Hadi muda huu hakuna dalili kuwa EAGT wataifuata njia waliyooneshwa na TAG ili waachilie mali zote na majengo yaliyochululiwa na wsliojimega toka EAGT!!
Lakini mwenye business yake ni Mungu na makanisa ni nyenzo zake, kwa hiyo siyo vibaya kuachilia maana wote ni watoto wa Baba mmoja kama alivyosema askofu wa EAGT Mwakipesile, kwa hiyo macho yote na masikioyako kwake! Je ataifuta hiyo njia aliyooneshwa na TAG? ikizingstiwa yeye pia anadai mali...
TAG wameonesha ukomavu wa kiroho kwa kuamua kuachilia na kusamehe mali zake ambazo mahakama ilikuwa imetoa uamuzi zirejeshwe TAG.
Ifahamike kuwa EAGT pia ina mgogoro na makanisa mengi tu yaliyojimega toka EAGT yakienda na majengo na mali za EAGT. EAGT wamekuwa wakidai mali hizo na baadhi yake...
Ushauri kwa kijana wa zamani Shalulile: Tafuta vya kuchinja, vya kunyonga ulibahatisha tu, havipatikani kila siku! Ona sasa hadi unarudishwa benchi bado unasubiria vya kunyonga! Huoni wenzio wanavyochinja! Shauri yako, siku wananchi wamekosa uvumilivu usiseme sikukuambia!!
Bado naomba anayefahamu utaratibu wa kujiunga na mazao connect hapa nchini au anioe mawasiliano ya Fauster Mundunde ambaye ndiye mrstibu wa mazao connect.
Kwa kifupi hajafunguka kueleza nini hasa baba alikuwa anawafanyia. Kwa maelezo yake naona baba yake alikuwa mlezi mzuri tu. Tatizo liko kwa mtoto kuona kuwa baba anawanyima uhuru!! Huo uhuru alikuwa anaitaka ili autumieje?
Kuna watu wakishakuwa watu wazima huwalaumu na kuwalaani sana wazazi wao...
Hapa bongo kuna timu moja tu bora nayo ni SIMBA! NAdiyo maana inatuuma kusajili toka
Sasa Diarra naye mchezaji wa kusema ni mchezaji? Diarra na Doumbia wako daraja moja tu! Ndio maana nilisema labda Doumbia angewafaa wananchi maana wana sampling yake na wameridhika naye!! Kwa Simba lazima...
Asante! Ulishawahi kusikia msemo usemao "nyani halioni kundule"?
Bado nahitaji kwa anayefahamu anifahamishe utaratibu wa kujiunga na mnyororo wa mazao kwenye mazao connect Tanzania.
Ninaomba kuelekezwa namna ya kujiunga kwenye mnyororo wa mazao connect unaotangazwa sana na FAUSTER MNDUNDE. Kwa anayejua namba ya Fauster Mndunde nitashukuru akiniwekea hapa.
Asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.