Mi natumia machine zile za kukamua mafuta so nakamua direct situmii hii njia zingne ila kama unataka kutengeneza nyumbani pia naweza nikakuelekeza njia mbadala
[emoji254] Hutibu maambukizi ya fangasi
[emoji254] Yanaotesha nywele
[emoji254] Yanaondoa mba kichwani
[emoji254] Mafuta bora zaidi kwa ngozi yako
[emoji254] Yanalinda ngozi yako dhidi ya miale ya jua
[emoji254] Yanatibu vidonda vya homa mdomoni
[emoji254] Mafuta mazuri kwa ajili ya massage...
Mafuta mazuri ya nazi ni yale ambayo hajapita kwenye moto wala kuchemshwa kwa majina mengine yanaitwa extra virgin coconut oil au cold pressed oil na majina mengine….ni mazuri mno mm natengeneza na nayauza hayo mafuta makubwa ya mls 250 ni 10,000 na madogo mls 125 ni 5,000 tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.