Wangeruhusu hili swala la private sectors kuuza umeme, bwana Elon Musk angesababisha serikali ilale njaa maana hakuna mtu angeenda funga umeme wa Tanesco nyumbani kwake wakati wa Tesla hautokatika hata iweje
Tena Putin akichukua ndo maisha yatakua bata hatare. Madini yote tutayapeleka kwake na sisi tutapata umeme ambao haukatiki na mabando nafuu kama yote. Ajira zitakuwepo kama zote maana miundombinu atahitaji kuiboresha kama nchi yake. Yule jamaa ni mtu mwenye roho nzuri sana watu wahajui tu.
Iyo...
Hii nchi achukue Elon Musk tu ndo maisha yatakua rahisi. Ndo mana TANESCO na TCRA wanamuogopa huyu jamaa maana hela ambazo walikua wakizichuja na kusingizia wanakata umeme kisa maji yamepungua, zitakua zinaenda kihalali
Kweli kabisa. Tena sishauri kabisa waroto kuangalia anime zenye +12 maana izo ni hatari kwa maadili.
Yeah tazama izo mm ninazo apa 1tb ya anime nimecheki zote mpaka zingine sizikumbuki majina.
Kama hii One Piece ina 1000+ episodes ila ni kali kinoma.
Watu wengi wanashinfwa kutofautisha concepts za watoto na watu wazima. Mfano, animations nyingi zinalenga in between, kumaanisha zinatoa burudani kwa ajili ya familia nzima.
ZA watoto ni kama Dora, etc
Za wote ni kama Avatar the last airbender, Rango etc
Za watu wazima ni kama The...
ukitaka udownload series nyingi za kikorea mwenyewe bila usumbufu ni wewe na sim au PC yako na bando lako, nenda website inaitwa KISSASIAN
LINK: -
https://kissasian.li/
RECOMMENDED
1. VINCENZO --- MOTO WA KUOTEA MBALI
Vincenzo English Sub | KissAsian
2. CRASH LANDING ON YOU...
CHAPTER 6
SHADOWS OF WATER
The hunt was fierce than I expected! the very same day after I left Kinjekitile, I met foreigners travelling with a cross as if praising it. At first I wanted to go head-on and kill them all but something just told me to stay put.
“Why are they carrying that huge...
HABARI WANA JF.
SEHEMU YA 1
MWANZO BAADA YA MWISHO ....
Watu walikuwa wakifa, wengine wakikimbia, wengine wakijikuta kuna miguu mikubwa kama ile ya vunjachungu(parying mantis) ikitenganisha miili yao na wengine wakihangaika kupambana na wanyama ‘beasts’ wakubwa kuliko wao walio wazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.