Mimi nafikiria leo angelikuwepo baba yenu wa Taifa, na kukusikia unvyolonga angelekukwa lubango miaka 3, kwani yeye anaijua thamani anayopata Zanzibar, ndio maana leo Tushakwambieni MUUNGANO hatuutaki, lakini nyinyi mmebaki kunga'ngania, Zanzibar ni walimu na hivi Karibuni mtajuwa kitunguu maji...