Kuna mataifa ya kiarabu yanaishi vizur na ni marafiki wa israel. sasa jifanye adui ni shida mwanzo mwisho ndio hao iran.sasa mkuu unachagulia na siku nne unakufa utasema kweli mna nguvu nyie si afadhali na sadamu hussen wa iraki
Hebu tukuelimishe kidogo,yawezekana kichwa chako hakijafunguka.kufanya enterview sio mtihani.bali ni hatua ya kupunguza idadi ya watu ili kulingana na nafasi zilizopo.mfano nafasi ziko 40 walio omba ni 200. N a hapo tambua kuwa swali linaweza kuwepo hata ambalo hujalisomea ila linapima uelewa...
we dogo rudi kijijini tunakutafuta huku vilimo vimeanza.sio kilimo kimeanza unaranda randa mijini kutwa nzima unaangaika na matako ya wanawake.Narudia tena kilimo kimeanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.