Recent content by mbingunikwetu

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia ijiandae na matokeo yasiyotarajiwa kwenye kombe la dunia

    Mshtuko wa kwanza ni kati ya Cabo Verde/Cape Verde dhidi ya Spain tareha 15/06/2026.
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia ijiandae na matokeo yasiyotarajiwa kwenye kombe la dunia

    Wale wale kina nani?
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia ijiandae na matokeo yasiyotarajiwa kwenye kombe la dunia

    Ureno pia siyo ya kubeza!
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia ijiandae na matokeo yasiyotarajiwa kwenye kombe la dunia

    Subiri uone!
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je vijeba hawa watafurukuta ķombe la dunia? Ronaldo miaka 41 na Messi muaka 39!

    Nadhani wamepewa heshima tu, hasa namna ya kuwabeba ili kuboresha record zao. Kwa sasa rekodo zao zitasomeka wameshiriki makombe ya dunia sita mfululizo!! Hiyo rdkodi kuivunja siyo mchezo!!
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nchi 8 pekee zimechukua kombe la dunia tangu mashindano yaanzishwe mwaka 1930

    Brazil mwaka huu kuadhirika tena kama haitakuwa makini!! Inaweza isifike robo fainali!
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je vijeba hawa watafurukuta ķombe la dunia? Ronaldo miaka 41 na Messi muaka 39!

    Je kwenye soka umri ni namba tu kama ilivyo kwenye mahusiano? Je Ronaldo(41) na Messi(39) bado wana cha kuonesha na kuwakosha mashabiki kiukweli kabisa au watabebwa na majina tu bila kuonesha soka safi la ushindani? Je wamewazibia tu vijana wengine ambao walipaswa kupewa nafasi kuliko vijeba...
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia la FIFA 2026: Je Afrika Italinyakua?

    Tanzania bila tutashiriki kombe la dunia 2030 na kufika mbali!
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia la FIFA 2026: Je Afrika Italinyakua?

    Senegal itafika mbali 2026. Kama siyo fainali basi ni nusu fainali! Lakini pia Cape Verde itatisha!
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia ijiandae na matokeo yasiyotarajiwa kwenye kombe la dunia

    Gepu limepungua sana baina ya mataifa yalitokuwa yanatawala soka na mataifa mengine chipukizi katika kusakata kandanda. Tutarajie matokeo yasiyotarajiwa maana kuna vigogo wataadhirika kwa kichapo kutoka nchi zisizokuwa na historia kubwa ya soka. Kuna nchi toka Afrika na Asia zitashangaza...
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Ureno kombe la dunia tufahamiane hapa!

    Huu ndiyo wakati muafaka wa Ureno kubeba kombe la dunia. Ina vipaji lukuki na bado wanaye veteran CR7 wa kuwahamasisha ndani ya uwanja! Bila shaka haya yatakuwa mashindano ya mwisho CR7 kushiriki kombe la dunia kama mchezaji! Mashindano yajayo atakuwa na miaka 45!! Nadhani baada ya Euro 2028...
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serengeti Boys imevunja kambi yake leo Juni 5 lakini hawajapewa Tsh. Milioni 500 walizoahidiwa na Rais Samia

    Wadau walionya mapema watoto hawa wasiahidiwe!! Unaona sasa, athari zinajitokeza mapema kuelekea fainali za kombe la dunia 2026. Wadau jipangeni kuwaandaa watoto hawa kisaikologia ili kupunguza athari!!
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    Mimi karata yangu naiweka kwa Ureno!!
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    Xabi Alonso kwa sasa ni kocha!
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    Zama za CR7 hazijaisha ila zinaelekea kuishia!! Ndio maana watu na akili zao bado wanamlipa mamillioni ya dola! Bado ni mfungaji bora kwa timu yake na bado mchango wake kwa timu ya Taifa unahitajika sana! Ukimchukulia poa anakuliza fasta!
Back
Top Bottom