Recent content by mbegubora29

  1. mbegubora29

    Muda wowote Israeli wanamuua Kiongozi wa Iran hivyo nae kaamua Kuteua Mrithi wake na Wengineo katika Jeshi la Iran

    Makafir wamekutana sasa yaan vichwa panzi kbs mnafurahia watu wanakufa jmn
  2. mbegubora29

    Maisha ya wasanii ni ya kisanii sana. Pole Wastara

    Kuna shida mahala pia mbona wengi wanakufa kwa kukosa uwezo je thaman zao ni ndogo ukilinganisha na wengine au?
  3. mbegubora29

    PreGE2025 Mwl. Steven Jacob aliyedaiwa kutekwa na watu wasiyojulikana apatikana Kilimanjaro akiwa amepigwa

    Kuna kaujinga fulan hivi ka wananchi wachache na wazembe kimapinduzi huna nguvu huna pesa huna dola hlf unanyoosha mdomo mwisho jnaanza kutia huruma aisee ebu ifike mahala mjitfakar wanaharakati wetu mtapotea kwa ujinga
  4. mbegubora29

    Utawala hatari na wenye nguvu duniani

    Tuwe na subira na tusubir mpaka pale tutakapo kuwa na nguvu
  5. mbegubora29

    Utawala hatari na wenye nguvu duniani

    Salaam zenu wanaJF, Historia inatufundisha hakuna utawala hatr na wa kutisha kama wa firaun lakini bado watu wake hawakuandamana walisubir mpaka pale muumba wao alipowanusuru Unajua kwasabb gani? 1. Waliamini yupo aliowaumba ipo siku atawanusuru 2. Nguvu yao ndogo hawawezi kupigana na mtawala...
  6. mbegubora29

    Viongozi wengine Allah anawaweka madarakani kama adhabu!

    We ndo unataka dalili shekhe? Nimekupata lkn unaangalia nan unaongea naye?
  7. mbegubora29

    Mchanganuo wa mshahara mpya wa TZS 500 000 kwa mtumishi mwenye mke na mtoto mchanga/toddler

    We jamaaa unaleta taharuki tuu maisha ayako hivyooo unavyohan umetumia akili saana kubabadua
  8. mbegubora29

    Askofu Msimbe: Uongozi wa kweli ni kuishi maadili, si kulazimisha watu

    Na TUmemuelewa naye asilazimishe watu wamfuate angetulia tu madhabahuni
  9. mbegubora29

    Padre Ngowi awaitisha wananchi likiwamo jeshi lao kuilinda nchi

    Wazee gan anaosema? Pia hao wazee hata hiyo dini hawatuachia aache zake kila atavuna alichopanda awe mpole tu kwan haamini kama kuna malipo baada ya kifo?
  10. mbegubora29

    Viongozi wa dini tambueni mipaka yenu na watu wenu msituletee taharuki mtaani, kila mtu ana dini yake na asili yake

    Tanzania ni nchi pekee iliyojaaliwa dini nyiingi saana isije ikafika kiongoz wa dini fulani ajipe milki ya amani ya nchii,wasubirini watu wenu na ongeeni na watu kama waumini wenu msitafte huruma wengine hawaamini kwa kile mnachokiamin! Tafadhalini saana! Kama haki mtaipata mbinguni kwa baba...
  11. mbegubora29

    Viongozi wengine Allah anawaweka madarakani kama adhabu!

    Hkuna anayelalama bro,naona tunapoteza vijana bila kujua wapi wnakosea
Back
Top Bottom