    Magufuli afyeka 50 waliokuwa kwenye orodha ya kushiriki ziara ya Madola

    mi nafikir tufike pahala tuwafurahie wapinzani kwa yote yanayotokea kuanzia kupatkana kwa magufuli mwenyewe,maana upinzanh wa lowasa na membe yeye akapata fulsa hyo.pia kelele za wapinzan zinamfanya awaze sana na afanye kazi kuonyesha ubora wake.Hongeren wapinzan.
  6. M

    Tanzania ya Magufuli na viwanda, ''Nchi ya kufikirika''

    kwani mpaka sasa una umri gan hapa tz?na umeshuhudia ahadi tamu ngapi toka kwa marais wa nchi hi?viongoz wetu wana maneno matamu kuzidi juice ya embe,ila utekelezaji upo kama juice ya Alovera.
  7. M

    CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

    Mbunge wa sumbawanga Aeish elimu yake mbona ni shida tupu ila hamsemi hapa.na ni ccm hao hao wanao lilia kipengere cha kujua kusoma na kuandika kwa bosi ila dreva wake awe kafika kidato cha nne.akili ndogo zinawaza hvyo hvyo.
  8. M

    CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

    Kasoma mbeya shule ya sekondari Lutengano,mpaka akapata mashairi ya maisha ya boarding noma,we uliyetoa cv naona unashida zako binafsi.
  9. M

    Uoga wa Zitto Kabwe kwa Tulia Ackson

    kipindi job anapitishwa kuna majitu yalikuja na hoja za uzoefu bungeni sasa nasubir kuona kati ya huyo Akson na Zungu nani mzoefu bungeni.Small mind
  10. M

    Uoga wa Zitto Kabwe kwa Tulia Ackson

    acheni kuwa watu wa small mind.always they discuss abt people not issues.
  11. M

    CCM na demokrasia mpya ya kuchukua fomu na kujitoa dakika za mwisho

    wala msipoteze mjadala hapa.yan mi mwenyewe bado nashangaa,watu wamejifanya wanawakata wengne kupata tatu bora af ile 3 bora inajitoa anabaki mmoja.sasa c mngesema mapema nafac ni ya mr Kazi.haya ndyo yanayofanywa kwny mashira kwenye issue za ajira.wanamtu wao wanapotezea wengne muda tu.
  12. M

    CCM na demokrasia mpya ya kuchukua fomu na kujitoa dakika za mwisho

    wala msipoteze mjadala hapa.yan mi mwenyewe bado nashangaa,watu wamejifanya wanawakata wengne kupata tatu bora af ile 3 bora inajitoa anabaki mmoja.sasa c mngesema mapema nafac ni ya mr Kazi.
  13. M

    Vigezo vya uteuzi wa wabunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA vyawekwa wazi

    mnalialia tu chadema chadema na upendeleo,unataka upewe wew au apewe ambaye unajua mnaukaribu ili nawe ufaidi eeeh!tatizo la watanzania hata ufanyeje huwezi kuwatimizia haja zao na ni yatu wa kulalamika kila kukicha.fanya kazi acha mawazo mgando.low and average mind.
  14. M

    Masanja Mkandamizaji achukua fomu ya kugombea Ubunge Ludewa

    Ccm ina watu wake,huyo masanja anajisumbua tu.akifa baba au mama anachukua mtoto kama mtoto hayupo anapewa ndugu aliyekaribu na marehemu.hapo hyo nafac ya mdogo mtu.
Back
Top Bottom