Recent content by mbingunikwetu

  1. M

    Ndege tatu za Marekani zatunguliwa kimakosa na Kuwait

    Siyo kweli! Ukweli ni kwamba hizo ndege ziliingia kwenue Anga la Iran na zikashambuliwa na Iran. Zikiwa zimejeruhiwa zikaamua kugeuza na kuingia Anna la Kuwait na mara zikadondoka. Kwa bahati zilifanikiwa kuingia Anna la Kuwait vinginevyo zingedondokea Iran@
  2. M

    Kusema kweli vita huwa haina mshindi, hakuna anayebaki salama hata yule anayedai kushinda

    Iran fires ballistic missiles at Israel, 9 dead in Beit Shemesh, 12 killed nationwide Bomb shelter struck as barrage of projectiles penetrates Israel's air defences, killing several and wounding approximately sixty amid escalating unrest in Middle East. A drone view of the scene of a fatal...
  3. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Marekani mchokozi usipime! Anasafiri maelfu ya kilometres kwenda kununua ugomvi!
  4. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hizo ni dalili za siku za mwisho. Hakikisha uko tayari kwa kurdish kwa Yesu.
  5. M

    Hiki kinachoendelea anachofanya Trump kwa Putin ni dharau ya wazi wazi, Hebu jionee mwenyewe

    Pole kwa kushindwa kutafisiri maana ya kuwepo kwa ndege za kivita kwenye mapokezi ya Putin!! Hilo linamaanisha heshima kubwa aliyopewa Putin na si vinginevyo.
  6. M

    Hiki kinachoendelea anachofanya Trump kwa Putin ni dharau ya wazi wazi, Hebu jionee mwenyewe

    Hiyo ni staili ya Trump ya kusalimia! Haina maana ya ubabe! Hats hivyo ubabe was Trump umekwama kwa Putin! Vitisho vyake vyote vimekwama! Deadlines zake zote hakuna iliyotekelezwa na kalazimika kuwa mpole!
  7. M

    Ukweli ni kwamba Trump kampa Putin mapokezi ya heshima kubwa sana na yenye Umakini mkubwa mno

    Trump amejiridhisha kuwa Urusi si sawa na Iran!! Huwezi kutumia lugha ya vitisho kwa Urusi halafu utegemee kufanikiwa! Hali kadhalika mataifa matatu mengine yasiyotishwa na vitisho vya Trump ni CHINA, INDIA na BRAZIL.
  8. M

    Trump aamuru manowari za nyuklia kuwekwa tayari baada ya maoni ya rais wa zamani wa Urusi.

    Neither Trump nor Putin has such a gut to employ nuclear weapons!! It takes a real MAD man to do so! I don't see that madness in both of them!!
  9. M

    Urusi imepuuza tangazo la Trump la kupeleka manowari karibu na Urusi

    Trump wala Putin hakuna mwenye jeuri ya kutumia silaha za nyuklia! Unapozungumza Bomu LA nyuklia LA kisasa, unazungumzia Bomu lenye uwezo wa kuangamiza dunia wala si nchi moja!! Hiyo in CHAIN REACTION! Once started it will continue up to when ALL ATOMS contained in that particular bomb have...
  10. M

    Ni kichaa tu anayeweza kutekeleza tishio la kutumia nyuklia: Sikioni kichaa hicho kwa TRUMP

    Urusi toka enzi za SOVIET INA mfumo uitwao DEAD HAND AUTOMATIC RETARIATION SYSTEAM! Mfumo huu unahakikisha pasipo shaka kuwa yeyote atakayeilenga Urusi kwa mabomu ya nyuklia, hawezi kutokà salama!! Mfumo una hatua mbili: 1. Unatambua shambulizi LA nyuklia lililoelekezwa Urusi Mara tu...
  11. M

    Ni kichaa tu anayeweza kutekeleza tishio la kutumia nyuklia: Sikioni kichaa hicho kwa TRUMP

    Trump ameitishia urusi kwa kuamuru nyambizi zenye mabomu ya nyuklia zisogee karibu na urusi! Hilo ni tishio kubwa kuliko yote LA kutumia silaha za nyuklia. Putin amepuuza na kuamua kukaa kimya maana anajua kuwa Trump hana jeuri hiyo wala hana kichaa hicho!! Huwezi kuitetea nchi yako kwa kutumia...
  12. M

    Trump aamuru nyambizi za nyuklia kuwekwa maeneo ya kimkakati kuikabilia Urusi

    Kwa moto wa nyuklia hakuna atakayepona! Hiyo inaitwa MUD: MUTUAL ASSURED DESTRUCTION!! Yaani uhakika wa kuangamia wote. Ndiyo maana ni kichaa tu anayeweza kutumia Bomu LA nyuklia kwa sasa!. Anayemiliki nyuklia huwezi kumshambulia kwa nyuklia vinginevyo na wewe umeridhia kuangamia! Ndiyo maana ni...
  13. M

    Trump aamuru nyambizi za nyuklia kuwekwa maeneo ya kimkakati kuikabilia Urusi

    Trump anajiona kuwa amedhalilika. Aliweka deadline ya Siku 50 ili urusi ifikie makubaliano na Ukraine ya kuacha vita, ila akaona hakuna dalili ya urusi kutishika! Kisha akapunguza siku hadi 10 lakini akaona hakuna dalili ya urusi kutishika badala yake akaambiwa urusi siyo kama Iran au Israel...
  14. M

    CEO wa Yanga, Andre Mtine: Tunataka Pesa yetu ya Ubingwa ndio kitu tumewaambia TFF

    Fugisufigidu yote hii imelenga kumkimbia mnyama tu!
Back
Top Bottom