Nionavyo Bado tunapigwa kwenye mshono na hizi dini za kigeni.
Wali waua ndugu zetu na kuiba Mali nyingi Kisha tunakubali kufuata Imani yao.
Tatizo hakuna kumbukumbu na namna ya kuendeleza Imani zetu za jadi. Majengo yao yangekuwa makazi ya popo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.