Huwa ninachukia sana anachoandika huyu mtu, Ninaombeni mnisaidie jinsi ya kuignore andiko lake lolote humu jamii forums, ili nisiwe ninaona kitu chochote anachoandika iwe uzi, iwe komenti iwe emoji 🙏
Kwani ukiwa mkweli unapata hasara gani ? Huyu ni kwamba ni dogo anayetaka kuanza kusoma hiyo kozi. Kwa hiyo anapambana kutafuta habari zimsaidie yeye akasome hiyo kazi lakini hajaanza hata kuisoma kabisa.
Inaelekea kama atapata admission ataanza kozi mwaka huu November. Sasa Hata admission...
Jeshi ambalo askari wake wengi sio wazalendo wa nchi na wamewaachia CCM kutapanya mali za nchi jeshi gani ? Marekani wana Rais wa 47 hawajampatia demu akalie kile kiti, sisi rais wa 5B na sita tuu demu ! Halafu mijitu ilivyo mijinga eti oktoba tunatiki 😳😳😳😳😳 hivi sisi Tuna akili kweli ? Sasa...
Jamaa acha izo. Yani mwaka jana ulihitimu kidato cha nne, mwaka huu umeomba mikopo ya diploma HESLB, mwaka huu umeshahitimu kozi hiyo na unaomba mahala pa kujitolea ! Acha ujanja kaka.
Rejea humu : 👇
https://www.jamiiforums.com/threads/nimemaliza-form-4-mwaka-jana-nina-division-2-20.2356240/...
Kwa hiyo waliosoma QT na PC ambao hawapati vyeti vya kuhitimu shule, ila sifa zingine wanazo mfano umri, afya n.k nafasi za JKT, JWTZ, PT, Uhamiaji, MT n.k haziwahusu wasijisumbue kabisa au ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.