ww kiroboto huna akil cyo kil jambo upinge tu...kiaz mmoja ww....wametoka kukabidhiwa vyet wakaelekea makao makuu madogo ya chama ndo akayazungumza hayaa kwa wanaccm ww hayakuhusu subir aje kukuhu2bia akiwa raisi akishaapishwa uone km atazungumza haya.
..akiwa katika majukumu ya chama...
Nikuondoe shaka mpinga kristu...najua wanaUKAWA mnatafuta mpka vinyamkera mmuharibie MAGUFULI...ni hiv kwanza hatokuwa mwenyekit wa chama atafanya kaz kwa watanzania wote pia 2namshukuru mungu WEZI NA WACHAFUZ wamejing'oa wenywe..ww subir maendeleo.
Aaaamin...alipangalomungu mchawi hawez panguaaaa...what we need what we have granted "HAPA KAZI TU"...hakuna mfano wako daah umemuumiza BaBU wa watu vibaYa Yupo hoi..."HATUKUMTAKA HATA MUNGU HAKUMTAKA PIA"...let our TANZANIA being as TANZANIA THE HOME OF MERCY & LOVE we peacefully we...
Mjomba..hlo jambo ni gumu sana 'HALIWEZEKANI'...serikal ya mseto alafu ackilzwe nan..?...hii Africa tena uckubal kutumika kwa faida ya wachache ambao wanatumia kaul kana kwamba wana nia njema kumbe MASLAYISH....!
daaah failure...et aongee nn..unapopewa nafac km ile ina maana ww ndo mtatuz so lazma useme utawasaidiaje tena kwa mikakat ip...aseee ww hata 'MENKWA' elimu jitambue...bwana manywele meupe hana la maana kapotea kwel nywele cyo akil jaman au ndo kuzeeka nywele ndo kazeeka na akil.
vijana wamepoteza muelekeo...WE NEED CHANGE...bt hw changes come...hatuwez kumpa nguvu mwenye nia tofaut na sisi..MAGUFULI THE BEST 'YES' ukimkataa huyu lazima utakuwa mgonjwa kiuelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.