Recent content by mbegunjema

  1. M

    GE2025 Rais Samia Suluhu: CCM kugharamia kwa asilimia 100 matibabu ya watu wasiokuwa na uwezo

    Kuna watu wengi sana wenye uwezo wanaishi kwa 'stahiri' za wasio na uwezo.
  2. M

    Luhaga Mpina: Mkataba wa SGR bei halisi imezidishwa kwa Tsh. Trilioni 3.4

    Unafiki kama wanafiki wengine, wakati wa mijadala ya bajeti bungeni mbona hakusema?
  3. M

    Live ya kesi ya Lissu waliokuwa wanafuatilia ni zaidi ya watu 10K alafu live ya harambee ya CCM walikuwa watu 500

    Nilidhani umeweka ushahidi wa takwimu uliyotaja kwenye "kichwa" cha uzi wako.
  4. M

    Kigoma hatuna deni na Mama

    Kutokuwa na deni haimanishi umejitosheleza.
  5. M

    Anna Tibaijuka: Ndugai aliniambia kwamba suala la Lissu ni “Maelekezo”

    Ikiwa "Aliyeelekeza hajulikani, na aliyeelekezwa kalala"; kuna usahihi gani wa hayo yalizungumzwa na Prof.?
  6. M

    Kwanini Wakristo hawavui viatu wakiingia Kanisani? Mbona Musa aliambiwa avue viatu?

    Yuda 1:4 (Biblia takatifu). kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo. ” Nakisaidia ujue maana ya 'kafiri
  7. M

    Kukurupuka kwa Serikali Kuanzishwa kwa Mitihani ya watumishi waliokazini

    Ala! Kumbe ana Phd? Mbona sasa katoa wazo la kiwango cha chini ya chekechekea? Anyang'anywe, basi.
  8. M

    Samia akishinda Urais mwaka huu, Polepole, Gwajima na Mpina wataishije maisha yao hapa Tanzania?

    Wataishi kama watoto wakosefu waliomkosea mama yao.
Back
Top Bottom