nadhani kuna walifuulu zaidi yako ktk comb ulizochagua. pia nafasi za A- level ni chache
. wameachwa wengi mwaka huu, omba mungu upate second selection
natafuta Mwalimu (msingi) Wa kubalidishana nae kituo cha kazi. Ambaye yuko Mwanza Jiji au ilemela na anataka kuhamia KAHAMA MJINI tuwasiliane 0763943241
KAHAMA - MWANZA.
Natafuta mtu Wa kubadilisha nae kituo cha kazi. Anayetaka kuhama kutoka Mwanza mjini (nyamagana/ilemela) kwanda Kahama mjini tuwasiliane 0763 943 241
KAHAMA - MWANZA.
Mwalimu yuko halmashauri ya mji kahama anatafuta mtu wa kubadilishana nae kutoka mwanza NYAMAGANA/ ILEMELA.
Anaetaka kuhamia kahama mjini kutoka mwanza mjini tuwasiliane
mi mwalimu wa book-keeping na commerce natafuta shule ya kufundisha muda wa ziada(part time), kwa shule zilizoko mwanza. Tuwasiliane kwa email hubertelieza@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.