Siyo kweli! Ukweli ni kwamba hizo ndege ziliingia kwenue Anga la Iran na zikashambuliwa na Iran. Zikiwa zimejeruhiwa zikaamua kugeuza na kuingia Anna la Kuwait na mara zikadondoka. Kwa bahati zilifanikiwa kuingia Anna la Kuwait vinginevyo zingedondokea Iran@
Iran fires ballistic missiles at Israel, 9 dead in Beit Shemesh, 12 killed nationwide
Bomb shelter struck as barrage of projectiles penetrates Israel's air defences, killing several and wounding approximately sixty amid escalating unrest in Middle East.
A drone view of the scene of a fatal...
Pole kwa kushindwa kutafisiri maana ya kuwepo kwa ndege za kivita kwenye mapokezi ya Putin!! Hilo linamaanisha heshima kubwa aliyopewa Putin na si vinginevyo.
Hiyo ni staili ya Trump ya kusalimia! Haina maana ya ubabe! Hats hivyo ubabe was Trump umekwama kwa Putin! Vitisho vyake vyote vimekwama! Deadlines zake zote hakuna iliyotekelezwa na kalazimika kuwa mpole!
Trump amejiridhisha kuwa Urusi si sawa na Iran!! Huwezi kutumia lugha ya vitisho kwa Urusi halafu utegemee kufanikiwa! Hali kadhalika mataifa matatu mengine yasiyotishwa na vitisho vya Trump ni CHINA, INDIA na BRAZIL.
Trump wala Putin hakuna mwenye jeuri ya kutumia silaha za nyuklia! Unapozungumza Bomu LA nyuklia LA kisasa, unazungumzia Bomu lenye uwezo wa kuangamiza dunia wala si nchi moja!! Hiyo in CHAIN REACTION! Once started it will continue up to when ALL ATOMS contained in that particular bomb have...
Urusi toka enzi za SOVIET INA mfumo uitwao DEAD HAND AUTOMATIC RETARIATION SYSTEAM! Mfumo huu unahakikisha pasipo shaka kuwa yeyote atakayeilenga Urusi kwa mabomu ya nyuklia, hawezi kutokà salama!! Mfumo una hatua mbili: 1. Unatambua shambulizi LA nyuklia lililoelekezwa Urusi Mara tu...
Trump ameitishia urusi kwa kuamuru nyambizi zenye mabomu ya nyuklia zisogee karibu na urusi! Hilo ni tishio kubwa kuliko yote LA kutumia silaha za nyuklia. Putin amepuuza na kuamua kukaa kimya maana anajua kuwa Trump hana jeuri hiyo wala hana kichaa hicho!!
Huwezi kuitetea nchi yako kwa kutumia...
Kwa moto wa nyuklia hakuna atakayepona! Hiyo inaitwa MUD: MUTUAL ASSURED DESTRUCTION!! Yaani uhakika wa kuangamia wote. Ndiyo maana ni kichaa tu anayeweza kutumia Bomu LA nyuklia kwa sasa!. Anayemiliki nyuklia huwezi kumshambulia kwa nyuklia vinginevyo na wewe umeridhia kuangamia! Ndiyo maana ni...
Trump anajiona kuwa amedhalilika. Aliweka deadline ya Siku 50 ili urusi ifikie makubaliano na Ukraine ya kuacha vita, ila akaona hakuna dalili ya urusi kutishika! Kisha akapunguza siku hadi 10 lakini akaona hakuna dalili ya urusi kutishika badala yake akaambiwa urusi siyo kama Iran au Israel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.