Hongera sana Mwenyekiti kwa kuingia ndani ya jukwaa letu,
Mi nafikiri umeweka hoja nzur ya kuwata watumiaji wa forum hii kuweka majina yao ya kweli, kwa mfano mi binafsi hilo ni jina langu, ila tu Mwenyekiti sipendi kukosoa ila nataka kuweka sawa hii ni fursa ya kutoa changamoto kwa wanajamii...
mi nafikiri wanafunzi wa vyuoni hawatambuni jinsi ya kudai haki zao,yaan angalia udom wote kwenda kuandamana na kudai pesa zao tena kwa uongonzi wa chuo kwani uongozi ndio unatoa pesa za mikopo? hivi walishidwa kuwatumia viongozi wao wao wa chuo na kuwawakilisha katika madai yao au wakagoma...
hivyo ni sawa kabisa,unajuwa tatizi la watanzania tunapenda kujadili mambo yanayo zidi vichwa vyetu.tayari PCCB wapo kazi,na si dhani kama interpol watalala,huyu liyumba yupo humu hum tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.