Waliosoma stashahada maalumu ya ualimu wa masomo ya sayansi kwa miaka 3

Raphael Thedomiri

JF-Expert Member
Sep 1, 2019
442
728
Ninaomba ushauri kwa waliosoma stashahada hiyo, kuhusu masomo na mitihani kwenye hiyo kozi.Nimechaguliwa kusoma ualimu wa masomo ya fizikia na biology, nimemaliza form four 2007.Baadhi ya watu wamenitisha kwamba masomo hayo ni magumu na kwamba katika hiyo miaka 3, miaka 2 nitasoma masomo ya form five na six kisha mwaka 3 ndio nisome ualimu.kwa waliosoma kozi hizo za stashahada maalum ninaomba ushauri na mawazo yenu kwenye hilo.
 
Kuhusu namna ya usomaji wapo sahihi,ila kuhusu ugumu sijajua!Ila hii kozi iliwahi kuleta utata
 
Mkuu! Kama una interest na fani nyingine kasome! Wachana na hiyo elimu ipo kisiasa zaidi... Waulize walio maliza 2013 & 2014 nini kiliwakuta na wamesoma miaka mingapi mpaka kumaliza kwao wamepoteza muda mrefu sana...!
 
mi nimesoma hiyo kozi iko hivi
ni kozi ya miaka mitatu na unakuwa unasoma masomo yote ya advance na ualimu kwa wakati mmoja then mwaka wa mwisho (wa tatu) utafanya mtihani kwanza wa form 6 ambao unakuwa ni special exam unafanyika mwezi wa pili baada ya kufaulu ndipo unapata sifa za kufanya mtihani wa diploma wa ualimu na mtihani wa form 6 unafanya masomo yako ya kufundishia pamoja na la ualimu kwa mfano wewe hapo PBE(physics,biology,education) ili uweze kufanya mtihani wa diploma mwezi wa tano ni lazima upate kuanzia principal pass moja na subsidiary moja katika masomo yako ya kufundishia so ukipata physics-E,biology -S na education ufaulu wowote hapo ndipo utasubiria kufanya mtihani wa diploma mwezi may mwaka ni huohuo
kuhusu ugumu wa masomo hakuna ugumu wowote ni jitihada zako tu maana kama mtu anasoma advance school miaka miwili na anafaulu utashindwaje wewe miaka mitatu na content ni ileile sema angalizo ni kuwa hiyo miaka mitatu ndani yake kuna likizo ndefu ndefu sana kupata likizo miezi mi3 kawaida sana pia kuna fields (BTP) zaidi ya mbili so ni kutumia muda wako vizuri maana unaweza kuona miaka mi3 mingi lakini kwa jinsi ratiba yako ilivyokaa waweza jikuta imeisha na hujajiandaa vya kutosha
usitishwe na watu kuhusu ugumu wa kitu kilicho ndani ya uwezo wako kukifanya tambua hatima ya kitu kilicho katika mikono yako unayo wewe mwenyewe
Nadhani nimejitahidi kukuelezea kwa kiasi chake kuhusu kozi baada ya hapo nikutakie masomo mema
 
Mkuu usisahau kumwambia kuwa diploma iko chini ya necta siyo nacte yaani mtihani wa mwisho ndio unaamua kuliko ya chuo na ukisap somo moja la ualimu utasubiri mwaka mwingine ndio urudie ambayo siyo sawa na supp ya nacte
mi nimesoma hiyo kozi iko hivi
ni kozi ya miaka mitatu na unakuwa unasoma masomo yote ya advance na ualimu kwa wakati mmoja then mwaka wa mwisho (wa tatu) utafanya mtihani kwanza wa form 6 ambao unakuwa ni special exam unafanyika mwezi wa pili baada ya kufaulu ndipo unapata sifa za kufanya mtihani wa diploma wa ualimu na mtihani wa form 6 unafanya masomo yako ya kufundishia pamoja na la ualimu kwa mfano wewe hapo PBE(physics,biology,education) ili uweze kufanya mtihani wa diploma mwezi wa tano ni lazima upate kuanzia principal pass moja na subsidiary moja katika masomo yako ya kufundishia so ukipata physics-E,biology -S na education ufaulu wowote hapo ndipo utasubiria kufanya mtihani wa diploma mwezi may mwaka ni huohuo
kuhusu ugumu wa masomo hakuna ugumu wowote ni jitihada zako tu maana kama mtu anasoma advance school miaka miwili na anafaulu utashindwaje wewe miaka mitatu na content ni ileile sema angalizo ni kuwa hiyo miaka mitatu ndani yake kuna likizo ndefu ndefu sana kupata likizo miezi mi3 kawaida sana pia kuna fields (BTP) zaidi ya mbili so ni kutumia muda wako vizuri maana unaweza kuona miaka mi3 mingi lakini kwa jinsi ratiba yako ilivyokaa waweza jikuta imeisha na hujajiandaa vya kutosha
usitishwe na watu kuhusu ugumu wa kitu kilicho ndani ya uwezo wako kukifanya tambua hatima ya kitu kilicho katika mikono yako unayo wewe mwenyewe
Nadhani nimejitahidi kukuelezea kwa kiasi chake kuhusu kozi baada ya hapo nikutakie masomo mema
 
mi nimesoma hiyo kozi iko hivi
ni kozi ya miaka mitatu na unakuwa unasoma masomo yote ya advance na ualimu kwa wakati mmoja then mwaka wa mwisho (wa tatu) utafanya mtihani kwanza wa form 6 ambao unakuwa ni special exam unafanyika mwezi wa pili baada ya kufaulu ndipo unapata sifa za kufanya mtihani wa diploma wa ualimu na mtihani wa form 6 unafanya masomo yako ya kufundishia pamoja na la ualimu kwa mfano wewe hapo PBE(physics,biology,education) ili uweze kufanya mtihani wa diploma mwezi wa tano ni lazima upate kuanzia principal pass moja na subsidiary moja katika masomo yako ya kufundishia so ukipata physics-E,biology -S na education ufaulu wowote hapo ndipo utasubiria kufanya mtihani wa diploma mwezi may mwaka ni huohuo
kuhusu ugumu wa masomo hakuna ugumu wowote ni jitihada zako tu maana kama mtu anasoma advance school miaka miwili na anafaulu utashindwaje wewe miaka mitatu na content ni ileile sema angalizo ni kuwa hiyo miaka mitatu ndani yake kuna likizo ndefu ndefu sana kupata likizo miezi mi3 kawaida sana pia kuna fields (BTP) zaidi ya mbili so ni kutumia muda wako vizuri maana unaweza kuona miaka mi3 mingi lakini kwa jinsi ratiba yako ilivyokaa waweza jikuta imeisha na hujajiandaa vya kutosha
usitishwe na watu kuhusu ugumu wa kitu kilicho ndani ya uwezo wako kukifanya tambua hatima ya kitu kilicho katika mikono yako unayo wewe mwenyewe
Nadhani nimejitahidi kukuelezea kwa kiasi chake kuhusu kozi baada ya hapo nikutakie masomo mema
Kaka samahani me naitwa mbogora ni mwenyeji wa musoma nilikuwa na shida moja nikuulizie ya kuusu diploma ya ualimu no ang ni 0747118979 naomba unibip takupig kwenye hiyo no
 
Siamini kama kuna jambo linaloshindikana ukijitoa mzee. Mungu akupambanie sana
 
Back
Top Bottom