Mheshimiwa Magufuli yuko sahihi kabisa. Hatuwezi kuwa na vilio viwilikwa wakati mmoja. Kuimarisha uzalishaji huku pDewsa zingine ziende kwa watu wenye kazi zao na vipato vyao ambao tuliwachanguwa kuwa wawakilishi wetu. Hivyo kama kweli wanaona posho na mishahara haitoshi. Waache kazi wafanye yao.
Ngunda transport.
Inayotaarifa nzuri kwa uma hasa wafanyabiashara wanaosafirisha mizigo kutoka #DAR ES SALAAM Kwenda....
Igunga
Nzega
Kahama
Tabora
Shinyanga na
Mwanza
Kuwa wanakaribishwa. Hapo utakabidhi mzigo wako na kusafirisha salama na kwa haraka zaidi. Epuka makampuni yanayocherewesha...
Kuna vyuo vingi sana vimeanzishwa nchin. Lakini cha kushangaza vijana wanaomaliza vyuo hivyo haviwasaid zaidi ya kuwapotezea mali na muda.
nyie kama wanasiasa mnaopigani kushika dola ya tz mmejipangaje kuhakikisha vjana wanaohtim vyuo nchini wanapata ajira kulingana na taaruma zao.
Kuna vyuo vingi sana vimeanzishwa nchin. Lakini cha kushangaza vijana wanaomaliza vyuo hivyo haviwasaid zaidi ya kuwapotezea mali na muda.
nyie kama wanasiasa mnaopigani kushika dola ya tz mmejipangaje kuhakikisha vjana wanaohtim vyuo nchini wanapata ajira kulingana na taaruma zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.