Recent content by MBOSA boy

  1. MBOSA boy

    Naomba kujua ‘Deed Poll’ ni nini. Nawezaje kubadili majina yangu?

    Brother ubarikiwe sana Mimi nipo Mbeya napata Brother ubarikiwe sana Mimi nipo Mbeya napataje iyo DEEDPOL
  2. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    Oook kumbe wapo watu wamepata tayar KAZI tiaraei Kama.ndo Yale mbona wameongezea sana idadi tofauti na nafasi walizotangaza mwanzoni Kumbe Kuna uwezekano mkubwa HATA TMOS' WAKACHUKULIWA ZAIDI YA 206.
  3. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    [emoji1787][emoji23] painful but true
  4. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    Kwani MATOKEO ya oral kada zingine yametoka??? Au Kuna kada hata Moja MATOKEO ya oral yametoka?????
  5. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    MUNGU ATUSAIDIE WATENDE HAKI WATOTO WA WAKULIMA SISI TUPATE KAZI PIA.
  6. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    Wamewapa NBAA mkuu sio wao kama wao
  7. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    Masyala ayo [emoji57]
  8. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    Kimya sana wadau wangu wa nguvu
  9. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    Sawa nashukuru sana kwa ushauri Ila kwakuwa sasa TRA ndo wameanza kuajiri wao wenyewe je? Huzani Kwamba wanaweza wakatumia cumulative methods ya Kupata wastani wa ufaulu??
  10. MBOSA boy

    Naomba kujuzwa kuhusu ajira za TRA 2023

    Tax management officer ii nafasi 206 zaweza kuongezwa? Criteria zipi nje na ufaulu zinatumika kuwapata watumishi wapya baada ya kufanya oral?
  11. MBOSA boy

    Msaada: Maswali ya nafasi ya Mchumi II kwa waliokwishafanya usaili

    TWENDE KAZI KWA MWENYE MASWALI YA UCHUMI ACHANA STORY ZA VILAZA WENYE AKILI WOTE MUNGU KAWACHUKUA , TUMEBAKI VILAZA NDO MAANA TUPO HAPA
Back
Top Bottom