We kama umesha gundua hilo na unaona hatilii maanani msaada wako sasa unakaa nae karibu wa nini? Huo ni mtego bro.hapo ni mahali watu wengi hushindwa kupaepuka...sasa kabla haijawa mbaya,ushauri wangu we acha kabisa kumfundisha na kaa mbali nae 100%..ukifanya mchezo utajuta.
Sent from my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.