Recent content by mbingunikwetu

  1. M

    JamiiForums Tanzania FT: Argentina 3-2 Egypt | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 7 Julai, 2026 | 1:00 Usiku | Egypt yaaga mashindano

    Dhulma ya wazi kwa Misri! Goli baada ya faulo ni aibu! Wamegima hata kuangalia VAR!
  2. M

    JamiiForums Tanzania FT: Argentina 3-2 Egypt | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 7 Julai, 2026 | 1:00 Usiku | Egypt yaaga mashindano

    Dhulma ya wazi kwa Misri! Goli baada ya faulo ni aibu! Wamegima hata kuangalia VAR!
  3. M

    JamiiForums Tanzania FT: Argentina 3-2 Egypt | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 7 Julai, 2026 | 1:00 Usiku | Egypt yaaga mashindano

    Matoifa yote ya Amerika ya kusini inabidi yatolewe yote ili robo fainali iwe ya Afrika na Ulaya tu!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Fei Toto kapotea step! Kama una malengo ya kufika mbali huwezi kuchezea Azam! Lakini kama ukiona bongo ndo umefika basi kuchezea Azam ndo inaweza kuwa kila kitu!! Hakuna presha ya kushinda mataji hapo! Hata Ibenga naye atakuwa amepotea njia!!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Bakhresa hana timu ya ushindani na hilo analijua wazi!! Timu yake haijaandaliwa kushinda mataji wala haishindanii mataji! Wachezaji wake hawana shinikizo la kushinda mataji, labda hilo lengo la kushindania mataji walianzishe upya leo! Huyo Bakhresa anajaribu kujikosha tu kwa aibu!! Ahamishe siyo...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Pendekezo kwa FIFA: Bingwa wa Dunia 2026 acheze Mechi ya Kirafiki na Cabo Verde

    Ni wakati ule, ila wamebadilika sana!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Pendekezo kwa FIFA: Bingwa wa Dunia 2026 acheze Mechi ya Kirafiki na Cabo Verde

    Siyo wacheze mara tu baada ya kombe la dunia. Inaweza kupangwa katika ratiba ya fifa mechi za kimataifa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tujadili kauli hii: Baba kupata mtoto ni baraka, kumlea ni wajibu lakini yeye kukutunza ukizeeka usitegemee/usiombe hata kama ana uwezo, ni hiari!

    Hii nimeikuta mahali, baba anaishi maisha magumu ya kimaskini sana, lakini mtoto wake ni milionea! Baba anamwomba mtoto angalau amthamini tu kama baba, lakini mtoto anamtolea nje! Hampi hata salamu licha ya pesa! Kisa ni kwamba mtoto anadai baba alimtelekeza! Hadithi za kutelekezwa mtoto...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tujadili kauli hii: Baba kupata mtoto ni baraka, kumlea ni wajibu lakini yeye kukutunza ukizeeka usitegemee/usiombe hata kama ana uwezo, ni hiari!

    Hii nimeikuta mahali, baba anaishi maisha magumu ya kimaskini sana, lakini mtoto wake ni milionea! Baba anamwomba mtoto angalau amthamini tu kama baba, lakini mtoto anamtolea nje! Hampi hata salamu licha ya pesa! Kisa ni kwamba mtoto anadai baba alimtelekeza! Hadithi za kutelekezwa mtoto...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Pendekezo kwa FIFA: Bingwa wa Dunia 2026 acheze Mechi ya Kirafiki na Cabo Verde

    Cabo Verde imevutia wengi kwa kiwango chake bora kwenye Kombe la Dunia 2026. FIFA inaweza kudhamini mechi ya kirafiki kati ya bingwa wa dunia na Cabo Verde kama heshima kwa safari yao ya kuvutia na mchango wao katika mashindano. Hii mechi itatazamwa na watu wengi sana duniani!! Wadau mnasemaje?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Argentina labda waokolewe na jitihada binafsi za Messi, vinginevyo wataelewa Cape Verde ni nani

    Napendekeza iwepo mechi ya kufungia sherehe za kombe la dunia siku mbili baada ya fainali. Kwa mwaka huu iwe ni kati ya ATAKAYEKUWA BINGWA VS CABO VERDE
Back
Top Bottom