Recent content by mbumi

  1. M

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    wewe ndio umepotea,zzk kafanya usaliti upi?unauthibitisho gani kama anatumiwa na ccm?thibitisha.tatizo cdm mnapenda kutumia nguvu na sio nguvu ya hoja.zzk anawashinda kwa nguvu ya hoja.
  2. M

    kura ya maoni; Zitto vs Mbowe

    tatizo cdm hamtaki ukweli.zito anafaa huyo mbowe amewahi kuibua hoja gani ya msingi?kazi kukusanya pesa kwenye mikutano ya hadhara.zito anafaa sana mie ni cdm na ninamkubali sana zito kabwe
  3. M

    kura ya maoni; Zitto vs Mbowe

    Mh Zitto Zuberi kabwe anamvuto sana kisiasa hilo halina ubishi. anaongea kwa logic sana
Back
Top Bottom