Recent content by Mbile

  1. M

    Jiji la Dar es Salaam lasimama, foleni kila sehemu!

    Na umeme hakuna kwa tanzania ya viawanda ya maguli sijui vitaendeshwa kwa pombe
  2. M

    Mgombea CCM aanguka jukwaani akiruka kichurachura!

    Shida za wananchi hazitatuliki kwa kupiga push up acheni kutuchora
  3. M

    Program Note: Operesheni Funguka... Oktoba 5. Mabadiliko Hayabinafsishwi!

    Madadiliko haikuwa kauli mbiu ya CCM mmechotwa na upepo wa mabadiliko hivyo ilivyo kuwa Vita ya uganda majeshi yetu yalisaidiwa sana na majeshi ya uganda na nduli akatoka. hivyo tunajua wako wengi ndani ya CCM watatusaidia katika hili.
  4. M

    Yanayojiri Monduli: Mkutano wa Edward Lowassa - Uwanja wa Barafu Mto wa Mbu

    Mtaji wa ugonjwa wenzako wameachana nao, maana hauisaidii CCM kuna lundo na wanaCCM walionekana kwa babu wa Loliondo hivi ni wazima wale na report yao unayo. Hata kama atahudumia kwa siku moja kwenye nafasi ya urais inatosha na CCM wakaonja benchi na kutambua kuwa wa kuongoza ni utashi wa...
Back
Top Bottom