Akuna kiongozi atakayekuletea pesa nyumbani kwako au kwa wazazi wako omba mungu wako akufanyie wepesi katika miangaiko yako uku ukizidi kupambana kwa kufanya kazi si kuangalia uyu kafanya nini yule kafanya lipi utajikuta unazidi kupoteza mda wako uku mvi nazo zinaota pambana tuachane na siasaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.