Fei Toto kapotea step! Kama una malengo ya kufika mbali huwezi kuchezea Azam! Lakini kama ukiona bongo ndo umefika basi kuchezea Azam ndo inaweza kuwa kila kitu!! Hakuna presha ya kushinda mataji hapo! Hata Ibenga naye atakuwa amepotea njia!!
Bakhresa hana timu ya ushindani na hilo analijua wazi!! Timu yake haijaandaliwa kushinda mataji wala haishindanii mataji! Wachezaji wake hawana shinikizo la kushinda mataji, labda hilo lengo la kushindania mataji walianzishe upya leo! Huyo Bakhresa anajaribu kujikosha tu kwa aibu!!
Ahamishe siyo...
Hii nimeikuta mahali, baba anaishi maisha magumu ya kimaskini sana, lakini mtoto wake ni milionea! Baba anamwomba mtoto angalau amthamini tu kama baba, lakini mtoto anamtolea nje! Hampi hata salamu licha ya pesa!
Kisa ni kwamba mtoto anadai baba alimtelekeza! Hadithi za kutelekezwa mtoto...
Hii nimeikuta mahali, baba anaishi maisha magumu ya kimaskini sana, lakini mtoto wake ni milionea! Baba anamwomba mtoto angalau amthamini tu kama baba, lakini mtoto anamtolea nje! Hampi hata salamu licha ya pesa!
Kisa ni kwamba mtoto anadai baba alimtelekeza! Hadithi za kutelekezwa mtoto...
Cabo Verde imevutia wengi kwa kiwango chake bora kwenye Kombe la Dunia 2026. FIFA inaweza kudhamini mechi ya kirafiki kati ya bingwa wa dunia na Cabo Verde kama heshima kwa safari yao ya kuvutia na mchango wao katika mashindano.
Hii mechi itatazamwa na watu wengi sana duniani!! Wadau mnasemaje?
Napendekeza iwepo mechi ya kufungia sherehe za kombe la dunia siku mbili baada ya fainali. Kwa mwaka huu iwe ni kati ya ATAKAYEKUWA BINGWA VS CABO VERDE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.