Recent content by mbuchi1987

  1. M

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    Hapana wazee mama zetu wametokomea huko tungependa kumjua kwa kina labda familia nyingine watujuze
  2. M

    Hivi huyu Nabii Michael Leshu ni wa ukweli?

    Jamani waungwana mtujuze kivizuri kuhusu huyu nabii Michael Leshu mwenye kanisa kimara ndani ndani linaloitwa maranatha paraclate.... Inavyosemekani ni NABII anayeweza kutibu mapepo na kuondoa laana katika familia, pia anatabiri maisha yako na wale wachawi wot... hiii ni ukweli? Kama mtu anajua...
  3. M

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    Maana kafanya ndugu yetu kutuona karibu kila mutu anamapepo hivyo nibudi kuuliza maana familia nyingine wanaweza wakawa wanaumia kaa sisis
  4. M

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    Haha si tangazo jamaa ameharibu sana familia ya ndugu yetu sasa tungependa kumjua zaidi
  5. M

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    hahahah wazandiki hapo umeniacha mbali. lakini ni nini kinamfanya binadamu kutokuwa na haya kula na kudanganya watu na kuharibu familia za watu kwa kutumia jina la yesu .. ili ajaze mavi choo?
  6. M

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    Inatisha kitu kinachonishangaza ni nini inawafanya watu waamini hawa manabii feki zaidi?
  7. M

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    Haha mie hata sijui bali lakini nasikia yeye akiangalia picha tu anakusoma fasta ..... mhhhhh wamama wengi mjini ndo wafuasi wake
  8. M

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    Huyu akiangalia picha tu nasikia anaweza kujua wewe unamapepo au la.....
  9. M

    Tumjue kiundani Nabii Michael Leshu

    Jamani waungwana mtujuze kivizuri kuhusu huyu nabii Michael Leshu mwenye kanisa kimara ndani ndani linaloitwa maranatha paraclate.... Inavyosemekani ni NABII anayeweza kutibu mapepo na kuondoa laana katika familia, pia anatabiri maisha yako na wale wachawi wot... hiii ni ukweli??? Kama mtu...
Back
Top Bottom