Kaka samahani me naitwa mbogora ni mwenyeji wa musoma nilikuwa na shida moja nikuulizie ya kuusu diploma ya ualimu no ang ni 0747118979 naomba unibip takupig kwenye hiyo no
Nilimalz form mwaka jana na matokeo Yang yalikuw hivi wana jf wezangu
Physics-D
Mathematics-C
Chemistry-B
Biology-B
Civics-B
Kisw-B
English-C
Geography-C
History-C
Nilikuwa na point 17 nilichaguliwa kusoma clinical medicine lakini nilikuwa nataka pharmacy nilienda kuriport chuo na nikaanza...
2019 nimemaliza kidato cha nne ni matoke yng yalikuw hay
Physics-D
Chemistry-B
Biology-B
Mathematics-C
English-C
Geography-C
History-C
Kiswahili-B
Civics-B
Nilichaguliwa diploma ya clinical medicine na tamisemi lakini me nilikuwa nataka kusoma pharmacy chuo kilipofunguliwa nilienda kuriport na...
Samahani ndg zangu
Nilikuwa naomba kuuliza kwa wenye uelewa na hili Jambo. Mimi nimemaliza form four mwaka Jana nikawa nimechaguliwa chuo kwenda kusoma course ya clinical medicine na tamisemi na Malengo yangu ilikuwa kusoma pharmacy
Nilienda chuo nikalipoti na nikafanyiwa usajili nikajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.