Leo tumeshuhudia uzinduzi wa Barabara ya juu yaani Flying over Tazara huu Ni muendelezo wa miradi mingi inayotekelezwa na uongozi wa serikali YETU ya awamu ya tano chini ya Rais Dk J.P.Magufuli.Tanzania kwa miaka mingi tumekuwa tukipiga kelele juu ya uwepo wa utashi wa kisiasa Katika serikali...
Mkuu Pascal nimekusoma, maandiko matakatifu yanatuagiza tuzaliane na kuongezeka ili tuijaze Dunia.Tena baada ya kuijaza tuitawale. Lakini pia mahali Pengine maandiko yanatusisitizia Kila Jambo tulifanye kwa kiasi. Kupanga Ni kuchagua, Uzazi wa mpango Ni jukumu la wanafamilia. Rais wetu ametoa...
Safari hii ukiteuliwa na Mheshimiwa hakuna kufanya sherehe mpaka siku ya kustaafu kwako.JPM kumbe Nchi ilipinda hii,Vichaa Wengi Wanahitajika kwa kweli.
Wanabodi salaam! Neno uzalendo limekuwa likizungumzwa sana hasa na wanasiasa lakini hatupaswi tu kuwaachia watu wa tabaka moja kuzungumzia Jambo hili.Uzalendo NI zaidi ya UTAIFA,Kila Mtu ataungana na Mimi kwamba ukiachana na nchi yako uliyozaliwa hakuna nchi nyingine yoyote unayoweza kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.